Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,502
- 51,098
Tunayo mambo mengi tu ya Muungano lakini suala la Uraisi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar siyo mojawapo.
Hivi sasa Chama cha Mapinduzi kiko busy kutafuta Mgombea Uraisi wa Zanzibar, katika vitu ambavyo ni makosa ni kuwahusisha Watanganyika katika mchakato wa kumtafuta mtu ambaye atakuwa raisi wa Wazanzibari.
Hivi karibuni kutafanyika mchakato wa uteuzi wa Mgombea Uraisi wa Zanzibar ndani ya CCM, pamoja na kwamba mchakato utaanzia Zanzibar lakini bado Watanganyika waliomo kwenye kamati kuu na baadae mkutano mkuu wa CCM Taifa utahusika sana katika kuwapata wagombea wa nafasi ua Uraisi huko Zanzibar.
Hili siyo sawa kwa sababu haipaswi na haitakiwi kwa Watanganyika kushiriki kwenye kuweka serikali huko Zanzibar ambayo ni ya Wazanzibar na wala haiwajibiki kwa mambo ya Watanganyika!
Hao wana CCM akina Magufuli Basjiru Ally, Mangula na wengineo watakaoshiriki kupitisha Wagombea uraisi wa Zanzibar, wao raisi wa Zanzibar anawahusu nini?, wao ni watanganyika hawana haki ya kuingilia mambo yanayoihusu Zanzibar!
Wana haki ya kujadili wabunge wa muungano watokao huko Zanzibar lakini hawana haki hata kidogo ya kushiriki kuhusu wawakilishi wa huko Zanzibar na Raisi wa Zanzibar!
Uraisi wa Zanzibar siyo jambo la Muungano, sasa je wana CCM wa Tanganyika iweje washiriki kumpata mgombea uraisi wa Zanzibar, huyo raisi yeye anawahusu nini?
Hivi sasa Chama cha Mapinduzi kiko busy kutafuta Mgombea Uraisi wa Zanzibar, katika vitu ambavyo ni makosa ni kuwahusisha Watanganyika katika mchakato wa kumtafuta mtu ambaye atakuwa raisi wa Wazanzibari.
Hivi karibuni kutafanyika mchakato wa uteuzi wa Mgombea Uraisi wa Zanzibar ndani ya CCM, pamoja na kwamba mchakato utaanzia Zanzibar lakini bado Watanganyika waliomo kwenye kamati kuu na baadae mkutano mkuu wa CCM Taifa utahusika sana katika kuwapata wagombea wa nafasi ua Uraisi huko Zanzibar.
Hili siyo sawa kwa sababu haipaswi na haitakiwi kwa Watanganyika kushiriki kwenye kuweka serikali huko Zanzibar ambayo ni ya Wazanzibar na wala haiwajibiki kwa mambo ya Watanganyika!
Hao wana CCM akina Magufuli Basjiru Ally, Mangula na wengineo watakaoshiriki kupitisha Wagombea uraisi wa Zanzibar, wao raisi wa Zanzibar anawahusu nini?, wao ni watanganyika hawana haki ya kuingilia mambo yanayoihusu Zanzibar!
Wana haki ya kujadili wabunge wa muungano watokao huko Zanzibar lakini hawana haki hata kidogo ya kushiriki kuhusu wawakilishi wa huko Zanzibar na Raisi wa Zanzibar!
Uraisi wa Zanzibar siyo jambo la Muungano, sasa je wana CCM wa Tanganyika iweje washiriki kumpata mgombea uraisi wa Zanzibar, huyo raisi yeye anawahusu nini?