MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,172
- 23,975
Nimejaribu kuangalia majina na video za wafungwa katika baadhi ya magereza nchini waliopata msamaha wa Rais Magufuli katika sherehe za Uhuru wa Tanganyika lakini kitu kinachonifanya nishangae ni kukosekana kwa wafungwa wa kike!
Je, Tanzania hakuna wafungwa wa kike? Kama wapo, kwa nini hawaonekani katika makundi ya wafungwa waliopata msamaha kisheria?
Je, Hii inadhihirisha watu wanaofanya uhalifu nchini na kufungwa jera ni jinsia ya kiume pekee? Kwa nini jinsia ya kike haifungwi gerezani?
Je, Hii inadhihirisha kuwa Tanzania bado kuna mfumo dume kwa maana kuwa jamii ya kike haina sauti na kutokuwa na sauti kunawafanya wao ni wahanga (victim) katika jamii?
Je, Tanzania hakuna wafungwa wa kike? Kama wapo, kwa nini hawaonekani katika makundi ya wafungwa waliopata msamaha kisheria?
Je, Hii inadhihirisha watu wanaofanya uhalifu nchini na kufungwa jera ni jinsia ya kiume pekee? Kwa nini jinsia ya kike haifungwi gerezani?
Je, Hii inadhihirisha kuwa Tanzania bado kuna mfumo dume kwa maana kuwa jamii ya kike haina sauti na kutokuwa na sauti kunawafanya wao ni wahanga (victim) katika jamii?
BAADHI YA VIDEO: