mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 2,667
- 3,453
Wakuu habari za wakati huu, kuna taarifa za chinichini japo hazijawa rasmi kuwa SHEREHE ZA UHURU mwaka huu kufanyika kitaifa jijini MWANZA, kiukweli nimeridhishwa na maamuzi haya kuleta sherehe hizi mikoani.
Rai yangu kwa SERIKALI isiishie Mwanza tu mwakani waangalie hata KIGOMA huko angalau kila mkoa upate hiyo fursa adimu na sio iwe DAR na DODOMA tu kama inavyofanyika sasa.
Rai yangu kwa SERIKALI isiishie Mwanza tu mwakani waangalie hata KIGOMA huko angalau kila mkoa upate hiyo fursa adimu na sio iwe DAR na DODOMA tu kama inavyofanyika sasa.