nyimbo

  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    Mchelea mwana kulia, hulia yeye. Tulimsifu kwa nyimbo na mapambio mwanetu, leo tunalia

    Huyu mwana wetu, hatukumwambia alipokosea, aliamua kufanya lolote atakalo, na hata alipofanya mabaya tukamsifu kwamba huo uovu wake aufanyao ndio uanaume wenyewe. Alianza kwa kuwatumia rafiki zake wa kutoka mbali tusiowajua kupoteza wadogo zake, akaenda mbali akafanya maovu makubwa, tukamsifu...
  2. Da'Vinci

    Nyimbo nilizozisikiliza mara nyingi 2020🙄

    Ifiatayoni nyimbo zangu nilizozisikiliza mara nyingi zaidi kwa mwaka huu 2020 Kutoka Tanzania nyimbo zangu bora mwaka huu ni.. Joh Makini ft Lady Jaydee _Kiwembe Darasa ft sho madjozi _ I like it Rayvanny _ Mama, Teamo Diamond_ Jeje. Napenda video tu na beat (Kwa orodha hii nafunga nyimbo...
  3. fungi06

    Nyimbo za Navy Kenzo zaniongezea wateja mgahawani kwangu

    Unajua kila alfajiri hapa nchini Ujerumani ninafungua kamgahawa kangu; ni kagari nimekafanya mgahawa unaotembea. Sasa kuna sehemu apa karibu nimepata location nzuri ina mchanganyiko wa watu, nikaamua nipaki gari langu aina Fiat ndogo. Nikashusha spika zangu kubwa mbili nika-play nyimbo ilivo...
  4. Decoration

    Hii nyimbo inaitwaje ya kinaigeria hivi siijui jina lake

    Ya kwanza niliitafuta sana aliimba fally ipupa na j martin Sasa hii ya pili inafanana na hiyo ila jina silijui ina kama sauti yake inasema "kibai bai baiii" jina tafadhali. Nyingine inaimba "....wanna make me gongoweo dondoweo dondoweo" halafu inamalizia kwa kuitikia "iye iye iye iye"...
  5. askofu rashid

    Kumbe wasomali wanajua kuimba nimependa nyimbo zao

    Katika pita pita yangu youtube nikakutana na nyimbo za wasomalia asee ni nzuri mno japo sielewi waimbacho ila nimependa nyimbo zao kuanzia melody,beat,uvaaji na sauti Hizo apo ni baadhi ya nyimbo zao.
  6. P

    Nyimbo za slow

    Wakuu kwanza poleni na majukumu. Naombeni mnitajie zile ngoma kali za taratibu(slow kabisa) Mfano Ed Sheeran__Thinking out loud Enrique Iglesias_Hero Mnaozifahamu shusheni Playlist hapa...zile za Slow sio za kukimbia zile za kubembeleza... Asanteni,forgive me.
  7. Deejay nasmile

    Sijawahi kuweka nyimbo za Diamond na kundi lake WCB kwenye cd,simu,pc wala flash..

    Labda mtu azikopi mwenyewe Au nizikute kwenye hiyo disk Au nizikilize radion Au zitumwe kwenye .agroup..... Yaani inshort ..sizielewagi tu... Katika nyimbo zake 1000+ nilizozisikiliza ni 3 tu ndio nilizielewa Lala salama Ukimuona Nataka kulewa Kamuharibu mpaka harmonize Wa aiyola,kidonda...
  8. CONTROLA

    Video za nyimbo 10 bora za wakati wote zilizoweza kufikisha ujumbe kama ilivyokusudiwa

    1. I LOVE YOU – CATHOLIC MT. THERESIA Hii nyimbo kama wahusika walifanya mazoezi ndipo wakaenda shoot video basi walifanya mazoezi ipasavyo.Nimependa jinsi wanavyocheza mwanzo mpaka mwisho,nimependa ujumbe unaotoka kwenye huu wimbo ni wimbo ambao ukipigwa hata kama upo pembeni na mama watoto...
  9. zitto junior

    GE2020 Nimefurahi wimbo huu kuwa rasmi wa kampeni CHADEMA

    Previously wimbo ulikua wa kampeni za Msigwa ila naona umeboreshwa uwe wa kitaifa. Unanibamba sana, inapaswa baada ya campaign uchukue nafasi ya ''one love'', inasaidia zaidi branding ya chama. Source: Yericko Nyerere Nawashukuru wote mliojitokeza kuchangia chochote kugharamia maboresho...
  10. Its Pancho

    Diamond ajibu nyimbo mpya disstrack kwenda kwa kiba

    Baada ya alikiba kutoa diss track yake inayokwenda kwa jina la mediocre. Ikielezwa kwamba ni dies kwenda kwa diamond... Sasa mlengwa mwenyewe yaani diamond ametoa track yake inayokwenda kwa jina la "haunisumbui" ikielezwa kwamba ni diss yaani comeback kurudi kwa alikiba Nategemea pia mawe hapa...
  11. MALCOM LUMUMBA

