sahihi

  1. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Siku zote Mwanamke asiyekutaka na aliyekuchoka atakuwa anakusumbua tu hadi Ukasirike kwakuwa anakuwa ameshamuona Mwanaume aliye sahihi Kwake Kiupendo

    MORRISON KUKATWA MSHAHARA: Yanga yatoa ufafanuzi kuhusu mkataba wake na Bernard Morrison, yasisitiza kuwa ni mchezaji wao halali hadi Julai 2022, yasema itamkata shilingi milioni 1.5 kwenye mshahara wake kwa kosa la kufanya mahojiano na chombo cha habari kinyume na utaratibu. Chanzo: Azam TV...
  2. britanicca

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni sahihi kumuacha mchumba au kumuoa kufuata wapambe wanavyosema licha ya kuona sifa ulizopanga kazikidhi? Ipo nafasi ya washauri kwa mpenzi wako?

    Kila anayechumbia anakuwa na malengo na mipango yake na sifa alizojiwekea kuwa lazima nioe au nioelewe na mtu mwenye sifa kadhaa!! Je unaweza kumuacha mtu wako kisa maneno ya wanaosema hata kama amekidhi vigezo vyako? Mfano wakwambie Ni mwizi Ni malaya Ana mtoto usioe mwenye mtoto Kwao...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania GE2020 Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

    Membe anasema: Kuhusu kugombea ndani ya CCM: Kuhusu kugombea ndani ya CCM, tukafikia mwafaka na Washauri, Tukafikia uwamuzi kwamba, sisi hatujamkosea mtu, sisi hatujawa waharifu, sisi hatuna uoga na tunaniamini, sisi tuna haki kabisa kabisa ya kugombea urais huu kwa sababu tunalindwa na Katiba...
  4. Influenza

    JamiiForums Tanzania GE2020 CCM wana maana gani kuandika Fomu zao za Urais ni za kuwania Uongozi katika Vyombo vya Dola?

    CCM wana maana gani kuandika Fomu zao za Urais ni za kuwania Uongozi katika Vyombo vya Dola?
  5. britanicca

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni sahihi kumuacha Mkeo aparangane na biashara za masafa ya Mbali?

    Ni asubuhi nyingine, matumaini ni kuwa mmeamka salama. Je, ni sahihi kumuacha mkeo kufanya biashara ya kusafiri kwenda mbali kufuata mzigo au bidhaa akiwa mwenyewe? Mfano, mke kusafiri kwenda mikoani kununua mazao ya nafaka na kupeleka dar ambako anamuacha mme wake. Au kusafiri kwenda Dubai...
  6. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Urais wa Zanzibar siyo jambo la Muungano. Si sahihi kwa Watanganyika kushiriki kwa namna yoyote ile kumpata Rais wa Zanzibar

    Tunayo mambo mengi tu ya Muungano lakini suala la Uraisi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar siyo mojawapo. Hivi sasa Chama cha Mapinduzi kiko busy kutafuta Mgombea Uraisi wa Zanzibar, katika vitu ambavyo ni makosa ni kuwahusisha Watanganyika katika mchakato wa kumtafuta mtu ambaye atakuwa...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Serikali sahihi ni ipi kati ya hizi

    1. Serikali ya John Joseph Pombe Magufuli - Ni rais wa nchi hana pesa za mfukoni za kuendesha Nchi si mali yake binafsi... 2. Serikali ya Chama Cha Mapinduzi - Ni Serikali ya Chama Kilichopewa Dhamana ya kutawala kwa wakati huu 3. Serikali ya Wananchi wa Tanzania - Wanalipa Kodi na kuhakikisha...
  8. Sheillah Sheillah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni sahihi mwanamke kumkosoa mume wake/boyfriend?

    Habari. Moja ka moja kwenye maada, Ni sahihi mwanamke/mke/girlfriend kumkosoa mume wake/boyfriend anapokosea?. Mfano, mwanaume kamtumia mwanamke/mke wake text kwa lugha ya English. Hiyo text ikawa na makosa, sio ya bahati mbaya bali ni kwamba mwanaume hajui hiyo lugha vizuri. Mwanamke...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Mazoezi na COVID19: Je, ni sahihi kuvaa barakoa wakati wa mazoezi?

    Kiafya, haitakiwi kuvaa barakoa ‘mask’ wakati wa kufanya mazoezi kwa sababu zinapunguza uwezo wa kupumua vizuri. Katika kufanya mazoezi, katika hali ya kawaida huwa na ugumu wa kuhema hivyo kwa kuvaa barakoa ugumu unaongezeka. Vilevile, jasho linaweza kulowesha barakoa haraka na kuifanya isifae...
  10. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Hiki alichohoji mtoto huyu yupo sahihi au kakosa Adabu?

