nzuri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. E

    Katika cover zote nilizo wahi kusikiliza basi hii ndio cover nzuri kuliko zote hapa bongo

    Habari za leo wakuu, Katika cover zote ambazo nimewahi kuzisikiliza basi hii ndio cover nzuri kuliko zote hapa bongo.
  2. EvilSpirit

    App gani ni nzuri Playstore ya kuangalia matukio live hasa la leo

    Naomba kufahamishwa app nzuri ya moja ya tv zetu ni nzuri kwa kuangalia tv kwenye simu,app nyingine hata hazieleweki unapoteza mb kudownload lakini unakuta zinasumbua.
  3. Fundi George

    Kama unahitaji fundi umeme wa nyumba ya ndoto yako

    Tv showcase iliyofanyiwa design ya umeme kwa kazi nzuri kama hizi wasiliana na Fundi George 0622313163 0622313163 tunapatikana Dar es salaam.
  4. M

    Ni kwanini ukipokea Taarifa nzuri au mbaya Usiku kupitia Television Usingizi nao unakata ghafla na Unakesha tu?

    Wanasaikolojia wa JF nisaidieni katika hili tafadhali kwani nimetoka kusikia Habari nzuri sana na niliyokuwa naisubiria kwa hamu kutoka Ikulu ya Marekani kupitia CNN yao.
  5. konda msafi

    Ujio wa Khumbu ulisambaratisha penzi langu na katoto kenye ngozi nzuri na sauti kama Wema Sepetu

    Mnamkumbuka kwenye stori ya Khumbu niliwaambia nikiwa Durban kuna wasichana takribani 5 nilijihusisha nao ukiachilia Khumbu? Sasa kulikuwa na kasichana kamoja english figure, kilikuwa na ngozi nzuri balaa. Ukikavua nguo huchoki kukaangalia. Kalikuwa na mvuto wa ajabu. Kalikuwa na ngozi kama...
  6. President of China

    Anjella kweli ana sauti nzuri

    Wazee wenzangu tumepata binti mwenye sauti real. Huyu Ajella nimefuatilia alivyokuwa akiimba cover na single yake aliyoitoa juzi. Kweli huyu binti sauti yake ipo vizuri. Mimi ninamsihi aendelee kuwa mnyenyekevu atafika mbali sana. Wasanii wengi hawawezi kuimba live. But Anjella anaweza...
  7. W

    Msaada wa App nzuri ya muziki

    Wadau msaada nitajieni app nzuri ya music ambayo ukiidownload inaplay music ya audio vizuri na hata video music sometimes inaichange kusikika kwny audio automatically nilikuwanayo niliifuta kimakosa jina nilikuwa silijui
  8. C

    Naomba kujuzwa pIkipiki nzuri kwa bajeti ya 3.2 Mil hadi 3.5mil

    Habari wanajukwaa naomba kufaham pikipiki nzuri mpya kwa matumizi binafsi ya kwenda ofisini na mizunguko ya kawaida weekend. Hasa pkpk za kijapan ambazo nadhani ni durable bajeti yangu ni 3.2-3.5 million. Karibuni kwa mani yenu.
  9. E

    Shahada gani ni nzuri kati ya hizi wakuu (Rahisi kujiajiri na kuajiriwa)?

    Habari za leo wakuu, Kuna ndugu yangu anataka kujiunga na Masomo ya shahada (Bachelor). Ana machaguo yafuatayo na anatakiwa kuchagua moja kati ya haya. 1. Bachelor of Commerce 2. Bachelor of Computer Applications 3. Bachelor of Commerce 4. Bachelor of Business Administration Sasa wakuu kati...
  10. profesawaaganojipya

    Toyota Noah Old Model, 4doors, ipi ni nzuri kwa kupiga ruti za mikoani to Dar

    wanajamvi nataka ninunue toyota noah old model, milango minne, ili niwe nabeba abiria mbeya to Dar, sasa nasikie kuna aina nyingi za toyota noah. Mfano, field tour, town ace, super lymo extra nk, Sr40, Sr 50, Ipi ni nzuri kwa uimara, kusevu mafuta, uvumilivu kwenye ruti ndefu. Nawasilisha.
  11. T

    Kati ya Volkswagen Touareg na Harrier macho ya panzi ipi gari nzuri hapa?

    Habari wakuu. Nataka kununua gari, naomba mawazo ya uzoefu kati ya Harrier macho ya panzi na Vokswagen Touareg ni ipi nzuri ya kuchukua. Sina uzoefu wowote wa magari ya Volkswagen. Natanguliza shukrani.
  12. N

    Simu nzuri kwa gharama ya laki tatu (300k)

    Habari za weekend, Kwa budget ya Laki tatu (300k) naomba ushauri kwenu ni simu gani nichukue yenye uwezo mzuri wa battery, camera na internal memory kubwa ya kukidhi matumizi ya kawaida.
  13. N

    Ooh happy day: Oh lalalala siku nzuri sana hii, asante Mungu

    OOH HAPPY DAY ..lalalalalalalalalalaaaa lalalalalaaaa Siku imeanza vizuri sana Thank you Jesus kwako kila goti litapigwa,nakula double kicks za kutosha huku nikiangalia movie ya UNDERCOVER BROTHER OOOH HAPPY DAY..USHUKURIWE MUNGU
  14. Red Giant

    Wana JF hii tabia siyo nzuri, tubadilike

    Kuna katabia kamoja kabaya sana naona kanaanza kuota mizizi. Unakuta mkuu kauliza swali kwa mtoa uzi au mtoa hoja. Mkuu mwingine anatokea na kumwambia "akikujibu nitag" na yeye anasema poa. Sasa unakuta anajibiwa halafu hamtag yule mkuu aliyeomba kutagiwa. Hii ni tabia mbaya na haifai kwa watu...
  15. M

    Nauza Tecno Camon X

    SOLD
  16. TheChoji

    Anayejua dawa nzuri ya mchwa

    Msaada unahitajika kwa anaejua jinsi ya kuangamiza mchwa hawa wa ardhini ambao wanakula ukoka, miti, maua na kila kitu kinachoota kwenye bustani. Hawana tofauti na wale nzige wa kule siha. Natanguliza shukrani
  17. Makanyaga

    Unapata zawadi nzuri ukipata jibu sahihi la hesabu hii ya calculus

    To all students and graduates; QN: Integrate with respect to x: 1/lnx (one over natural logarithm of x)
  18. BUMIJA

    Ipi nzuri kati ya Infinix na Oppo ya Mchina?

    Wadau naomba mnijuze, Je, ni simu gani hapo ina ubora zaidi kati ya simu tajwa hapo juu.
  19. monotheist

    Anayejua aina nzuri ya perfume

    Yeyote anayejua aina nzuri ya perfune yenye manukato yasiyokera mbele za watu isiwe zaidi ya 15,000 nahitaji kununua hata kama ina ujazo mdogo. Jinsia yangu ni mme Ahsanteni
Back
Top Bottom