cpb
Senior Member
- Nov 1, 2014
- 156
- 87
Ndugu zangu niko na gari aina ya Raumu nataka nitumie walau nijipatie riziki naomba mwenye kujua sehemu ambayo ina njia nzuri alafu kuna changamoto ya usafiri anielekeze humu nikafanye hapo kazi.
Gari yangu ina uwezo wa kubeba abiria kuanzia 5 Hadi nane hivi hata kama ni rough road walau pawe pazuri ukitaja njia kumbuka kuweka na km kumbuka stafuti dereva naendesha mwenyewe
Gari yangu ina uwezo wa kubeba abiria kuanzia 5 Hadi nane hivi hata kama ni rough road walau pawe pazuri ukitaja njia kumbuka kuweka na km kumbuka stafuti dereva naendesha mwenyewe