Magufuli ni Rais wa awamu ya nane, siyo ya tano!

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,495
51,089
Tukisoma historia, utaona kuwa nchi yetu imepita katika vipindi kadhaa vya uongozi baada ya uhuru

1. Kuna Serikali huru chini ya waziri mkuu Nyerere iliyodumu kwa miezi mitatu baada ya kupata uhuru

2.Kuna serikali iliyofuata baada ya Nyerere kujiuzulu kwenda kuimarisha TANU iliyoongozwa na Rashid Mfaume Kawawa kama Waziri mkuu

3. Kisha kuna serikali ya Nyerere kama rais sasa baada ya Tanganyika kuwa Jamhuri iliyoongozwa na Nyerere tena kutoka 1962 hadi 1964

4. Kisha kuna serikali ya Muungano iliyoongozwa na Nyerere kutoka 1964 hadi 1985

5. Kuna Serikali ya Mwinyi ya 1985 hadi 1995

6. Kuna Serikali ya Hayati Benjamin Mkapa kutoka 1995 hadi 2005

7. Inafuatiwa na serikali ya Jakaya Kikwete ya kuanzia 2005 hadi 2015

8. Na sasa tuna serikali ya John Magufuli iliyoko madarakani kuanzia 2015 hadi leo 2020

Sasa sisi tunadai kuwa hii ni serikali ya awamu ya Tano, Mimi napinga hili kwa nguvu zote, kwa sababu tunadhani kuwa Uongozi Kizalendo wa nchi hii ulianza mwaka 1964 chini ya Nyerere na Tunajifanya hatuoni Serikali za kuanzia mwaka 1961 hadi 1964. Yaani awamu hii tunaifuta kabisa utadhani haipo!

Mimi naomba hizi awamu tatu za Nyerere na Kawawa kisha Nyerere tena kama viongozi wakuu wa nchi hii zitambuliwe kama awamu rasmi za uongozi.

Pamoja na kwamba zilikuwa ni awamu za Tanganyika, hilo haliondoi ukweli kuwa hoyo ni Tanganyika huru, pande la nchi yetu, ni serikali za kizalendo na Zibapaswa ziheshimiwe kama awamu za kitawala!

Sisi tunamuondoa Kawawa kama kiongozi aliyewahi kuwa Mkuu wa awamu inayojitegemea kabisa ya utawala wa nchi!

Kwa hiyo Usahihi ni kuwa Magufuli ni rais wa Awamu ya Nane siyo awamu ya Tano!
 
Mkuu, sio kwamba wewe ndio unachanganya kati ya Tanzania na Tanganyika? Wanaosema awamu tano, naamini wanakusudia Tanzania ambayo technically haikuwepo kabla ya 1964.

Nipo tayari kujifunza zaidi.
 
Mkuu, sio kwamba wewe ndio unachanganya kati ya Tanzania na Tanganyika? Wanaosema awamu tano, naamini wanakusudia Tanzania ambayo technically haikuwepo kabla ya 1964.

Nipo tayari kujifunza zaidi.

Nchi ni pande la ardhi na watu wake na taasisi zao na tamaduni zao na historia yao.

Awamu ya kujitawala kipindi hicho tukiwa ni Tanganyika nayo ni sehemu za awamu za kujitawala pia, haipaswi tujifanye eti siyo sehemu ya awamu zetu za uongozi!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Nchi ni pande la ardhi na watu wake na taasisi zao.

Awamu ya kujitawala kipindi hicho tukiwa ni Tanganyika nayo ni aina ya awamu ya kujitawala pia, haipaswi tujifanye eti siyo sehemu ya awamu zetu za uongozi!
Sasa itakubidi uongeze na awamu ya Karume na ya wale 'waarabu' waliotawala nchi ya Zanzibar kabla ya mapinduzi (matukufu)?
 
Baada ya koloni, Tanganyika kuvaa koti la muungano na kujifanya Tanganyika ndiyo Tanzania

Kisha aliyevaa koti hilo akajifanya kuwa hajawahi kuexist kuanzia mwaka 1961 hadi 1964 kiasi kwamba akaacha kutambua kipindi hicho kama awamu ya utawala!
 
Sasa itakubidi uongeze na awamu ya Karume na wale 'waarabu' waliotawala kabla ya mapinduzi (matukufu)?

Nimeacha kujumuisha serikali za kikoloni za muingereza na Mjerumani huku Tanganyika na Serikali za Kisultani huko Zanzibar kwa sababu hazikuwa za wananchi
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Ya Karume?

Alternatively tungeweza kuamua awamu zote za kabla ya Muungano tuzitafutie namba ya kuziwakilisha, Tungeweza kuziita Awamu ya "1"
Hii awamu ya 1 ingehusisha serikali zote za wananchi kabla ya muungano, serikali za huko Zanzibar na Tanganyika

Kisha serikali za baada ya muungano tukaanza kuzipa namba kwa kuziita serikali ya awamu ya 2, 3,4...

