Tangu serikali iamue kupeleka miradi ya maji ya vijiji kwa mtuwasa Mtwara vijiji tunapata taabu sana. Miradi ambayo siku zote ilikuwa inaenda vizuri siku hizi ni kero sana. Mfano mradi wa kata ya naumbu tangu uchukuliwe umekuwa haupati maji kwa hali ipasavyo. Maji yetu ambayo hupampiwa na mashine zetu yanapelekwa mtwara mjini na kutubagua wenye mradi.... Hapa ninapoandika hatujapata maji kwa takriban wiki tatu na ukipiga simu mtuwasa wanatujibu majibu ya dharau kwa kudhani sisi ni wajinga wanakijiji...
Kama hamkufurahia raisi kuamua hivi, huu sio muda muafaka wa kumhujumu!!!
Kama hamkufurahia raisi kuamua hivi, huu sio muda muafaka wa kumhujumu!!!