Wakuu habari zenu.
Wale wapenzi wa music wa dansi naombeni mnitajie nyimbo za huyu mwamba nizipakue mtandaoni tayari kwa kuzisikiliza.
Shukurani kwa wote mtakaoonesha ushirikiano.
Yaani kila nikiiangalia CCM kusema kweli hawana anaeweza kumrithi Magufuli, hamna nikiwaangalia naona hawaiwezi kazi ambayo Mheshimiwa anaendana nayo, Sasa hata kule kwa wavaa makoti wala bata na pilau nako ndio yaleyale maji ya futi kwa nyayo.
WaTanzania walio wngi sasa wameanza kuona matunda...
Habari za mwaka mpya wandugu. Natumai mko poa kabisa.
Nina hoja ambayo nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu, kwamba inatokana na nini?
Ni hivi, je umewahi kusikiliza wimbo fulani kisha ukajikuta unaanza kupatwa uchungu wa nafsi? Namaanisha unapousikiliza wimbo fulani unajikuta ni kama unataka...
Naona mwisho wa Mwaka ndani ya Mwezi mmoja WCB wanaachia pini juu ya pini zaidi ya Nne ambayo sio kawaida.
Lavalava ft Diamond
Rayvanny ft Diamond
Baba Levo ft Diamond
Diamond ft Koffi Olomide
Zuchu & Rayvanny
Hizo tatu za mwanzo kama wanamshambuliana "Kibonge ila Kwenye Muziki Bado...
Mfano
Sweete reggae --Busy signal-come over
Hip hop--coolio-i see you when u get tgere
Singeli---msaga sumu-mwanaume mashine
Country-kenny rogers-gamble
Rnb-chris brown-with you
Morden Taarabu--jahazi-najiamin
....
....
.....
.....
....
Tuendeleee
Yaani katika dunia hii ya watu karibu takriban bilioni 8, nyimbo ya kijana wetu, mTanzania mwenzetu, Diamond Platnumz - WAAH ndio nyimbo namba moja duniani kwa sasa.
Wizara ya maliasili na utalii itumie fursa hii adhimu kuiambia dunia kwamba Tanzania ina nini cha kuwapa watalii, maana kila mtu...
Vipindi vingi vya miziki ni Bongo Fleva, utasikia top ten ya bongo fleva. Hutosikia wanapiga sebene la Nyosh El Sadat wala Patcho. Ila sasa ikitokea Alikiba kaimba sebene kama Chekecha au Mwanadar es Salaam, au Diamond na sebene lake la Waah, utalisikia linapigwa kwenye hivyo vipindi.
Sasa...
Nyimbo zenyewe ni kama zifutazo...
1. Tutatoana Roho Yarabi
2. Ujanja wa bure tu
3. Mwaka huu unalo
4. Mbabe kakutana na Mbabe mwenzake
5. Za Mwizi 40
6. Mwosha huoshwa
7. Malipo ni hapa hapa duniani
Wewe Mtani wangu wa Kisiasa mwana CHADEMA hapo Mbezi 'Goigi' Mimi GENTAMYCINE mwana CCM...
Huyu mwana wetu, hatukumwambia alipokosea, aliamua kufanya lolote atakalo, na hata alipofanya mabaya tukamsifu kwamba huo uovu wake aufanyao ndio uanaume wenyewe.
Alianza kwa kuwatumia rafiki zake wa kutoka mbali tusiowajua kupoteza wadogo zake, akaenda mbali akafanya maovu makubwa, tukamsifu...
Ifiatayoni nyimbo zangu nilizozisikiliza mara nyingi zaidi kwa mwaka huu 2020
Kutoka Tanzania nyimbo zangu bora mwaka huu ni..
Joh Makini ft Lady Jaydee _Kiwembe
Darasa ft sho madjozi _ I like it
Rayvanny _ Mama, Teamo
Diamond_ Jeje. Napenda video tu na beat
(Kwa orodha hii nafunga nyimbo...
Unajua kila alfajiri hapa nchini Ujerumani ninafungua kamgahawa kangu; ni kagari nimekafanya mgahawa unaotembea.
Sasa kuna sehemu apa karibu nimepata location nzuri ina mchanganyiko wa watu, nikaamua nipaki gari langu aina Fiat ndogo.
Nikashusha spika zangu kubwa mbili nika-play nyimbo ilivo...
Ya kwanza niliitafuta sana aliimba fally ipupa na j martin
Sasa hii ya pili inafanana na hiyo ila jina silijui ina kama sauti yake inasema "kibai bai baiii" jina tafadhali.
Nyingine inaimba "....wanna make me gongoweo dondoweo dondoweo" halafu inamalizia kwa kuitikia "iye iye iye iye"...
Katika pita pita yangu youtube nikakutana na nyimbo za wasomalia asee ni nzuri mno japo sielewi waimbacho ila nimependa nyimbo zao kuanzia melody,beat,uvaaji na sauti
Hizo apo ni baadhi ya nyimbo zao.
Wakuu kwanza poleni na majukumu.
Naombeni mnitajie zile ngoma kali za taratibu(slow kabisa) Mfano Ed Sheeran__Thinking out loud
Enrique Iglesias_Hero
Mnaozifahamu shusheni Playlist hapa...zile za Slow sio za kukimbia zile za kubembeleza...
Asanteni,forgive me.
Labda mtu azikopi mwenyewe
Au nizikute kwenye hiyo disk
Au nizikilize radion
Au zitumwe kwenye .agroup.....
Yaani inshort ..sizielewagi tu...
Katika nyimbo zake 1000+ nilizozisikiliza ni 3 tu ndio nilizielewa
Lala salama
Ukimuona
Nataka kulewa
Kamuharibu mpaka harmonize
Wa aiyola,kidonda...
1. I LOVE YOU – CATHOLIC MT. THERESIA
Hii nyimbo kama wahusika walifanya mazoezi ndipo wakaenda shoot video basi walifanya mazoezi ipasavyo.Nimependa jinsi wanavyocheza mwanzo mpaka mwisho,nimependa ujumbe unaotoka kwenye huu wimbo ni wimbo ambao ukipigwa hata kama upo pembeni na mama watoto...
Previously wimbo ulikua wa kampeni za Msigwa ila naona umeboreshwa uwe wa kitaifa. Unanibamba sana, inapaswa baada ya campaign uchukue nafasi ya ''one love'', inasaidia zaidi branding ya chama.
Source:
Yericko Nyerere
Nawashukuru wote mliojitokeza kuchangia chochote kugharamia maboresho...
Baada ya alikiba kutoa diss track yake inayokwenda kwa jina la mediocre.
Ikielezwa kwamba ni dies kwenda kwa diamond...
Sasa mlengwa mwenyewe yaani diamond ametoa track yake inayokwenda kwa jina la "haunisumbui" ikielezwa kwamba ni diss yaani comeback kurudi kwa alikiba
Nategemea pia mawe hapa...
Siku hizi naweza kukaa siku nzima nasikiliza muziki kutoka Afrika bila kuchanganya na ile kutoka Ulaya na Marekani. Viwango vimeanza kuwa vizuri sana huku kwetu Afrika kiasi kwamba Muziki wetu unaanza kusikilizwa sana huko duniania kote. Sasa napenda kufahamu zaidi kuhusu muziki wa Afrika hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.