Hii ya kudai kuwa sasa tupo kwenye awamu ya Tano hii siyo sahihi maana kabla ya Muungano kulikuwa na awamu za utawala za wananchi japo kwa muda mfupi!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Tukisoma historia, utaona kuwa nchi yetu imepita katika vipindi kadhaa vya uongozi baada ya uhuru

1. Kuna Serikali huru chini ya waziri mkuu Nyerere iliyodumu kwa miezi mitatu baada ya kupata uhuru

2.Kuna serikali iliyofuata baada ya Nyerere kujiuzulu kwenda kuimarisha TANU iliyoongozwa na Rashid Mfaume Kawawa kama Waziri mkuu

3. Kisha kuna serikali ya Nyerere kama rais sasa baada ya Tanganyika kuwa Jamhuri iliyoongozwa na Nyerere tena kutoka 1962 hadi 1964

4. Kisha kuna serikali ya Muungano iliyoongozwa na Nyerere kutoka 1964 hadi 1985

5. Kuna Serikali ya Mwinyi ya 1985 hadi 1995

6. Kuna Serikali ya Hayati Benjamin Mkapa kutoka 1995 hadi 2005

7. Inafuatiwa na serikali ya Jakaya Kikwete ya kuanzia 2005 hadi 2015

8. Na sasa tuna serikali ya John Magufuli iliyoko madarakani kuanzia 2015 hadi leo 2020

Sasa sisi tunadai kuwa hii ni serikali ya awamu ya Tano, Mimi napinga hili kwa nguvu zote, kwa sababu tunadhani kuwa Uongozi Kizalendo wa nchi hii ulianza mwaka 1964 chini ya Nyerere na Tunajifanya hatuoni Serikali za kuanzia mwaka 1961 hadi 1964. Yaani awamu hii tunaifuta kabisa utadhani haipo!

Mimi naomba hizi awamu tatu za Nyerere na Kawawa kisha Nyerere tena kama viongozi wakuu wa nchi hii zitambuliwe kama awamu rasmi za uongozi.

Pamoja na kwamba zilikuwa ni awamu za Tanganyika, hilo haliondoi ukweli kuwa hoyo ni Tanganyika huru, pande la nchi yetu, ni serikali za kizalendo na Zibapaswa ziheshimiwe kama awamu za kitawala!

Sisi tunamuondoa Kawawa kama kiongozi aliyewahi kuwa Mkuu wa awamu inayojitegemea kabisa ya utawala wa nchi!

Kwa hiyo Usahihi ni kuwa Magufuli ni rais wa Awamu ya Nane siyo awamu ya Tano!
kama awamu 8 zitatusukuma haraka kufikia uchumi wa $3,000 per capita income, basi haya!
 
Tukisoma historia, utaona kuwa nchi yetu imepita katika vipindi kadhaa vya uongozi baada ya uhuru

1. Kuna Serikali huru chini ya waziri mkuu Nyerere iliyodumu kwa miezi mitatu baada ya kupata uhuru

2.Kuna serikali iliyofuata baada ya Nyerere kujiuzulu kwenda kuimarisha TANU iliyoongozwa na Rashid Mfaume Kawawa kama Waziri mkuu

3. Kisha kuna serikali ya Nyerere kama rais sasa baada ya Tanganyika kuwa Jamhuri iliyoongozwa na Nyerere tena kutoka 1962 hadi 1964

4. Kisha kuna serikali ya Muungano iliyoongozwa na Nyerere kutoka 1964 hadi 1985

5. Kuna Serikali ya Mwinyi ya 1985 hadi 1995

6. Kuna Serikali ya Hayati Benjamin Mkapa kutoka 1995 hadi 2005

7. Inafuatiwa na serikali ya Jakaya Kikwete ya kuanzia 2005 hadi 2015

8. Na sasa tuna serikali ya John Magufuli iliyoko madarakani kuanzia 2015 hadi leo 2020

Sasa sisi tunadai kuwa hii ni serikali ya awamu ya Tano, Mimi napinga hili kwa nguvu zote, kwa sababu tunadhani kuwa Uongozi Kizalendo wa nchi hii ulianza mwaka 1964 chini ya Nyerere na Tunajifanya hatuoni Serikali za kuanzia mwaka 1961 hadi 1964. Yaani awamu hii tunaifuta kabisa utadhani haipo!

Mimi naomba hizi awamu tatu za Nyerere na Kawawa kisha Nyerere tena kama viongozi wakuu wa nchi hii zitambuliwe kama awamu rasmi za uongozi.

Pamoja na kwamba zilikuwa ni awamu za Tanganyika, hilo haliondoi ukweli kuwa hoyo ni Tanganyika huru, pande la nchi yetu, ni serikali za kizalendo na Zibapaswa ziheshimiwe kama awamu za kitawala!

Sisi tunamuondoa Kawawa kama kiongozi aliyewahi kuwa Mkuu wa awamu inayojitegemea kabisa ya utawala wa nchi!

Kwa hiyo Usahihi ni kuwa Magufuli ni rais wa Awamu ya Nane siyo awamu ya Tano!
Duuh, Kiongozi nimekuelewa vizuri sana!
 
Mimi huwa nashangaa Sana, kusikia tunasherehekea miaka .....ya Uhuru wa Tanzania? Na mgeni rasmi ni rais wa Tanzania! Kibaya zaidi tunasherehekea trh 9/12/...ambayo is typical Uhuru wa Tanganyika.

Tanzania haijawahi kutawaliwa, hivyo ilizaliwa ikiwa huru! Kwa maana ya Muungano!

Hatuna Uhuru wa Tanzania, tuna Uhuru wa Tanganyika!
 
Mimi huwa nashangaa Sana, kusikia tunasherehekea miaka .....ya Uhuru wa Tanzania? Na mgeni rasmi ni rais wa Tanzania! Kibaya zaidi tunasherehekea trh 9/12/...ambayo is typical Uhuru wa Tanganyika.

Tanzania haijawahi kutawaliwa, hivyo ilizaliwa ikiwa huru! Kwa maana ya Muungano!

Hatuna Uhuru wa Tanzania, tuna Uhuru wa Tanganyika!
Hii hoja imekaa vizuri.
 
Back
Top Bottom