red eyes

The Dragon with Red Eyes (original title: Draken med de röda ögonen) is a children's book written by Astrid Lindgren.

View More On Wikipedia.org
  1. DeMostAdmired

    Tangu nipone red eyes naona Picha mbilimbili (double images)

    Habari wakuu! Niende moja kwa moja kwenye mada. Ilikuwa jumanne ilopita tarehe 12 mwez huu wa 3 niliamka jicho la kushoto linachoma choma na kutoa machozi na tongotongo kidogo nikajicheki kwenye kioo nikaona limekuwa jekundu basi moja kwa moja nikajua hii red eyes (conjunctivitis). Nikaanza...
  2. Wizara ya Afya Tanzania

    Wizara ya Afya yakanusha taarifa ya watu saba kupata upofu kutokana na ugonjwa wa red eyes

    Pia Soma: - Dar: Watu 7 wapofuka Macho kwa kujitibu Ugonjwa wa 'Red Eyes' kienyeji
  3. BARD AI

    Dar: Watu 7 wapofuka Macho kwa kujitibu Ugonjwa wa 'Red Eyes' kienyeji

    Wizara ya Afya imesema idadi ya watu waliopata upofu jijini Dar es Salaam kutokana na kutibu ugonjwa wa macho mekundu kwa njia za kienyeji wamefikia saba kutoka wanne. Februaru 8, Mkurugenzi wa Tiba, Wizara ya Afya, Profesa Paschal Ruggajo alisema watu wanne waliougua ugonjwa huo wamepata upofu...
  4. R

    Short Observational research (casual research) on RED EYES infection

    Kwa haraka haraka nimechunguza na kuona in my locality, waliochanjwa Covid 19 vaccine hawajambukizwa red eyes disease ambayo sasa of course ina subside or going away altogether! Na Nyumbani kwangu wote ambao hawakuchanjwa wameambukizwa red eyes and vice versa! Swali: Tunaweza kuhusisha chanjo...
  5. JanguKamaJangu

    Dar na Pwani zaongoza kwa kuwa na Wagonjwa wa Red Eyes, Mikoa 23 yabainika kuwa na maambukizi

    Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Huduma za Tiba kutoka Wizara ya Afya, Profesa Pascal Ruggajo, mikoa inayoongoza kwa ugonjwa wa Macho Mekundu (Red Eyes) ni Dar es Salaam na Pwani, ambapo Dar es Salaam imefikia wagonjwa 6,412, Pwani wagonjwa 4,041, Dodoma 363, Morogoro 307, Mtwara 193, Shinyanga 193...
  6. Lady Whistledown

    Watu 7 wapata upofu kwa kutofuta Ushauri wa Kitabibu wakati wa kutibu Red Eyes

    Mratibu wa Huduma za Msingi za Macho kutoka Wizara ya Afya Visiwani Zanzibar, Dkt. Rajabu Mohamed Hilali amesema hadi kufikia Februari 1, 2024 watu 7 walikuwa wamepata upofu wa macho kutokana na kutofuata ushauri wa Kitabibu katika kukabiliana na Ugonjwa wa RedEyes. Kufuatia taarifa hiyo Dkt...
  7. mwanamwana

    Baraza la Famasi nchini latoa tahadhari juu ya matumizi holela ya dawa za macho kutibu 'red eyes'

    Baraza la Famasi imesema limekuwa likifuatilia mwenendo wa utoaji wa dawa za macho kwenye baadhi ya maduka ya dawa Nchini ambapo limebaini utoaji holela wa dawa za matone za macho zenye viambata vya antibiotic na steroid kwa Wagonjwa wa Red Eyes wanaofika kupatiwa huduma kwenye baadhi ya maduka...
Back
Top Bottom