Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,742
Katika sakata la Yanga na Morrison mwandishi ambaye nitaendelea kumheshimu ni Geoge Ambangile. Huyu bwana alisimamia kanuni za uandishi pasipo kupendelea upande wowote. Tofauti na wale vilaza waliokuwa wakitafuta kwa nguvu followers akina Oscar Oscar na Maulid Kitenge.
Kitenge ametuuza sana sisi Yanga kwa kutupa matumaini ya kishenzi. Uswahili swahili mwingi sana kitenge.badala ya kutushauri vizuri yeye anazidi kutupotosha na ktk hili wengi tumempasha kuwa aache usxxxe kabisa.
Oscar Oscar naye ni mtu mmoja mpuuzi ambaye naye anajiita mchambuzi wa mpira. Tunajua lengo lake siku zote ni kutafuta followers. Amekuwa akipost upuuzi sana.
Ambangile endelea kusimamia unachoamini katka tasnia hii. Utafika mbali.ipo siku watu watagundua umuhimu wa matumizi sahihi ya taaluma zao.
Kitenge ametuuza sana sisi Yanga kwa kutupa matumaini ya kishenzi. Uswahili swahili mwingi sana kitenge.badala ya kutushauri vizuri yeye anazidi kutupotosha na ktk hili wengi tumempasha kuwa aache usxxxe kabisa.
Oscar Oscar naye ni mtu mmoja mpuuzi ambaye naye anajiita mchambuzi wa mpira. Tunajua lengo lake siku zote ni kutafuta followers. Amekuwa akipost upuuzi sana.
Ambangile endelea kusimamia unachoamini katka tasnia hii. Utafika mbali.ipo siku watu watagundua umuhimu wa matumizi sahihi ya taaluma zao.