serikali

  1. Miss Zomboko

    Unajua kwamba ukitaka kukarabati nyumba yako au kuijengea uzio ni lazima uombe kibali Serikali za Mitaa kabla ya kufanya hivyo?

    Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imetilia mkazo sheria ya ardhi na upangaji miji ambayo inamtaka kila mkazi katika eneo lake anapotaka kufanya ukarabati wa nyumba yake, kupaka rangi ama kujenga uzio lazima awe na kibali kutoka halmashauri. Mkurugenzi wa manispaa ya Kinondoni, Aron...
  2. Mag3

    Je, Huyu karani aliyeandika stakabadhi ya serikali ya Jamhuri ya Tanzania yuko sahihi?

    Sitaeleza mengi ila nitaachia picha iongee... Kinachohuzunisha na kusikitisha ni kwamba hii risiti imetolewa ofisini kwa Hakimu Mkazi Mwandamizi, Kisutu.
  3. S

    Viongozi wa Chadema msikate tamaa; hata Nyerere, Mandela nk walihukumiwa kwenda jela na serikali zilizokuwa madarakani - na leo tunajua haikuwa halali

    Historia ina mambo ya ajabu sana. Binafsi huwezi kunishawishi hata chembe kwamba kweli viongozi wa Chadema walifanya makosa, na hata kama kuna chembe ya makosa katika mambo waliyoshitakiwa, walistahili adhabu walizopewa. Ninaamini kwa dhati kwamba adhabu walizopewa, kama hazina maagizo kutoka...
  4. The Assassin

    Tuipongeze Serikali kwa kupunguza ujangiri kwa zaidi ya 95%

    Mimi ni moja ya watanzania waliobahatika kuzaliwa kati ya moja ya mbuga ya wanyama maarufu sana hapa Tanzania na Duniani kwa ujumla. Miaka nakua mimi tulikua tunaishi Mbugani baadae tukaja kuondolewa, hivyo wanyama karibu wote nimekua nikiwaona kwa macho yangu, hivyo ningetamani huo urithi...
  5. Masinki

    Tunazipenda sana ajira zetu ila watu wanaoitwa mabosi wanafanya tuzichukie na kuichukia Serikali

    Sahau kuhusu Simba na Yanga kwa leo. Karibu tuangazie suala hili. Ni kisa cha kweli nilichoadisiwa na mmoja wa marafiki zangu na classmate wangu,yeye ni mtumishi wa umma katika mkoa X wilaya X hapa nchini ameanza kazi mwaka 2011 kama afisa msaidizi baadaye akawa confirmed afisa kamili...
  6. Sky Eclat

    Tuna unga mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano, maendeleo hayana chama

  7. diana chumbikino

    Serikali kuondoa changamoto zote uwekezaji

    SERIKALI itaendelea kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji na kuondoa changamoto zote zinazokwamisha sekta ya uwekezaji nchini. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema hayo juzi alipotembelea Kiwanda cha Saruji Simba jijini Tanga ambapo alizungumza na uongozi pamoja na wafanyakazi wa kiwanda hicho...
  8. S

    Kwa mujibu wa Sheria, VICOBA vinatakiwa kusajiliwa na kulipa kodi ya Serikali?

    Sheria ya Microfinance na kanuni zake inasemaje kuhusu vikundi vya watu kuweka fedha na kukopeshana yaani VICOBA(sio SACCOS)? Je,VICOBA vinatakiwa kusajiliwa? Na je,vinapaswa kulipa kodi? Kama vinapaswa kusajiliwa na kulipa kodi, kutosajili na kutolipa kodi adhabu yake ni nini?
  9. Parabora

    Viongozi wasio na maono, weledi na ubovu wa mifumo unaifanya serikali kulipa watumishi wengi wasiokuwa majukumu ya kazi

    Nasema hili nikiwa nimeliona katika ofisi nyingi za serikali baada ya kurudi likizo huko nyumbani, Serikali inatumia gharama nyingi sana kulipa mishahara na posho za watumishi lakini ni wachache sana, wachache mno wanaofanya kazi, wengi wao wanaripoti na kupiga soga mda wote wakiwa kazini...
  10. M

    Serikali iache kuwaonea wafanyakazi, itafute vyanzo vingine vya mapato

    Inasikitisha kuona kuwa Serikali inagawana sawa mshahara wa mfanyakazi, Yaani mfanyakazi anachukua nusu na Serikali nusu harafu bado mnatushauri tuisifu Serikali.
  11. hp4510

    Hivi inakuwaje Tovuti nyingi za Serikali namba zake za simu huwa sio za hapo?