    Ni Mtoto wa Kike ( Binti ) tu ambaye anaishi katika Chumba Kimoja na Wazazi wake ila Kimetenganishwa tu amemshtaki Mama yake Mzazi kwa Mjumbe kwa Kumcharaza ( Kumchapa ) Viboko kila mara kwa Kosa la Kukojoa Kitandani kila mara huku akisema mbona na Yeye huwa anamsikia Mama yake huyo akimwambia...
  11. kikoozi

    JamiiForums Tanzania Kwenye hili sitaki nifeli, naombeni ushauri wenu waungwana

    Nimemaliza chuo muda (2016) kidogo, nimesota sana kupata ajira, nimesota sana mpaka nilifikia kukata tamaa ya maisha, Mungu mkubwa mwaka jana mwezi wa 5 nikaja kupata kazi kwenye mradi mmoja hivi, kutokana na mapito ya kukosa kazi na kuangaika mtaani, nilijichanga mnooo mnoo nilijichanga kupita...
  12. William Mshumbusi

    JamiiForums Tanzania Huwa nafikiria sana haya, Hivi Nkurunzinza alikufa na Corona au ameuawa na sumu za kisasa. Ilikuwa sahihi sana Viongozi wetu kuwa sehemu salama

    Hii Corona ukiifikilia kwa undani ipo na Siri kubwa. Kwa wanaotafakari kwa undani lazma wajiulize hivi ilikuwaje. Mara Waziri wa afya Uingereza kaugua korona, kidogo Waziri mkuu oh Mara imeingia ikulu ya Marekani. Kwa wataalamu wa Mambo huwenda ilikuwa sio kwa bahati mbaya ili ionekane wazi kuwa...
  13. M-mbabe

    JamiiForums Tanzania Wanabodi, Je ni sahihi kwa kiongozi katika ngazi hii kubwa kabisa kutamka maneno kama haya?

    Kama nchi kupitia Serikali yetu, ninaamini mkazo mkubwa kwa vijana wetu wanapokuwa mashuleni na vyuoni ni kuhakikisha kuwa wanajikita katika makusudi ya msingi yaliyowapeleka kwenye tassisi walizopelekwa kusoma. Kila Mtanzania mwenye nia njema na watoto wetu (hususani wale wa kike) anao wajibu...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Bado naamini Power of Nature itaingilia kati katika muda sahihi na kuwanyamazisha kabisa hawa watu

    Ukifuatilia kauli na matendo ya hawa wenztu,utagundua kuwa ni watu ambao sasa wanamuabudu binadamu mwenzao na zaidi ni watu waliolewa madaraka,waliojisahau kupitiliza,wamejaa kiburi cha hali ya juu,wanadharau utu wa watu wengine na kibaya zaidi wameshajihakikishia kesho yao itakuwaje as if...
  15. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania CHADEMA hawajali protocol, yeyote aweza hutubia taifa. Duni Haji alikuwa sahihi CHADEMA kila mtu ana sharubu

    Chama makini huwa na protocol mfano kuongea na taifa nani anatakiwa kuongea. Ni mwenyekiti wa chama taifa. Lakini CHADEMA hata mbunge aweza ibuka akaita vyombo vya habari kuongea na taifa hata diwani aweza jiibukia tu na kuongea na taifa. Mfano mtu anayeomba kuteuliwa na CHADEMA kugombea...
  16. B

    JamiiForums Tanzania Corona: Ni wajibu wa Serikali kutupa majibu sahihi

    Mabibi na mabwana moja kwa moja kwenye mada. Itifaki yote imezingatiwa. Serikali ni chombo cha wananchi chenye dhamana ya kuwaongoza wananchi wake. Katika dhamana hiyo serikali haiwezi kuukwepa wajibu wake wa kutoa taarifa zilizo sahihi katika jambo lolote lile kwa wananchi wake. Ni vivyo...
  17. A

    JamiiForums Tanzania Elimu kwa Umma juu ya matumizi sahihi ya alama barabarani na uzingatiaji wa sheria

    Hongereni sana Wizara ya Mambo ya Ndani kupitia kitengo chenu cha usalama barabarani kwa kazi mnayofanya kupambana na waharifu wa barabara,pia hongereni wizara ya afya kwa kushirikiana na vyombo vyote vya ahabari nchini, mitandao ya kijamii n.k. katika kutoa elimu juu ya madhara ,namna ya...
  18. Mystery

    JamiiForums Tanzania Hivi Rais Magufuli kumuagiza Waziri wa Fedha atoe pesa shilingi bilioni mbili toka Hazina ni sahihi?

    Wananchi wote tumemsikia Rais Magufuli akimuagiza waziri wa Fedha, Dkt Philipo Mpango "achote" pesa kiasi cha shilingi bilioni mbili kwenye Hazina ya Taifa, ndani ya saa 24 na awaletee wakandarasi ili zikamilishe ujenzi wa Ikulu wa Chamwino na akaendelea kumpiga mkwara mzito waziri huyo kuwa ole...
  19. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Je, wakati tunajiandaa kuingia katika Uchaguzi Mkuu, CHADEMA Ikiwa katika vipande vipande Mbowe bado Mtu sahihi?

    Wakuu tumebakiwa na mda mchache kabla ya kipyenga cha uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kupulizwa, Tumeshuhudia CHADEMA ikigawanyika katika vipande vipande na kusababisha vijana makini waliowanoa kwa miaka mingi kukihama chama hiki. CHADEMA iliundwa na Vijana makini waliokua wamejengeka kisiasa na...
  20. L

    JamiiForums Tanzania Kama taarifa ya janga la korona haina umuhimu Tanzania kwanini vyombo vyetu vya habari viendelee kutoa taarifa za mataifa mengine?

    Baadhi ya vyombo vya habari kama ITV na UTV hapa nchini kila baada ya taarifa ya habari hutoa summary ya mwenendo wa maambukizi ya korona duniani. Je kuna faida au madhara gani kwa wananchi kusikia taarifa ya mwenendo wa Korona kwa mataifa ya nje tu bila kujua kinachoendelea nchini? Je...
Back
Top Bottom