Pumbaaaafu hakuna mtu anayeshauriwa kusomea skills za taaluma fulan yy mwnyew kichwan na akili yake anatakiwa ajitambue nn anapenda wap anafit nn anajiona anataka kufanya mbelen anajiona wap miaka mitano au kumi ijayo ,,, mnaleaje vijana africa hakuna kitu kinatesa maishani kujiandaa kuwa mtumwa wa taaluma ambayo ujaeahi ipenda moyon kisa haukuwa na maono ya kuchagua/hailipi kwny ajira ....,tuwasaidie watoto wetu wajue dhumuni lao hapa dunian wakuu mwanafunzi anatakiwa ajue hatima ya maisha yake mwenyew
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.