Hivi hii nadharia ya kila pendo la kweli lazima liishie kwenye ndoa ipo sahihi?

Carleen

JF-Expert Member
Nov 6, 2018
7,503
25,116
Hi guys,

Naomba kufahamishwa usahihi wa hii nadharia ya kila mnayependana kwa dhati ni lazima muonane ina ukweli kiasi gani?

Maana ukizungumzia tu upendo wa dhati halafu hayo mazungumzo yasiishie kwenye ndoa hakuna anayekuelewa kama kweli mlipendana.

Hivyo natamani kufahamishwa kuwa je ni kweli 'mafanikio' ya pendo lolote la dhati linapaswa liwe ndoa? Kwamba isipofika hapo maana yake hapakuwa na pendo la dhati ndani yake? This ain't nothing personal, nimetamani tu kufahamu..
 
Sio kweli, bila shaka we ni mzoefu wa kuambiwa maneno hayo
"nimekupenda kwa dhati" alafu acha kukimbia ukweli.
 
Kwanini hasa uanzishe mahusiano unayojua kabisa hayatafika popote ?

Umri wa kinadada kimahusiano ni mfupi ( miaka 18-26 ) sana na ni rahisi kuharibikiwa.

Umri ukiwa mkubwa na thamani yako inashuka, labda uwe umejiongeza kama una vipesa na elimu.

Kama una mtoto ndio kabisa.

Ishtoshe huo muda mnaokuwa mnachezeana, unaweza kuwa unapishana na watu muhimu zaidi kwenye maisha yako, wakijua uko BOOKED.
 
Haya mambo yakuziwazia ndoa ndio yanafanya watu wazidi kudanganyana na kuumizana kwenye mahusiano...ukikiona chuma umekielewa tongozaneni kaleni starehe muendelee na mambo mengine.....ndoa ikitokea baina yenu ni bahati mbaya tu
 
Kwanza tuijue maana ya ndoa, Kwa mujibu wa kifungu cha 9(1), cha Sheria ya Ndoa, sura ya 29 ya sheria za Tanzania, ndoa ni muungano wa hiari kati ya mwanaume na mwanamke unaokusudiwa kudumu kwa muda wa maisha yao yote.

Binafsi naona nadharia hiyo ipo sahihi
 
nini maana ya dhati? Ni kitu kile kinatoka ndani ya moyo bila unafki wala kusitasita wala kujiuliza mara mbili, sasa kama unasema mnapendana kwa dhati alafu hiyo dhati iishie njiani sidhani kama inastahili kuitwa dhati. Ila pia kuna circumstance ambazo zinaweza kujitokeza ambazo zinaweza zikasababisha wapendanao kwa dhati wakaishia njiani, lakini kama hakuna sababu yoyote ya msingi alafu mnaachana lakini mlituambia yalikuwa mapenzi ya dhati mmh
 
Umri ukiwa mkubwa na thamani yako inashuka, labda uwe umejiongeza kama una vipesa na elimu.
I’m sorry but I disagree.
Mawazo kama haya huwa mnayatoa wapi Mkaruka?
Vipo vitu vingi vya kushusha thamani ya mtu na kati ya vyote umri sio sababu.

"Baadhi" ya wanaume kutokupenda wanawake wenye 27+ yrs haimaanishi kwamba thamani ya hao wanawake imeshuka.

Wengi wanaogopa kwa sababu wenye 27+ year olds are difficult to manipulate. AND THAT'S THAT ON THAT.
 
"Baadhi" ya wanaume kutokupenda wanawake wenye 27+ yrs haimaanishi kwamba thamani ya hao wanawake imeshuka.

Wengi wanaogopa kwa sababu wenye 27+ year olds are difficult to manipulate. AND THAT'S IS THAT ON THAT.
No sio kwamba wanawake wenye 27+ years are difficult to manipulate, halafu hao ndo wanakuaga simple sana mana wamefikia umri wa kukata tamaa ya kuwa kwenye stable relationship, so hua hawakazi kamba kivile, walegezaji tu.

kwa kujibu swali lako ni kwamba, mbele ya macho yetu wanaonekana wametumika sana, wana maex wengi,
pia huwa tunajiuliza tangu upo 18 years mpaka leo hii una 27 hujapata tu mtu wa kutulia nae? mbele ya macho ya mwanaume, mwanamke dizaini hii anaonekana ni mkorofi akiwa na mwanaume au ana matatizo flani flani.

yani mwanaume akijua tu mwanamke una 27+, akili yake inaanza kumuonesha mared flags.
 
No sio kwamba wanawake wenye 27+ years are difficult to manipulate, halafu hao ndo wanakuaga simple sana mana wamefikia umri wa kukata tamaa ya kuwa kwenye stable relationship, so hua hawakazi kamba kivile, walegezaji tu.

kwa kujibu swali lako ni kwamba, mbele ya macho yetu wanaonekana wametumika sana, wana maex wengi,
pia huwa tunajiuliza tangu upo 18 years mpaka leo hii una 27 hujapata tu mtu wa kutulia nae? mbele ya macho ya mwanaume, mwanamke dizaini hii anaonekana ni mkorofi akiwa na mwanaume au ana matatizo flani flani.
Kuna watu mnaona 27 washajikatia tamaa! Mimi naona bado muda wa kujidai anao.
 
