Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Kwakweli walimu wana tatizo kuhusu suala la pesa. Wengi hawajui masuala ya pesa na uwekezaji.
Utapeli wowote wa kipesa lazima uwahusishe waalimu kwa wingi. Ila sijajua kama ni sababu ya wingi wao au wanapigika kirahisi? Vyovyote vile, kuna tatizo.
CWT andaeni semina za kuwafundisha watu wenu kuhusu masuala ya pesa na uwekezaji, hasa wale wanaokaribia kustaafu. Inauma mtu kutapeliwa hela yake ya mafao.
Utapeli wowote wa kipesa lazima uwahusishe waalimu kwa wingi. Ila sijajua kama ni sababu ya wingi wao au wanapigika kirahisi? Vyovyote vile, kuna tatizo.
CWT andaeni semina za kuwafundisha watu wenu kuhusu masuala ya pesa na uwekezaji, hasa wale wanaokaribia kustaafu. Inauma mtu kutapeliwa hela yake ya mafao.