G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Yani kila kiongozi wa serikali sasa yupo Dodoma. Tunaona mpaka kumbe waziri mkuu au Rais anaweza kuongea na wasaidizi wake nchi nzima akiwa tu Dodoma.
Ila kiukweli nilikuwa sijui kama Rais Magufuli yupo Dodoma hadi nilopomuona leo. Mara ya mwisho aliishia hapo kati hapo kwenye lile daraja nikawa najiuliza kaelekea kona ipi tena?
Sina uhakika sana kama VP yuko hapo Dodoma ila nawaza kuwa lazima atakuwa tu huko. Dodoma kumbe ni sehemu salama ya kuusalimisha uhai.
Hatimaye Dar imekuwa shubiri ghafla. Yani washua wetu mmetukimbia wakati tulikuwa wote kwenye raha? Haya bwana acheni sisi tupambane na sinema za mwana fa na meja Kunta maana hatuna namna wala pa kujisalimisha. Dar ni yetu tunaenda nayo hivyo hivyo! Tukimaliza mapambano mnakaribishwa tena washua!
Ila kiukweli nilikuwa sijui kama Rais Magufuli yupo Dodoma hadi nilopomuona leo. Mara ya mwisho aliishia hapo kati hapo kwenye lile daraja nikawa najiuliza kaelekea kona ipi tena?
Sina uhakika sana kama VP yuko hapo Dodoma ila nawaza kuwa lazima atakuwa tu huko. Dodoma kumbe ni sehemu salama ya kuusalimisha uhai.
Hatimaye Dar imekuwa shubiri ghafla. Yani washua wetu mmetukimbia wakati tulikuwa wote kwenye raha? Haya bwana acheni sisi tupambane na sinema za mwana fa na meja Kunta maana hatuna namna wala pa kujisalimisha. Dar ni yetu tunaenda nayo hivyo hivyo! Tukimaliza mapambano mnakaribishwa tena washua!