raisi

  1. WilsonKaisary

    Huyu ndie Rais wa muda wa Burundi

    Pichani spika wa jamhuri ya Burundi kwa jina anaitwa Paschal Nyabenda. Kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya Burundi huyu ndie atakuwa raisi wa muda mpaka mwisho wa mwezi wa name mpaka atapoapishwa raisi aliyeshinda uchaguzi wa mwaka bwana generali Evariste Ndayishimiye. Nyabenda atashika nyadhifa...
  2. YEHODAYA

    Bajeti zote za nchi za Afrika Mashariki zinasomwa kwa pamoja muda mmoja tuzichambue hapa

    Mawaziri wote wa Fefha wa Nchi za Afrika Mashariki saa kumi Bajeti zote za nchi za Afrika Mashariki zinasomwa kwa pamoja muda mmoja tuzichambue hapa kwa kuzilinyanisha na kufanya analysis
  3. JoJiPoJi

    Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

    Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza aaga dunia. === Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza (55) amefariki dunia. Taarifa ya serikali imeeleza kuwa alikuwa hospitali akisumbuliwa na tatizo la moyo. Serikali ya Burundi imetangaza kifo cha Rais wa nchi hiyo, Pierre Nkurunziza (55). Mshtuko wa moyo...
  4. S

    Bila Nyerere Mkapa asingekuwa Rais, na bila Mkapa Magufuli asingekuwa Rais, hivyo bila Nyerere, Magufuli asingekuwa Rais

    Wana JF, ningependa kuwapa historia kidogo. juu ya tulikotoka Baada ya awamu ya Raisi Mwinyi kuelekea uchaguzi Mkuu kulikuwa joto kubwa na upendezi kuelekea NCCR Mageuzi ambayo mgombea wao wa urais alikuwa ni Lyatonga Mrema. Mrema alifikia umaarufu wa kulinganishwa na Sokoine kwa kupendwa na...
  5. Mkogoti

    Utafiti: Mwanaume aliyebeba gitaa ana uwezekano mkubwa wa kupata namba kutoka kwa mwanamke

    ======= Guys Get More Dates With a Guitar by Kurian M. Tharakan Nicholas Guéguen is a professor of psychology at université de Bretagne Sud in France. In 2013, he published a paper describing an experiment where a male...
  6. battawi

    GE2020 Rais wa Zanzibar 2020 aweje?

    Heri za Siku kuu ya Eid na Baraka tele za Mfungo wa Ramadhan. Poleni kwa kupambana na maisha na Ugonjwa thikili wa Corona. Sasa wakati wa kufuma viongozi watakao iongoza ama kuitawla nchi zetu mbili ndani ya Jamuhuri ya Muungano umefika. Ila jioni ya leo nitajihusisha upandewa Zanzibar. na...
  7. Nazgur

    Rais Magufuli aonesha uwezo mkubwa kwenye janga la Corona duniani

    Toka lilipoingia janga hili raisi alitoa msimamo kuwa watu waendelee ka kazi ila wachukue tahadali kwa kufuata mashrti yaliyowekwa na wizara ya afya. Pili, akasema hii ni vita hivyo tutmie kila siraha kupambana na huu ugonjwa, tutmie pia maombi na dawa za asili na kupiga nyungu ili kuutokomeza...
  8. YEHODAYA

    Marais wengi Afrika wanasubiri wazungu watafute dawa ya Corona, wamuige Rais Magufuli

    Marais wengi wa Afrika wajinga Corona imevamia nchi zao ambayo haina dawa badala ya kutafuta dawa wako tu wana lovkdown watu wao wakati dawa hawana. Wanakodoa tu mimacho kwa wanasayansi Wazungu wagundue dawa!!!! Rais Magufuli akaona asisubiri wazungu yeye kama Rais anatakiwa atafute ufumbuzi...
  9. okiwira

    Narudia tena na tena kwako Rais John Pombe Magufuli

    IKUTI MBEYA RUNGWE ni sehemu ambayo binadamu na wanyama wanashea sehemu kunywea maji katika mto rumbe. Kila uchao wanasiasa wanawalaghai wananchi watawaletea mabomba ya maji ili wapite bila kupingwa. Lakini hawaleti. Je, wewe nawe hii sehemu ya siasa zako? MJOMBA WA HAPA KAZI TU? Mhe. Rais...
  10. Richard

    Uingereza nao wafuata Tanzania na nchi zingine abiria wote watakaotua UK kutakiwa kujiweka karantini kwa gharama zao wenyewe kwa siku 14

    Waziri wa mambo ya ndani wa Uingereza Priti Patel Serikali nchini Uingeeza leo jioni inatarajia kutangaza kuwa abiria wote wa kimataifa ambao watatua kwenye viwanja vya ndege vya nchi hiyo watatakiwa kujiweka wenyewe karantini kwa gharama zao wenyewe. Pia abiria hao watatakiwa kutoa taarifa...
  11. YEHODAYA

    Rais Trump agoma kuvaa barakoa hadharani

    Wamarekanni ndio wamepitisha hadi sheria ya kuvaa barakoa raisi Trump ndie aliisaini hiyo Excutive Order na amekuwa wa kwanza kuivunja hataki kuvaa barakoa hadharani akimuiga Raisi Magufuli. ====== Trump Tours Ford Plant Without Mask But Wears One Out of View “I was given a choice,” he...
  12. M

