sahihi

  1. kibokomchapaji

    JamiiForums Tanzania Namna sahihi ya kujifukiza

    Brighton Amolo Majwala, amesummarise mahojiano ya ndugu yetu msomi akihojiwa na Television ya taifa leo kuhusu kujifukiza na kutoa summary hii hapa chini, ni vizuri kushea hii,ina faida kwa watanzania 👇🏻 Dk otieno (Phd), mkurugenzi wa tafiti za Tiba asili, Chuo Kikuu cha tiba Muimbili...
  2. CCM Music

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nani yupo sahihi? Ni mimi ama jamaa?

    Jamaa kwake ana mtoto wa kike wa rafiki yake ile kisasa wanaitana 'family friend'. Mtoto huyu yupo Form 4. Aliletwa kwa jamaa ili aweze kusoma kwa sababu Kwa jamaa kidogo mazingira ni rafiki sana, na ni karibu sana na shule. Shule zetu hizi za kata. Binti akawa haraki kufuata utaratibu wa...
  3. Nyaka-One

    JamiiForums Tanzania Kujifukiza kiholela kutaleta athari kubwa baada ya Covid 19: Wizara ya Afya itupe mwongozo wa mchanganyiko sahihi haraka

    Kwenye kipindi hiki cha covid 19 kumekuweko na shuhuda na maelezo mbalimbali kuhusu aina za michanganyiko ya viungo, majani au mitishamba ya kutumia kwa kunywa au kujifukiza na wakati mwingine maelezo yamekuwa yakipishana. Michanganyiko ambayo imekuwa ikitajwa sana na wengi inajumuisha vitu kama...
  4. gfsonwin

    JamiiForums Tanzania Je, kusubiri tupate herd immunity ni njia sahihi ya kukabiliana na #COVID19TZA?

    Wanabodi salaam! Leo nimekuja kwenu ninataka tujadili kuhusu njia za kupambana na #COVID19TZ. Katika hali.isiyo rasmi inaonekana tayari wizara ya afya kwa baraka za mheshimiwa rais imeamua kutatuta tatizO hili kwa njia ya herd immunity. Herd immunity ni njia ya kitaalam ya kuacha ugonjwa wa...
  5. Mtapenda

    JamiiForums Tanzania Tanzania imekumbwa na ugonjwa mpya unaitwa matatizo ya kupumua

    Habari zenu wanaJF, Ni wiki sasa Tanzania tunatangaziwa watu maarufu wanafariki kwa matatizo ya kupumua tena ni wengi mno sasa ni wakati wa serikali kututangazia haya matatizo ya kupumua yanasababishwa na nini!?, Dalili zake pamoja na tahadhari ya kuchukua.. Ni dhahiri kwamba mh rais kama...
  6. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Wizara ya afya watalaamu wenu wapo wapi? Tunahitaji taarifa sahihi juu ya ugonjwa wa Covid-19

    Kila mtu sasa hivi amechanganyikiwa, watu wanaishi kwa hofu maana elimu au taarifa kuhusu huu ugonjwa zinachanganya. Mimi binafsi nilitarajia kuwa hata kila baada ya saa moja anakuja mtaalamu wa wizara ya afya na kutoa elimu juu ya huu ugonjwa kwenye Tv. Mfano mmoja tu ni kwenye kuvaa mask ni...
  7. Apps-tz

    JamiiForums Tanzania Je, unahitaji kupata historia sahihi ya matumizi ya pesa zako? Tumia njia hii

    Bila shaka unaweza ukawa ni mmoja ya watu ambao ulishawahi kufanya miamala na ukahitaji kupata historia ya miamala yako yote kwenye mpangilio mzuri, ili uweze kubajeti pesa zako au kufahamu vizuri matumizi yako. Lakini changamoto ni kwamba kuna ugumu katika kupata historia ya matumizi yako hasa...
  8. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadau, ni sahihi kumpa talaka mke mjamzito?

    Habarini wadau! Moja kwa moja kwenye mada kama ilivyo hapo juu; Mume akihisi imelazimu kutalikiana na mke ambaye ni mjamzito, utaratibu ukoje (ukiwa una ujuzi wa maarifa ya kidini ya Kiislamu itapendeza zaidi) Ahsanteni! Korona ipo, tufanye alichoagiza mheshimiwa Raisi!
  9. J

    JamiiForums Tanzania Jifunze matumizi sahihi ya Barakoa ujikinge na #COVID19

    MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA MATUMIZI YA BARAKOA Uvaaji wa barakoa au “mask” ni moja ya njia za kujikinga na maambukizi ya magonjwa mbalimbali ya kuambukiza. Katika kudhibiti kusambaa kwa Virusi vya #Corona Barakoa inapaswa kuvaliwa endapo unakohoa au kupiga chafya, mtu wa karibu yako ana dalili...
  10. britanicca

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni sahihi Mwanamke kutimiza miaka 31 hajaolewa? Ukimuoa kuna faida hapo?

