Ni lini IGP Sirro utafanya mabadiliko ya MA RPC ili kwenda na kasi ya Rais Mpya ?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,644
218,096
Kumekuwa na Malalamiko mengi sana huko kwenye mikoa ya Kipolisi kutokana na utendaji wa kutiliwa shaka wa Jeshi la Polisi , ninaamini hata wewe IGP unafahamu , si vema kurudia malalamiko hayo hapa ili kuokoa muda.

Sasa tumeona mabadiliko ya uongozi karibu kila idara na kila mahali yanayofanywa na Mh Rais , na bila shaka ni mabadiliko yenye tija kwa asilimia kadhaa , japo bado kuna virusi vimesalia ila tunaamini vitaendelea kuteketezwa taratibu.

Swali langu kwako Mkuu ni hili hapa , Lini utafanya mabadiliko ya Makamanda Wakuu wa Mikoa ya Kipolisi (RPCS ) Ili kuongeza ufanisi wa Jeshi lako ?
 
Kumekuwa na Malalamiko mengi sana huko kwenye mikoa ya Kipolisi kutokana na utendaji wa kutiliwa shaka wa Jeshi la Polisi , ninaamini hata wewe IGP unafahamu , si vema kurudia malalamiko hayo hapa ili kuokoa muda.

Sasa tumeona mabadiliko ya uongozi karibu kila idara na kila mahali yanayofanywa na Mh Rais , na bila shaka ni mabadiliko yenye tija kwa asilimia kadhaa , japo bado kuna virusi vimesalia ila tunaamini vitaendelea kuteketezwa taratibu.

Swali langu kwako Mkuu ni hili hapa , Lini utafanya mabadiliko ya Makamanda Wakuu wa Mikoa ya Kipolisi (RPCS ) Ili kuongeza ufanisi wa Jeshi lako ?
Anatabiri RPC wa Dodoma na sera yake ya "kipigo cha Mbwa koko" ataathirika.
 
Sirro hana amani moyoni anaona weledi vs siasa zinamchosha..ataomba apumzike sasa.....Hamduni hao saa yeyote aweza kuwa IGP .....tupufe nyungu na chanjo tusubiri
 
kaka mama hajawasikiliza kwa happi na chalamila,sirro ni nani hata ahangaike na ufipa wa jamiiforums???

kila siku malalamiko tu,atakuwa anapangua watu wangapi???
 
Kumekuwa na Malalamiko mengi sana huko kwenye mikoa ya Kipolisi kutokana na utendaji wa kutiliwa shaka wa Jeshi la Polisi , ninaamini hata wewe IGP unafahamu , si vema kurudia malalamiko hayo hapa ili kuokoa muda.

Sasa tumeona mabadiliko ya uongozi karibu kila idara na kila mahali yanayofanywa na Mh Rais , na bila shaka ni mabadiliko yenye tija kwa asilimia kadhaa , japo bado kuna virusi vimesalia ila tunaamini vitaendelea kuteketezwa taratibu.

Swali langu kwako Mkuu ni hili hapa , Lini utafanya mabadiliko ya Makamanda Wakuu wa Mikoa ya Kipolisi (RPCS ) Ili kuongeza ufanisi wa Jeshi lako ?
Huna akili wewe. Kwa nini Sirro asiondoke?
 
Naamini Mkuu umenisoma
Hawa sio wanasiasa.. impact ktk budget in terms of allowances za kuhamisha afisa mmoja sio ndogo.

I don't see kama ni top priority kuliko malimbikizo ya posho mbalimbali za askari wa chini..vifaa na vitendea kazi nk.
 
Kumekuwa na Malalamiko mengi sana huko kwenye mikoa ya Kipolisi kutokana na utendaji wa kutiliwa shaka wa Jeshi la Polisi , ninaamini hata wewe IGP unafahamu , si vema kurudia malalamiko hayo hapa ili kuokoa muda.

Sasa tumeona mabadiliko ya uongozi karibu kila idara na kila mahali yanayofanywa na Mh Rais , na bila shaka ni mabadiliko yenye tija kwa asilimia kadhaa , japo bado kuna virusi vimesalia ila tunaamini vitaendelea kuteketezwa taratibu.

Swali langu kwako Mkuu ni hili hapa , Lini utafanya mabadiliko ya Makamanda Wakuu wa Mikoa ya Kipolisi (RPCS ) Ili kuongeza ufanisi wa Jeshi lako ?
Tayari ameshaanza, Mambosasa out Kanda maalum anaenda Dodoma kuwa chief of operations; Camillius Wambura anakuja Dar kanda Maalum; Shilla kutoka RPC Mara kwenda kuwa mkuu wa upelelezi Kanda maalum Dar huo ni mwanzo.
 
Back
Top Bottom