FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,022
- 2,591
Salaam wakuu,
Naombeni ushauri ninune gari gani kwa milioni 6. Nahitaji gari yenye fuel efficiency nzuri, space ya kutosha hasa mbele (mimi mrefu) pamoja na upatatikanaji spare.
Nitashukuru pia kama mtapendekeza kwa gharama hiyo napata namba ipi?
NB: Hii ni ya kununua kwa mtu.
Naombeni ushauri ninune gari gani kwa milioni 6. Nahitaji gari yenye fuel efficiency nzuri, space ya kutosha hasa mbele (mimi mrefu) pamoja na upatatikanaji spare.
Nitashukuru pia kama mtapendekeza kwa gharama hiyo napata namba ipi?
NB: Hii ni ya kununua kwa mtu.