nyimbo

  1. P

    JamiiForums Tanzania Navutiwa sana na nyimbo za Mwinjuma Muumini. Nisaidieni kunitajia baadhi ya nyimbo alizoimba nizitafute nisikilize

    Wakuu habari zenu. Wale wapenzi wa music wa dansi naombeni mnitajie nyimbo za huyu mwamba nizipakue mtandaoni tayari kwa kuzisikiliza. Shukurani kwa wote mtakaoonesha ushirikiano.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Sisikii sioni, Magufuli milele, hii sasa ndio imekuwa nyimbo yangu

    Yaani kila nikiiangalia CCM kusema kweli hawana anaeweza kumrithi Magufuli, hamna nikiwaangalia naona hawaiwezi kazi ambayo Mheshimiwa anaendana nayo, Sasa hata kule kwa wavaa makoti wala bata na pilau nako ndio yaleyale maji ya futi kwa nyayo. WaTanzania walio wngi sasa wameanza kuona matunda...
  3. Blue Bahari

    JamiiForums Tanzania Kuna uhusiano gani kati ya nyimbo na uchungu wa nafsi?

    Habari za mwaka mpya wandugu. Natumai mko poa kabisa. Nina hoja ambayo nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu, kwamba inatokana na nini? Ni hivi, je umewahi kusikiliza wimbo fulani kisha ukajikuta unaanza kupatwa uchungu wa nafsi? Namaanisha unapousikiliza wimbo fulani unajikuta ni kama unataka...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Nyimbo mpya ya Harmonize(wapo) ni kali sana

    Goood guuud safi sana kali aiseee
  5. Mad Max

    JamiiForums Tanzania WCB naona Nyimbo juu ya Nyimbo, Kuna nini?

    Naona mwisho wa Mwaka ndani ya Mwezi mmoja WCB wanaachia pini juu ya pini zaidi ya Nne ambayo sio kawaida. Lavalava ft Diamond Rayvanny ft Diamond Baba Levo ft Diamond Diamond ft Koffi Olomide Zuchu & Rayvanny Hizo tatu za mwanzo kama wanamshambuliana "Kibonge ila Kwenye Muziki Bado...
  6. Deejay nasmile

    JamiiForums Tanzania Kuna aina ngapi za muziki?? Orodhesha unazozifahamu na baadhi ya nyimbo zake

    Mfano Sweete reggae --Busy signal-come over Hip hop--coolio-i see you when u get tgere Singeli---msaga sumu-mwanaume mashine Country-kenny rogers-gamble Rnb-chris brown-with you Morden Taarabu--jahazi-najiamin .... .... ..... ..... .... Tuendeleee
  7. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa Diamond Platnumz - WAAH ndio nyimbo namba moja duniani kwa sasa!

    Yaani katika dunia hii ya watu karibu takriban bilioni 8, nyimbo ya kijana wetu, mTanzania mwenzetu, Diamond Platnumz - WAAH ndio nyimbo namba moja duniani kwa sasa. Wizara ya maliasili na utalii itumie fursa hii adhimu kuiambia dunia kwamba Tanzania ina nini cha kuwapa watalii, maana kila mtu...
  8. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Hivi category za nyimbo Bongo huwa inategemea kaimba nani?

    Vipindi vingi vya miziki ni Bongo Fleva, utasikia top ten ya bongo fleva. Hutosikia wanapiga sebene la Nyosh El Sadat wala Patcho. Ila sasa ikitokea Alikiba kaimba sebene kama Chekecha au Mwanadar es Salaam, au Diamond na sebene lake la Waah, utalisikia linapigwa kwenye hivyo vipindi. Sasa...
  9. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Akijua fika Mimi ni mwana CCM na Yeye ni mwana CHADEMA nimemtembelea 'Ofisini' Kwake kila mara ananiwekea tu hizi Nyimbo

    Nyimbo zenyewe ni kama zifutazo... 1. Tutatoana Roho Yarabi 2. Ujanja wa bure tu 3. Mwaka huu unalo 4. Mbabe kakutana na Mbabe mwenzake 5. Za Mwizi 40 6. Mwosha huoshwa 7. Malipo ni hapa hapa duniani Wewe Mtani wangu wa Kisiasa mwana CHADEMA hapo Mbezi 'Goigi' Mimi GENTAMYCINE mwana CCM...
  10. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Mchelea mwana kulia, hulia yeye. Tulimsifu kwa nyimbo na mapambio mwanetu, leo tunalia

