Tingitane
Senior Member
- Apr 18, 2012
- 116
- 130
Habari za leo wakuu,
Ni imani yangu kuwa mko wazima na mnaendelea na shughuli zenu za kila siku, niende kwenye mada nina kijana wangu wangu amemaliza HGE kidato cha sita na alikuwa anatamani sana kusoma ECONOMICS katika ngazi ya chuo.
Ombi langu kwenu ni kupata mawazo yenu kama ni sahihi kusoma uchumi na je ni chuo gani kwa sasa hapa Tanzania ambacho unashauri akasome kwa sasa.
Pia, nakaribisha mawazo mbadala na hayo aliokuwa nayo huyo kijana wangu.
Ni imani yangu kuwa mko wazima na mnaendelea na shughuli zenu za kila siku, niende kwenye mada nina kijana wangu wangu amemaliza HGE kidato cha sita na alikuwa anatamani sana kusoma ECONOMICS katika ngazi ya chuo.
Ombi langu kwenu ni kupata mawazo yenu kama ni sahihi kusoma uchumi na je ni chuo gani kwa sasa hapa Tanzania ambacho unashauri akasome kwa sasa.
Pia, nakaribisha mawazo mbadala na hayo aliokuwa nayo huyo kijana wangu.