Kuna watu mnaona 27 washajikatia tamaa! Mimi naona bado muda wa kujidai anao.
No sio kwamba wanawake wenye 27+ years are difficult to manipulate, halafu hao ndo wanakuaga simple sana mana wamefikia umri wa kukata tamaa ya kuwa kwenye stable relationship, so hua hawakazi kamba kivile, walegezaji tu.

kwa kujibu swali lako ni kwamba, mbele ya macho yetu wanaonekana wametumika sana, wana maex wengi,
pia huwa tunajiuliza tangu upo 18 years mpaka leo hii una 27 hujapata tu mtu wa kutulia nae? mbele ya macho ya mwanaume, mwanamke dizaini hii anaonekana ni mkorofi akiwa na mwanaume au ana matatizo flani flani.

yani mwanaume akijua tu mwanamke una 27+, akili yake inaanza kumuonesha mared flags.
I’m sorry but I disagree.
Mawazo kama haya huwa mnayatoa wapi Mkaruka?
Vipo vitu vingi vya kushusha thamani ya mtu na kati ya vyote umri sio sababu.

"Baadhi" ya wanaume kutokupenda wanawake wenye 27+ yrs haimaanishi kwamba thamani ya hao wanawake imeshuka.

Wengi wanaogopa kwa sababu wenye 27+ year olds are difficult to manipulate. AND THAT'S THAT ON THAT.
Uelekeo wa mada unaenda kubadilika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I’m sorry but I disagree.
Mawazo kama haya huwa mnayatoa wapi Mkaruka?
Vipo vitu vingi vya kushusha thamani ya mtu na kati ya vyote umri sio sababu.

"Baadhi" ya wanaume kutokupenda wanawake wenye 27+ yrs haimaanishi kwamba thamani ya hao wanawake imeshuka.

Wengi wanaogopa kwa sababu wenye 27+ year olds are difficult to manipulate. AND THAT'S THAT ON THAT.
I haven't cmducted any credible study yet, but that's from my own experience.

Mwanamke akiwa na vyote kama shule, beauty, independent anakuwa very expensive hata demand yake ni kubwa.

But, the Opposite utaambiwa tu sogea tuishi. Kama hutaki acha ( Mostly mahusiano yako yatakuwa ni wazee, mke wa pili and the likes )
 
Kwanza inategemea ni upendo wa aina gani unajadiliwa. Hapo inatenganisha mihemko, tamaa na ujinga.

Pili, watu kuoana ni zaidi ya upendo, hua nasema ile ni watu wameamua kukubaliana tu kwamba una mapungufu yako na nna mapungufu yangu ila tunaweza kutamudu na kuvumiliana, tuishi pamoja.

Unaweza kumpenda mtu lakini akawa na mambo unaona kabisa kwenye ndoa italeta shida, au yeye asikupende kiwango cha kujiingiza kwenye ndoa na wewe.

Kama upendo wote wa dhati unachukuliwa na ndoa pekee, walioko kwenye ndoa wangekua katili na wasio na utu hata kidogo. Lakini bado wanapenda tena na tena, wenye hekima ndio wale hata akipenda, anakumbuka nimeoa au nimeolewa.

Kwa ufupi sio kila upendo utaishia kwenye ndoa na sio kila ndoa imejengwa kwenye upendo.
 
Unampenda mtu Kwa dhati lakini Mke WA mtu..
Au mume wa wa mtu.
Au Yuko mbali..
Au hakuamini..

Unaweza usimpende mtu ukawa una enjoy Tu kampani ukamuoa ili mpate watoto au mfanye biashara pamoja
 
I’m sorry but I disagree.
Mawazo kama haya huwa mnayatoa wapi Mkaruka?
Vipo vitu vingi vya kushusha thamani ya mtu na kati ya vyote umri sio sababu.

"Baadhi" ya wanaume kutokupenda wanawake wenye 27+ yrs haimaanishi kwamba thamani ya hao wanawake imeshuka.

Wengi wanaogopa kwa sababu wenye 27+ year olds are difficult to manipulate. AND THAT'S THAT ON THAT.

vibibi hauwezi kuvipanda utosini.... 😆 😆 😆
 
I haven't cmducted any credible study yet, but that's from my own experience.

Mwanamke akiwa na vyote kama shule, beauty, independent anakuwa very expensive hata demand yake ni kubwa.

But, the Opposite utaambiwa tu sogea tuishi. Kama hutaki acha ( Mostly mahusiano yako yatakuwa ni wazee, mke wa pili and the likes )

Ni kusema mtu aolewe tu kisa anafukuzana asivuke 27+? Umewahi kufanya ka utafiti kadogo au kwa uzoefu wako ukaona ndoa zinazosumbua ni za watu waliooana chini ya 27 zinashida kuliko wale walioolewa na aabove 27?

Hizi ni nadharia tu, sifikirii zina ukweli. Na ukiona mwanamke anahofia au kukosa raha sana kisa 27+ kuna shida mahali.
 
Back
Top Bottom