Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 930
- 1,408
Naiuliza tu hii Serikali italipa lini malimbikizo ya mishahara ya walimu? Kuna awamu mbili ya madai ya malimbikizo ya mishahara ya walimu,kuna waliopanda daraja 2018 na 2019 hatujalipwa hadi leo hii. Kwa upande wangu ninadai shilingi laki nane. Kiasi hicho cha pesa kwa kada yangu hii ya uwalimu naona itanisaidia hata kununua kiwanja huku nilipo.
Viongozi wa serikali mliomo humu na wana CCM naamini kwa nafasi zenu ikumbusheni Serikali swala hili kwani linaweza kuwatia doa katika kipindi hiki.
Viongozi wa serikali mliomo humu na wana CCM naamini kwa nafasi zenu ikumbusheni Serikali swala hili kwani linaweza kuwatia doa katika kipindi hiki.