    Mheshimiwa Rais, kabla ya watoto kurudi shule, wewe toka kwanza nyumbani kwako Chato rudi ofisini Ikulu

    Kwa mujibu wa sheria za nchi ofisi rasmi ya raisi ni Ikulu, Ikulu zozote zilizo ndani ya nchi na wala siyo nyumbani kwake. Kwa sasa zaidi ya siku 50 Rais anafanyia kazi za nchi ndani ya nyumba yake huko Chato, sijajua yale mafaili confidential ya nchi anayaweka sebuleni kwake au dining room...
  13. D

    CHADEMA inamuandaa mgombea wao wa urais kwa siri kubwa

    Taarifa za ndani zinasema kuwa anaandaliwa Mzee Mabere Nyaucho Marando kuwa mgombea urais kupitia CDM. Mwanasheria huyo nguli ambaye pia ni watu wa mwanzo kuasisi mfumo wa vyama vingi ataibuka kama upepo wa kisuli octoba 2020 hili kufuana na Dkt Jonh Pombe Magufuli.
  14. S

    Ndugai amezidi kumsemea Magufuli, unaweza kudhani yeye ndiye msemaji na mteteaji wa Rais Magufuli!

    Hii tabia ya Ndugai kumsemea Magufuli kwa watu anaokuwa na bifu nao inakera sana. Mtu yeyote mwenye akili anaelewa wazi hii ni saikoloji Ndugai anatumia kuchochea moto kati ya Magufuli na watu ambao Ndugai ana tatizo nao, hasa baada ya kumjua Magufuli ana silka ya namna gani. Ndugai...
  15. S

    Tunaweza kuona tuna msimamo imara suala la Corona lakini mwishoni gharama yake inaweza kuwa Tanzania kukosa heshima na kupoteza urafiki na nchi jirani

    Sikatai kwa nchi hata Tanzania kutokuwa na msimamo na kukubali kuyumbishwa ndani na nje ya nchi. Ninachowaambia ni kwamba katika masuala ya mahusiano, ndani na nje ya nchi, tunapaswa tujue namna ya ku balance kati ya kuwa na msimamo, kutoyumbishwa na udiplomasia. Kuwa na msimamo haina maana...
  16. Witmak255

    Kwanini Dkt. Kalemani alipokuwa ofisi za TANESCO - Geita alivaa barakoa na alipoenda kanisani kujumuika na Rais Magufuli akaivua?

    Hili Jambo limenishangaza kidogo.! Dr. Kaleman leo akiwa Ofisi za TANESCO-GEITA alivaa Barakoa pamoja na wote waliokuwa nae lakini ameenda Kanisani kujumuika na Raisi akavua na kuonesha hali ni shwari na wale wote waliokuwa Kanisani leo hawakuwa na Wala hawakuvaa Barakoa, kuna kitu kilipangwa au?
  17. Abdalah Abdulrahman

    Ujasiri wa Rais Magufuli katika vita dhidi ya Corona umeleta matumaini kwa Watanzania

    Hatuwezi kilinganisha Tanzania na nchi kama China, US, UK na Italia katika nyanja ya miundombinu ya huduma za Afya.Pia hatuna uhakika kuwa ni lini ugonjwa huu wa Corona utapata tiba au chanjo. Pia ni wazi kuwa hatuwezi kuendelea kuwa na watu waoga ambao wanajifungia kutokufanya kazi kukabiliana...
  18. Return Of Undertaker

    Dkt. Mwele: Kipimo ulichokicalibrate kwa ajili ya COVID kitapima COVID ukiingiza sampuli ambazo siyo umeivuruga! Majibu yatakuwa hayana mantiki!

    Kipimo ulichokicalibrate kwa ajili ya COVID kitapima COVID ukiingiza sampuli ambazo siyo umeivuruga! Majibu yatakuwa hayana mantiki! Dr Mwele at twitter calibrate /ˈkalɪbreɪt/ verb mark (a gauge or instrument) with a standard scale of readings or correlate the readings of (an instrument)...
  19. Zero Hours

    President Museveni live addressing on COVID-19

    NBS Television @nbstv Lockdown yapunguzwa makali. 1. Uganda kuzuia madereva wa magar ya mizigo kutokushuka kwenye gar pale waingiapo uganda. Watoto wa kike wa kiganda waonywa kutembea na madereva wa kigeni. 2. Uganda kutengeneza kwa wingi sanitizer kutokana na waragi ( pombe kali ya...
  20. Analogia Malenga

    Russian Prime Minister Mishustin tests positive for coronavirus as national total tops 100,000 cases

    Waziri mkuu wa Urusi Mikhail Mishustin amesema amekutwa na #CoronaVirus amesema anapaswa kujitenga ili kuwaokoa wengine Waziri huyo ameshauri naibu wake, Andrey Belousov kukaimu nafasi ya uwazirii mkuu Hadi sasa Urusi ina jumla ya visa 106,498 na wameripoti vifo 1,073 === Russian Prime...
Back
Top Bottom