    Nimekuombana na tatizo hili mara kibao sana. Unakuwa na shida flan, unaenda kwenye website husika, unachukua namba ya simu na ukipiga unaambiwa ni namba ya mdada wa kazi sijui wapi huko. Mfano jana nilikuwa nataka namba ya office ya DPP nimeingia kwenye web yao Nimepata namba napiga kumbe ni...
  12. Z

    Agizo la Rais juu ya taasisi za Serikali kupewa kazi za ushauri liliishia wapi?

    Rais anaposonga mbele, aliyoagiza nyuma yanasahaulika. Muongozo ulitolewa na serikali ya awamu hii ikiwa ni pamoja na ofisi za serikali kuhamia majumba ya serikali, mikutano kufanyika nyumba za serikali, kazi za ushauri kufanywa na taasisi za serikakali. Nionacho ni mapambano kati ya tabia za...
  13. The Assassin

    Serikali mkoani Lindi imekiri kudaiwa TZS Billioni 6.9 za wakulima wa korosho ambao hawajalipwa 2018/2019

    Serikali mkoani Lindi imekiri kua inadaiwa na wakulima wa korosho kiasi cha Bilioni 6.9 za wakulima wa korosho kwa msimu wa 2018/2019. Wakulima hao ni wale serikali ilichukua korosho zao na kuahidi kuwalipa ila hadi sasa hawajalipwa. Serikali inadai sababu kubwa ya kuchelewa kuwipa ni kutokana...
  14. MIMI BABA YENU

    Dr. Abbas: Tenda ya ujenzi wa reli ya SGR kutoka Mwanza-Isaka itatangazwa wakati wowote

    Shirika la Habari la Kimataifa la CNBC Africa tarehe 29 Februari, 2020 limerusha kwa zaidi ya nchi 100 duniani makala inayoeleza mafanikio ya Tanzania katika sekta mbalimbali Ripoti ya RMB ya mwaka 2020 imeitaja Tanzania imekuwa ya 21 duniani, Afrika imekuwa ya 4 na Afrika Mashariki imekuwa ya...
  15. technically

    Miaka 5 ya utawala wa Rais Magufuli ametengeneza Serikali ya kishikaji kuliko Kikwete

    Kikwete alilipa bunge meno ili kuikalipia serikali kila wakati inapofanya ndivyo sivyo, kikwete alifika wakati akawatumbua washikaji zake kama Kagasheki, Lowassa, Nchimbi na Tibaijuka na wengine kibao. Magufuli toka ameingia madarakani Paul Makonda, Dotto James wametuhumiwa ila hajachukua hatua...
  16. M

    Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona

    Mhudumu wa uwanja wa KIA amesema katika kipindi hiki ambapo ugonjwa wa Corona Virus umepiga sana China, idadi ya watalii kutoka China imeongezeka maradufu kuja nchini. Wachina wenyewe wakihojiwa wamesema pamoja na utalii wamekuja kutafuta sehemu salama kukimbia ugonjwa huo kwao. Hii hali...
  17. concordile 101

    Nimekosa amani mwanangu anakohoa kifua kikavu na hapati nafuu

    Ni siku kama ya tatu mwanagu wa mwaka mmoja anakohoa kikohozi kikavu na usiku anapata taabu ya kupumua. Mimi ni mfauatiliaji wa thread ya Coronavirus humu, nimekosa raha kabisa na isitoshe niko mbali nao. Yaani kila nikifuatilia habari ya wataliii Arusha natamani kulia kwa jinsi serikali...
  18. J

    Viongozi wengi wa Serikali waliotokea UVCCM wana jazba na kejeli ukiwaondoa Dkt. Nchimbi na Shigela, hii husababishwa na nini?

    Nikupe tu mifano Mwita Waitara, Salum Happi, Ole Sabaya, Kasesela, Albert Chalamila na wengine wengi tu wale manaibu waziri ukimtoa Mavunde ni full jazba. Je, sababu ni nini? Enzi za Tanu Youth League tulifundishwa namna ya kuhimili vishindo, changamoto na makandokando ya uongozi sina hakika...
  19. K

    Bila kuchelewa, Serikali ya Tanzania ijipambanue kupata uchaguzi huru na haki ili kuondoa upotoshaji

    Kwanza naomba Mods, uzi huu usiunganishwe na nyengine. Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na kauli mbali mbali kuhusu Madai ya tume huru ya uchaguzi Tanzania. Si vyama vya upinzani tu lakini hata wadau wa maendeleo na demokrasia wamesikika wakihimiza kwa serikali kuleta tume huru ya uchaguzi...
  20. J

    Tanzania haitasita kuizuia Zambia kupitishia mizigo yao hapa nchini

    Waziri wa biashara mh Bashunga amesema Zambia inafanya faulo katika biashara ya mahindi kwenye soko la DRC. Mh Bashunga amesema kama Zambia wataendelea na faulo zao japo wote tuko kwenye SADC basi serikali haitasita kuizuia kupitishia mizigo yao hapa nchini. Source ITV habari!
Back
Top Bottom