that means ukiwa mhadhiri hufai kuwa rais?Huyu ni professional orator ( mhadhiri), mambo ya presentation ni sehemu ya fani zake!
Hii haimaanishi he can make a good president!
Urais unahitaji sofa tofauti na uhadhiri!
Mtoa hoja atakuwa na shida kichwani siyo bureHuyu ni professional orator ( mhadhiri), mambo ya presentation ni sehemu ya fani zake!
Hii haimaanishi he can make a good president!
Urais unahitaji sofa tofauti na uhadhiri!
Sahihi kabisaHivi kama nchi, ni nini tunataka?Maana naona kama tunapotea. We don't need the best presenters. Things must be done.
+ ma-MCBasi hata mimi nafaa kua rais maana kwenye presentation nakua mnyama sana.
Labda nchi haina maendeleo sababu haina Rais mwenye good presentationUmesema profesa sio? Cha ajabu ni
ndio field yake. ni prof so presentation imelala hapoHuyu waziri wa kilimo Proffesor Mkenda ni mtu mwenye uwezo mzuri wa kupresent hoja zake, ni msomi mahiri na atatufaa sana siku moja kwenye kile kiti kikubwa.
Mkuu ,Mpuuzi kweli, kama issue ni presentation basi ma-MC wa kwenye sherehe wanafaa sana kuwa ma-Rais
Haibu yaoMkuu ,
Mataga yameshaanza kutumika,bado hayaamini Kama tuko awamu ya 5,
Haya Mataga ukiyasikiliza utafikili Nchi ndiyo umepata Uhuru awamu ya mwendazake.
Hayo mambo ya presentation skills yana nafasi huko vyuoni na kwenye mihadhara siyo kwenye utawala wa nchi mkuu.Huyu waziri wa kilimo Proffesor Mkenda ni mtu mwenye uwezo mzuri wa kupresent hoja zake, ni msomi mahiri na atatufaa sana siku moja kwenye kile kiti kikubwa.