The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Mwanaume ukioa Moshi/Kilimanjaro unakua tu ni sawa umeolewa maana kila mwisho wa mwaka wakwe na mashemeji wanaporudi kwao kwa ajili ya sikukuu na wewe utakua unalazimishwa kwenda.
Nina ndugu zangu 4 wameoa Kilimanjaro, wafanyakazi wenzangu na marafiki zangu na watu wengine ninaowafahamu ambao sio wenyeji wa Kilimanjaro ila kila inapofika mwisho wa mwaka lazima waende huko.
Hata Pascal Mayala amesema yeye kila mwisho wa mwaka huenda Moshi wakati ni Msukuma wa Kanda ya Ziwa.
Ukioa Moshi ni kama umeolewa wewe maana utapelekeshwa kama mbuzi.
Anyway, haya ni maoni yangu na mtazamo wangu, sio lazima uyapende.
Nina ndugu zangu 4 wameoa Kilimanjaro, wafanyakazi wenzangu na marafiki zangu na watu wengine ninaowafahamu ambao sio wenyeji wa Kilimanjaro ila kila inapofika mwisho wa mwaka lazima waende huko.
Hata Pascal Mayala amesema yeye kila mwisho wa mwaka huenda Moshi wakati ni Msukuma wa Kanda ya Ziwa.
Ukioa Moshi ni kama umeolewa wewe maana utapelekeshwa kama mbuzi.
Anyway, haya ni maoni yangu na mtazamo wangu, sio lazima uyapende.