sherehe

  1. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Kilichozuia kufanyika kwa Sherehe za Uhuru wa Tanganyika kwa miaka mitatu iliyopita kimekwisha ?

    Nchi yeyote inayothamini Uhuru wake huadhimisha siku iliyopata Uhuru huo kutoka kwa wakoloni weupe au weusi kwa shangwe kuu iliyotukuka , hii ni siku ambayo nchi husika husherehekea minyororo ya utumwa kukatwa , nchi zilizopambana kupata uhuru huo kwa vita , huwakumbuka mashujaa wao waliokufa...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

    Kamati kuu ya Chadema kwa kauli moja imeazimia kushiriki katika sherehe za Uhuru zitakazofanyika Mwanza kitaifa.
  3. chiembe

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Sherehe mbalimbali za kitaifa zifanyike mikoa yote katika viwanja vya CCM, hii itasaidia pesa ya Serikali kutumika kuvikarabati

    Ccm ina viwanja vimetapakaa nchi nzima, lakini vingi vina hali mbaya. Chama chetu hakina fedha za ukarabati. Viwanja kama CCM Kirumba, Kaitaba na vingine vingi, kabla ya mfumo wa vyama vingi, tulitegemea fedha za serikali. Kwa sasa njia pekee ni kuhamishia sherehe za kitaifa katika viwanja...
  4. chiembe

    JamiiForums Tanzania Sherehe za Uhuru 9/12/2019 kufanyikia Mwanza, wenye maneno anzeni kuisema Kanda ya Ziwa

    Hureee! Ni habari za chini ya kapeti Kwa mara ya kwanza tangu tupate Uhuru, sherehe kufanyikia Mwanza
  5. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Je, tumekubali na tutahudhuria Sherehe za Uhuru za mwaka huu wa 2019 kama Mgeni Rasmi kwakuwa zitafanyika Mwanza au?

    Kwanini na mwaka huu pia Pesa za Sherehe za Uhuru nazo zisipelekwe/zisielekezwe katika Miradi mikubwa ya Maendeleo ya Wananchi badala yake kwa mwaka huu Sherehe zipo, Mhudhuriaji Mkuu nae atahudhuria ambapo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza? Nasubiri majibu yenu Wakuu.
  6. Suley2019

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana wa Kenya auawa akiwa katika sherehe Mjini London

    A Kenyan family in the United Kingdom is mourning the death of their son, who was stabbed to death in East London on Saturday. Randy Mugo, 27, was knifed at a friend’s house party after what started as a row over a spilt drink. The scuffle degenerated into a quadruple stabbing, which left him...
  7. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Sherehe za uhuru 2019 kitaifa kufanyika jijini Mwanza

    Wakuu habari za wakati huu, kuna taarifa za chinichini japo hazijawa rasmi kuwa SHEREHE ZA UHURU mwaka huu kufanyika kitaifa jijini MWANZA, kiukweli nimeridhishwa na maamuzi haya kuleta sherehe hizi mikoani. Rai yangu kwa SERIKALI isiishie Mwanza tu mwakani waangalie hata KIGOMA huko angalau...
  8. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Marekani: Watu wapatao kumi wapigwa risasi na wanne wafariki wakiwa katika Sherehe

    Watu walikuwa wamehudhuria sherehe ya kifamilia kwenye uwanja wa nyuma wa nyumba yao walivamiwa na mtu asiyejulikana aliyeanza kuwamiminia risasi. Polisi wa Mjini Fresno, Califonia wameripoti. Polisi waliitikia wito mida ya saa mbili usiku baada ya kupokea taarifa ya tukio hilo kutoka kwa watu...
  9. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tofauti ya sherehe ya kuzaliwa ukiwa 37 na 73 sehemu ya namba inabadilika

    Ukiwa 37 kwa wengi uko kwenye ajira, kama ni mkulima ndiyo wakati wa shamba kukutegemea kwa kiasi kikubwa au biashara inakupa changamoto. Unahangaika kujenga na kusomesha watoto. Ndoa inapitia changamoto na kuna wakati unajuta kumuoa au kuolewa na yule. 73 Birthday Party ni surprise kutoka...
  10. Donatila

    JamiiForums Tanzania Profesa Jay kufanya upya sherehe ya ndoa yake Mikumi

    HISTORIA iliyowekwa Julai 8, mwaka 2017 ya kufunga ndoa kati ya Mbunge wa Jimbo la Mikumi kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ambaye pia ni rapa mkongwe kwenye muziki wa Bongo Fleva, Joseph Haule (Profesa Jay) na Grace Mgonjo (Mama Lisa) haitafutika tena. Ndoa hiyo...
Back
Top Bottom