britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,644
- 30,007
Ni asubuhi nyingine, matumaini ni kuwa mmeamka salama.
Je, ni sahihi kumuacha mkeo kufanya biashara ya kusafiri kwenda mbali kufuata mzigo au bidhaa akiwa mwenyewe? Mfano, mke kusafiri kwenda mikoani kununua mazao ya nafaka na kupeleka dar ambako anamuacha mme wake. Au kusafiri kwenda Dubai ,China au Nairobi kufuata mzigo wa kuuza kama nguo, Mikoba n mitumba, akakaa siku 2 mpaka week 1.
Je, Ina madhara kwa mahusiano?
Muhimu: Jumbe nazoweka hapa si lazima ziwe zinanigusa mimi moja kwa moja bali zitasaidia wengi wanaotaka kujua baadhi ya mambo
Britannica
Je, ni sahihi kumuacha mkeo kufanya biashara ya kusafiri kwenda mbali kufuata mzigo au bidhaa akiwa mwenyewe? Mfano, mke kusafiri kwenda mikoani kununua mazao ya nafaka na kupeleka dar ambako anamuacha mme wake. Au kusafiri kwenda Dubai ,China au Nairobi kufuata mzigo wa kuuza kama nguo, Mikoba n mitumba, akakaa siku 2 mpaka week 1.
Je, Ina madhara kwa mahusiano?
Muhimu: Jumbe nazoweka hapa si lazima ziwe zinanigusa mimi moja kwa moja bali zitasaidia wengi wanaotaka kujua baadhi ya mambo
Britannica