britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,634
- 30,000
Anayeandika hapa ni YEYE BRITANICCA
Wavivu wa Fikra wanadhani Imekuwa Ngumu ACT na Chadema Kuungana kisa uchu wa madaraka nani agombee, sasa nawafungua Bongo zenu
Hakuna ugumu kuna mbinu NEC lazima tuwapime wanajifanya wajanja wakiengua mgombea mmojawapo kwa ukatili, wananchi wanahamia upande mwengine wakiwaacha wote tunakubali mmoja nyoyo zimevurugwa ccm wanatapatapa hawana nguvu ya kusimama mbele ya umma na kuwadanganya.
Lazima kuwa na ubunifu ili ikitokea aina yeyote ya mizengwe Upinzani usikose mwakilishi imara,
Britannica
Wavivu wa Fikra wanadhani Imekuwa Ngumu ACT na Chadema Kuungana kisa uchu wa madaraka nani agombee, sasa nawafungua Bongo zenu
Hakuna ugumu kuna mbinu NEC lazima tuwapime wanajifanya wajanja wakiengua mgombea mmojawapo kwa ukatili, wananchi wanahamia upande mwengine wakiwaacha wote tunakubali mmoja nyoyo zimevurugwa ccm wanatapatapa hawana nguvu ya kusimama mbele ya umma na kuwadanganya.
Lazima kuwa na ubunifu ili ikitokea aina yeyote ya mizengwe Upinzani usikose mwakilishi imara,
Britannica