Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) ni Kituo cha Serikali chini ya Wizara ya Madini, Kinatoa mafunzo na huduma mbalimbali katika fani za uongezaji thamani madini. Kituo kinatangaza nafasi za mafunzo ya muda mrefu ngazi ya stashahada katika fani madini ya vito na usonara (Diploma in Gem and Jewellery Technology) na muda mfupi katika fani za ukataji na ung’arishaji madini ya vito(Lapidary), Sayansi ya madini ya vito(Gemmology), usonara (jewellerydesign and jewellery manufacturing)
Fungua document kusoma zaidi
Fungua document kusoma zaidi