raisi

  1. Rich Pol

    Baadhi ya marais wenye elimu kubwa Afrika, Rais Magufuli ashika namba tano

    Sio tu kwamba wana madaraka makubwa ya kisiasa nchini mwao, bali wana elimu kubwa kwenye fani mbalimbali jambo linalothibithisha usemi wa Kiingereza wa “readers are leaders,” yaani viongozi ni watu wenye hulka ya kusoma sana. Hii ni orodha ya wakuu wa nchi za Afrika wenye elimu kubwa zaidi...
  2. U

    Awamu ya 4 ya kikwete ndio ilikuwa sehemu rahisi kubadili katiba, kwa sasa hakuna Rais atayekubali kirahisi

    Ki ukweli mimi si mwanasheria, na sina taaluma yoyote ya uanasheria zaidi ya kusoma intro ya sheria wakati nasoma masters, ila ili suala la katiba na elimu yangu yote nimekuja kujua umuhimu wa kuwa na katiba imara katika awamu hii ya tano. Nilikuwaga nasikia watu mbalimbali wakilalamikia...
  3. S

    Ifikie mahali tuelewe na kukubali kuwa Rais wa Tanzania ana uhuru wa kuvunja Katiba ya nchi kwa makusudi, na hakuna utaratibu wa kuzuia hilo kwa sasa

    Maneno mengi sana yanasemwa nchini kuwa mara nyingi Rais Magufuli anavunja katiba ya Jamhuri ya Tanzania kwa makusudi. Nakiri kuwa hata mimi kuna wakati nilishazungumzia hilo. Baadae nilijiuliza ikiwa mimi ningekuwa ndio Magufuli, nikijua ninaweza kuvunja katiba kimakusudi na hakuna utaratibu...
  4. M

    Hongera raisi, wenzako wakuangusha

    Mheshimiwa tunakupongeza sana kwa jitihada unazofanya. Kubwa kuliko, umehakikisha watoto wanaenda shule, wakulima wanapata malipo yao. Madawa kibao yanaonekana vituoni sasa kuliko ilivyokuwa awali. Kwa usiri mkubwa, naomba usinitaje watanishughulikia nakuonesha picha za madawa yaliyotupwa ndani...
  5. Return Of Undertaker

    Kwanini ofisi ya DPP wanatuona Watanzania ni wajinga na Vilaza? Huyo mwizi kaibaje computer kwenye ulinzi wa CCTV na jeshi lenye SMG & AK47

    WATANZANIA SIO WAJINGA KIASI HIKI Leo vyombo vya habari vimeripoti kwamba Computer za ofisi ya DPP tena zenye nyaraka za kumbukumbu za waliolipa fedha za uhujumu uchumi na nyaraka nyingine zikiwemo za mienendo ya mashtaka ya kesi za uhujumu zimeibwa. Huu ni zaidi ya ukoo wa panya. Huwezi...
  6. Ack

    Huu ndo ulinzi wa Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan

    Raisi wa uturuki Recep Tayyip Erdogan Ni Moja ya maraisi 10 wenye ulinzi mkali Duniani
  7. Pascal Mayalla

    Uzalendo wa ajabu wa Watanzania: Nchi inatukanwa, Rais anatukanwa, tumenyamaza. Huu ni Uzalendo gani?

    Wanabodi, Makala za Kwa Maslahi ya Taifa na Pascal Mayalla Naendelea na Makala zangu ziitwazo Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huchapishwa kwenye gazeti la Raia Mwema toleo la kila siku za Jumatatu. Hizi Makala zitafuatiwa na Kipindi cha TV chenye jina hilo hilo ambacho kitaanza kutoka kwenye vituo...
Back
Top Bottom