Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,592
- 11,831
Nikwamba nimesikia vibaya ama ni halisi kile alichokisema Makamo wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally kuwa leo kutakuwa na tamasha maalumu la taarabu kwa wageni wa sherehe za mapinduzi.?
Hivi limekaaje hili wakuu, ni taarabu vidole juu ama ni aina tofauti ya taarabu wakuu.
Kama ni hivi basi tuna Safari ndefu sana watanzani, inamaana hawakuona burudani nyingine zaidi ya taarabu?
Nani katoa hili wazo??
Kumbe ndo mana namuona mkwele kaenda na bi mkubwa!!
Haya kila la kheri kwenye vidole juu.
Sisi tutakuwa ma DJ hapa JF na wapiga picha na majaji wa kutaja yupi amekuwa bingwa wa kulisakata.
Watch....
Hivi limekaaje hili wakuu, ni taarabu vidole juu ama ni aina tofauti ya taarabu wakuu.
Kama ni hivi basi tuna Safari ndefu sana watanzani, inamaana hawakuona burudani nyingine zaidi ya taarabu?
Nani katoa hili wazo??
Kumbe ndo mana namuona mkwele kaenda na bi mkubwa!!
Haya kila la kheri kwenye vidole juu.
Sisi tutakuwa ma DJ hapa JF na wapiga picha na majaji wa kutaja yupi amekuwa bingwa wa kulisakata.
Watch....