johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,914
- 141,866
Hilo hata Zitto Kabwe analijua vema kabisa.
Na hapo Tume ya uchaguzi imemheshimu sana mh Zitto Kabwe kwa sababu mgombea wake ilikuwa akatwe mapema kabisa halafu wanaachwa wagombea wawili tu CCM vs TLP ya Mrema.
Jimbo analotoka kiongozi wa juu lazima liwe na usalama wa kutosha.
Kazi Iendelee!
Na hapo Tume ya uchaguzi imemheshimu sana mh Zitto Kabwe kwa sababu mgombea wake ilikuwa akatwe mapema kabisa halafu wanaachwa wagombea wawili tu CCM vs TLP ya Mrema.
Jimbo analotoka kiongozi wa juu lazima liwe na usalama wa kutosha.
Kazi Iendelee!