Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima, hii ikiwa ni pamoja na kufunga shule zote, na ligi ya mpira kwa siku 30 kuanzia Machi 17, 2020
Hakuna uhakika kwamba ndani ya siku 30 ugonjwa huu utaondoka, inawezekana ukawa na nguvu zaidi ya ulivyo sasa au...