    Mara nyingi mwanamke uolewa akiwa na 23 mpaka 27 ni mara chache sana kukuta mwanamke mwenye nia ya kuolewa akiwa na 30+ Kinachopelekea wanawake kuchelewa kuolewa ni nini? Tabia? Mwonekano? Au nini??
  11. F

    JamiiForums Tanzania Hivi kiswahili sahihi ni osha mikono au nawa mikono? Naona kama tunakosea lugha

    Tangu ujio wa corona au covid 19, kumekuwa na matumizi ya neno osha mikono. Mimi navyojua kuosha inahusisha vyombo na viungo nusu vya binadamu tunatumia Nawa. Ikiwa ni mwili mzima tunatumia neno Oga. Kwa nguo tunatumia neno Fua. Wadau naomba mnitoe matongotongo kwa wale wajuvi wa lugha adhimu...
  12. Carleen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kuelimishwa kidogo juu ya hili

    Hi guys, Habari zenu, natumaini mpo salama japo najua hali si shwari, kwani hofu ya corona imetawala kila pande ya dunia, tuendelee kuomba Mungu atulinde wakati huo huo tukifuata maelekezo yote yatolewayo na wizara ya afya..!! Naomba nitoe hili jambo, katika mfumo wa swali naamini kuna wajuvi...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Kuhusu suala la Corona, Rais yupo sahihi sana

    Kwanza nawapa pole nyingi waliougua, lakini pia na wenzetu nchi nyingine waliopoteza ndugu zao. Natambua katika suala hili yamesemwa mengi, yakiwapo ya wataalam. Hivyo basi kwa kuwa mimi sio mtaalamu wa afya, naomba nitoe maoni katika mtazamo wa kiafrika na hasa katika muktadha wa nchi yangu...
  14. Trubarg

    JamiiForums Tanzania CORONA: Mambo ya kuzingatia wakati wa kununua na matumizi ya hand sanitizers (Viua vijidudu)

    Sanitizer Ni Aina ya kemikali inayotumika katika kuua vijidudu Kama bacteria, fangasi, virusi n.k. Hutumika pia maeneo mbalimbali Kama viwandani, hospitalini na hata kwenye maabara. Sanitizer huwekwa michanganyiko mbalimbali ikiwemo marashi, rangi n.k. Component muhimu inayoua vijidudu Ni...
  15. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Je, haya Mapungufu ya utoaji sahihi wa Taarifa muhimu kati ya Mainstream Media na Social Media yana Tija gani kwa Watanzania?

    Ukipitia Vyombo vya Habari kama Clouds tv na Mwananchi bila kusahau na vinginevyo vichache utaona wameandika kuwa akina Mbowe na Wenzake wameshindwa Kulipa Faini leo Mahakamani katika muda uliopangwa na wameenda Segerea wakimaanisha Kuanza Vifungo vyao . (Mainstream Media) Lakini hapo hapo tena...
  16. Masinki

    JamiiForums Tanzania Je, Alichofanyiwa mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani na BAWACHA ni sahihi?

    Jana tarehe 08/03/2020 wanawake wote duniani waliadhimisha kumbukizi kwa ajili Yao ikiwa na lengo la kupaza sauti kupatiwa USAWA na kupinga ukandamizaji wa kijinsia!! Katika maadhimisho hayo wanawake kwa vikundi ama kwa jumuiya zao walijumuika pamoja kujiwekea mikakati mbalimbali kijamii na...
  17. May Day

    JamiiForums Tanzania Hili neno zeruzeru linafaa kutumika?

    Nilikuwa nasikiliza BBC SWAHILI leo ninamsikia Mtangazaji Ann Ngugi anatumia hilo neno, cha ajabu hata Wenzake, akiwemo Mbelechi wa Congo wametumia jina/neno 'wenye ulemavu wa ngozi' au Albino. Ina maana BBC na ukubwa wao hawajui?
  18. S

    JamiiForums Tanzania Swali kwa CCM: Ikiwa "makosa" ya Membe, Makamba na Kinana yalihumhusu Magufuli, ilikuwa sahihi kwa Magufuli kuwa Mwenyekiti wa Kamati iliyowaadhibu?

    Ninaamini CCM wanauelewa msemo kwamba kesi ya kima huwezi kupeleka kwa nyani. Hakutakuwa na haki katika hukumu. Vivyohivyo, Watanzania wote wanaelewa kwamba tuhuma za CCM dhidi ya Membe, Makamba na Kinana kwa namna kubwa zilikuwa zinamhusu Magufuli. Membe siku zote ameonwa kuwa mpinzani na...
  19. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania "Maharage ya Mbeya maji mara moja" ni kauli ya kweli? Ni kwenye maharage tu au hadi kwa wanambeya? Kama kauli huumba, Jibu sahihi ni Oktoba 2020!

    Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, ambalo jibu lake rasmi litapatikana baada ya October 28, 2020, ila kama una majibu, unaweza kuchangia kujibu na sio lazima tusubiri hadi hiyo October 2020. Angalizo: Naomba kuanza hili bandiko na angalizo la mawazo masafi, tusome bandiko hili tukiwa na...
  20. J

    JamiiForums Tanzania 80% ya Watanzania waliokataa mfumo wa vyama vingi walikuwa sahihi, kizazi cha Upinzani wa kweli bado hakijazaliwa

    Ikumbukwe kuwa ni takribani 20% ya wananchi ndio walisema wanapendelea mfumo wa vyama vingi uanzishwe nchini na 80% waliukataa kwa madai kuwa kwa wakati ule taifa halikuhitaji na wala halina wapinzani wa "kweli". Baba wa taifa akasema wachache wapewe na wengi wasikilizwe, ndipo ukaanzishwa huu...
Back
Top Bottom