    Uzi maalumu kwa ajili ya nyimbo za kiafrika "afro-pop"

    Siku hizi naweza kukaa siku nzima nasikiliza muziki kutoka Afrika bila kuchanganya na ile kutoka Ulaya na Marekani. Viwango vimeanza kuwa vizuri sana huku kwetu Afrika kiasi kwamba Muziki wetu unaanza kusikilizwa sana huko duniania kote. Sasa napenda kufahamu zaidi kuhusu muziki wa Afrika hasa...
  12. KENZY

    Kuweni makini nyimbo nyengine haziimbwi hovyo,nilichezea banzi!!.

    Nikajivika ukongoman mzee si alikuwa anapenda nyimbo zakikongo,siku moja wapo wageni nikaimba haka kakipengele kwenye huu wimbo.. Sasa inavyosound ndugu acheni tu! Tusichanganye lugha za watu maana kwa ule mmbanzi mpk wageni ilibidi waage tu!.. Lilitua banzi la shingo nikahisi leo ndo ile siku...
  13. S

    Tamasha la nyimbo za CCM Zanzibar ovyo - Mgombea Urais asepa kiaina

    Nilijua tu hakuna kitu pale tamasha la kuwaburudisha wananchi lilikuwa ovyo sana ukiangalia kwa makini waliohudhuria ni wachache sio matarajio ,kiasi ya kubadilisha mada na kuliita tamasha la nyimbo za uchaguzi na huku mgeni wa heshima kuambia amehudhuria kwa sapraizi,wanadanganyana wenyewe kwa...
  14. waterproof

    Nyimbo za wanaharakakati kama kina roma zina mchango gani msimu huu wa uchaguzi?

    Vipi wadau me naona Roma ashushe moja ya kiwanaharakati tumemisi hivyo vitu sana maana sabufa zina vumbi mno
  15. kavulata

    Wasanii msitunge nyimbo za kutundika darini

    Mfano, Cosmas Chidule aliimba nyimbo nzuri kuhusu makao makuu Dodoma, lakini aliiharibu kwa kuitaja CCM kwakuwa wakati anaitunga nchi ilikuwa ya chama kimoja. Ziko nyimbo za furaha, huzuni na matukio ambazo wasanii wetu wanafanya kazi kubwa ya kuzitunga lakini zinageuka big G baada ya muda...
  16. Mkogoti

    Hii style ya Harmonize kuchukua beat na kurudia nyimbo atakuwa ametoka nayo huko alikotoka?

    Salama wakuu! Ipo hivi najua kila mtu ashasikiliza ile album yake sasa mle naona kama kuna nyimbo nyingi nyingi kachukua beat mfano wimbo wa "body" harmonize ft burna boy, kachukua beat na neno "Show me the way" wa kwake Papa wemba, tuje wimbo wa Hainistui kachukua beat ya Mr. Nice na huyo...
  17. John abruzzi

    Nimeweka nyimbo kwenye memory na kuangalia kupitia DVD kwa kutumia Card Reader zina scratch (zinakwama kwama). Shida nini?

    Wakuu natumia TV ya kawaida. Baada ya kupitia mambo ya convention kuanzia 780p naandikiwa unsurported format ila 480p ndio inakubali kuonesha lakini scratch nyingi. Nimechomeka kupitia deki na card reader yangu imeandikwa Micro SD USB 2.0 Shida inaweza kuwa nini wakuu?
  18. dosama

    Lema: Vijana wa CHEDEMA wanyimwa dhamana Singida kisa kuimba nyimbo ya Taifa na bendera ya chama

    Nilikwenda Singida kuwasalimu KM BAVICHA Nusrat/ Mwenezi Twaha Mwaipaya, sikuweza kuwaona wanashitakiwa kwa kosa la kuimba wimbo wa Taifa huku wakiwa wameshika bendera ya Chama. Wote wamenyimwa dhamana, kwani hati ya kiapo cha DPP inasema wao kukaa kwao nje ni hatari kwa usalama. Mahakama...
  19. A

    Hii nyimbo ya zamani inayoitwa "Supastaa wa Bongo" nitaipataje?

    Iliimbwa mwanzoni mwa miaka ya 2000 kwenye TV, ilikua inaimbwa hivi, "Superstar superstar, superstar wa bongo, superstar superstar kuwa na usongo".
  20. S

    Yupo wapi huyu SPARK msanii aliyetamba na nyimbo yake ya USINIACHE?

    Habari nataka kujua huyu msanii SPARK yupo wapi? Je, anaendelea na muziki au ameacha? Nakumbuka alitamba sana na Nyimbo yake ya USINIACHE?
Back
Top Bottom