Ninashawishika sasa kuamini kwamba lawama tunazomtwisha Rais ni kumuonea.
Rais anatokea kwenye jamii, anayoyafanya ndiyo desturi za jamii hiyo. Mnapoona tunapata rais ambaye anakandamiza demokrasia na uhuru wa habari ni kwa sababu jamii hiyo ndivyo ilivyo.
Watu wanapotea, wanachinjwa...