11 Julai 2020
Dodoma, Tanzania
Imewekwa Tarehe: July 10th, 2020
Serikali leo imetia saini mikataba miwili ya kuanza rasmi kwa ujenzi wa Barabara ya lami ya njia nne ya Mzunguko (Outer Ring Road) ndani ya Jiji la Dodoma itakayokuwa na urefu wa kilometa 112.3 na kuwa barabara ndefu za aina hiyo kuliko zote katika Nchi za Afrika Mashariki na Kati na kutatua changamoto ya msongamano wa magari jijini Dodoma.
Mikataba iliyosainiwa ni baina ya Wakala wa Barabara (TANROADS) kwa niaba ya Serikali na wakandarasi wawili Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) na AVIC INTL Project Engineering Company walioshinda zabuni ambao watajenga barabara hiyo kwa kipindi cha miezi 36. Mkandarasi Civil Engineering Construction Corporation (CCECC), atajenga kilometa 52.3 kuanzia Nala – Veyula – Mtumba – Ihumwa Dry Port na mkandarsi AVIC INTL Project Engineering Company atajenga kilometa 60 itakayoanzia Ihumwa Dry Port – Matumbulu hadi Nala.
Mradi huu utahusisha Ujenzi wa Vituo vya Afya pamoja na magari ya wagonjwa (Ambulance) matano katika maeneo ya Ihumwa, Nala, Mahomanyika na Veyula.
Aidha, itajumuisha uchimbaji wa visima virefu vya maji katika maeneno ya Ihumwa, Mahomanyika, Nala na Veyula.
Vilevile, kutakuwa na ukarabati wa Shule ya Msingi Chilwana Ihumwa na ukarabati wa barabara za Mwangaza-Medeli-Kizota-Zuzu zenye jumla ya Kilometa 28.37.
Source : Serikali yasaini mikataba ya Ujenzi wa Barabara ya Mzunguko (112.3km) Jijini Dodoma
News Alert :
11 July 2020
Dodoma, Tanzania
Tanzania signs road construction agreements with two Chinese firms
The construction of the 112.3-kilometer road to be financed by the African Development Bank and the government of Tanzania marked another milestone towards improvement of the east African nation’s infrastructure.
Speaking after the signing of the agreements, Patrick Mfugale, TANROADS Chief Executive Officer, said CCECC will construct 52.3 kilometers of the road for 100.8 billion Tanzanian shillings (about 43.5 million U.S. dollars) within 39 months and AVIC INTL Project Engineering Company will construct 60 kilometers of the road at 120.86 billion Tanzanian shillings within 43 months.
The agreements were signed Friday in the capital Dodoma between the Tanzania National Roads Agency (TANROADS), on behalf of the government of Tanzania, and representatives from China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) and AVIC INTL Project Engineering Company.
Source: Tanzania signs road construction agreements with two Chinese firms
Dodoma, Tanzania
Serikali yasaini mikataba ya Ujenzi wa Barabara ya Mzunguko (112.3km) Jijini Dodoma
Imewekwa Tarehe: July 10th, 2020
Serikali leo imetia saini mikataba miwili ya kuanza rasmi kwa ujenzi wa Barabara ya lami ya njia nne ya Mzunguko (Outer Ring Road) ndani ya Jiji la Dodoma itakayokuwa na urefu wa kilometa 112.3 na kuwa barabara ndefu za aina hiyo kuliko zote katika Nchi za Afrika Mashariki na Kati na kutatua changamoto ya msongamano wa magari jijini Dodoma.
Mikataba iliyosainiwa ni baina ya Wakala wa Barabara (TANROADS) kwa niaba ya Serikali na wakandarasi wawili Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) na AVIC INTL Project Engineering Company walioshinda zabuni ambao watajenga barabara hiyo kwa kipindi cha miezi 36. Mkandarasi Civil Engineering Construction Corporation (CCECC), atajenga kilometa 52.3 kuanzia Nala – Veyula – Mtumba – Ihumwa Dry Port na mkandarsi AVIC INTL Project Engineering Company atajenga kilometa 60 itakayoanzia Ihumwa Dry Port – Matumbulu hadi Nala.
Mradi huu utahusisha Ujenzi wa Vituo vya Afya pamoja na magari ya wagonjwa (Ambulance) matano katika maeneo ya Ihumwa, Nala, Mahomanyika na Veyula.
Aidha, itajumuisha uchimbaji wa visima virefu vya maji katika maeneno ya Ihumwa, Mahomanyika, Nala na Veyula.
Vilevile, kutakuwa na ukarabati wa Shule ya Msingi Chilwana Ihumwa na ukarabati wa barabara za Mwangaza-Medeli-Kizota-Zuzu zenye jumla ya Kilometa 28.37.
Source : Serikali yasaini mikataba ya Ujenzi wa Barabara ya Mzunguko (112.3km) Jijini Dodoma
News Alert :
11 July 2020
Dodoma, Tanzania
Tanzania signs road construction agreements with two Chinese firms
The construction of the 112.3-kilometer road to be financed by the African Development Bank and the government of Tanzania marked another milestone towards improvement of the east African nation’s infrastructure.
Speaking after the signing of the agreements, Patrick Mfugale, TANROADS Chief Executive Officer, said CCECC will construct 52.3 kilometers of the road for 100.8 billion Tanzanian shillings (about 43.5 million U.S. dollars) within 39 months and AVIC INTL Project Engineering Company will construct 60 kilometers of the road at 120.86 billion Tanzanian shillings within 43 months.
The agreements were signed Friday in the capital Dodoma between the Tanzania National Roads Agency (TANROADS), on behalf of the government of Tanzania, and representatives from China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) and AVIC INTL Project Engineering Company.
Source: Tanzania signs road construction agreements with two Chinese firms