    Huyu mwana wetu, hatukumwambia alipokosea, aliamua kufanya lolote atakalo, na hata alipofanya mabaya tukamsifu kwamba huo uovu wake aufanyao ndio uanaume wenyewe. Alianza kwa kuwatumia rafiki zake wa kutoka mbali tusiowajua kupoteza wadogo zake, akaenda mbali akafanya maovu makubwa, tukamsifu...
  11. Da'Vinci

    JamiiForums Tanzania Nyimbo nilizozisikiliza mara nyingi 2020🙄

    Ifiatayoni nyimbo zangu nilizozisikiliza mara nyingi zaidi kwa mwaka huu 2020 Kutoka Tanzania nyimbo zangu bora mwaka huu ni.. Joh Makini ft Lady Jaydee _Kiwembe Darasa ft sho madjozi _ I like it Rayvanny _ Mama, Teamo Diamond_ Jeje. Napenda video tu na beat (Kwa orodha hii nafunga nyimbo...
  12. fungi06

    JamiiForums Tanzania Nyimbo za Navy Kenzo zaniongezea wateja mgahawani kwangu

    Unajua kila alfajiri hapa nchini Ujerumani ninafungua kamgahawa kangu; ni kagari nimekafanya mgahawa unaotembea. Sasa kuna sehemu apa karibu nimepata location nzuri ina mchanganyiko wa watu, nikaamua nipaki gari langu aina Fiat ndogo. Nikashusha spika zangu kubwa mbili nika-play nyimbo ilivo...
  13. Decoration

    JamiiForums Tanzania Hii nyimbo inaitwaje ya kinaigeria hivi siijui jina lake

    Ya kwanza niliitafuta sana aliimba fally ipupa na j martin Sasa hii ya pili inafanana na hiyo ila jina silijui ina kama sauti yake inasema "kibai bai baiii" jina tafadhali. Nyingine inaimba "....wanna make me gongoweo dondoweo dondoweo" halafu inamalizia kwa kuitikia "iye iye iye iye"...
  14. askofu rashid

    JamiiForums Tanzania Kumbe wasomali wanajua kuimba nimependa nyimbo zao

    Katika pita pita yangu youtube nikakutana na nyimbo za wasomalia asee ni nzuri mno japo sielewi waimbacho ila nimependa nyimbo zao kuanzia melody,beat,uvaaji na sauti Hizo apo ni baadhi ya nyimbo zao.
  15. P

    JamiiForums Tanzania Nyimbo za slow

    Wakuu kwanza poleni na majukumu. Naombeni mnitajie zile ngoma kali za taratibu(slow kabisa) Mfano Ed Sheeran__Thinking out loud Enrique Iglesias_Hero Mnaozifahamu shusheni Playlist hapa...zile za Slow sio za kukimbia zile za kubembeleza... Asanteni,forgive me.
  16. Deejay nasmile

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kuweka nyimbo za Diamond na kundi lake WCB kwenye cd,simu,pc wala flash..

    Labda mtu azikopi mwenyewe Au nizikute kwenye hiyo disk Au nizikilize radion Au zitumwe kwenye .agroup..... Yaani inshort ..sizielewagi tu... Katika nyimbo zake 1000+ nilizozisikiliza ni 3 tu ndio nilizielewa Lala salama Ukimuona Nataka kulewa Kamuharibu mpaka harmonize Wa aiyola,kidonda...
  17. CONTROLA

    JamiiForums Tanzania Video za nyimbo 10 bora za wakati wote zilizoweza kufikisha ujumbe kama ilivyokusudiwa

    1. I LOVE YOU – CATHOLIC MT. THERESIA Hii nyimbo kama wahusika walifanya mazoezi ndipo wakaenda shoot video basi walifanya mazoezi ipasavyo.Nimependa jinsi wanavyocheza mwanzo mpaka mwisho,nimependa ujumbe unaotoka kwenye huu wimbo ni wimbo ambao ukipigwa hata kama upo pembeni na mama watoto...
  18. zitto junior

    JamiiForums Tanzania GE2020 Nimefurahi wimbo huu kuwa rasmi wa kampeni CHADEMA

    Previously wimbo ulikua wa kampeni za Msigwa ila naona umeboreshwa uwe wa kitaifa. Unanibamba sana, inapaswa baada ya campaign uchukue nafasi ya ''one love'', inasaidia zaidi branding ya chama. Source: Yericko Nyerere Nawashukuru wote mliojitokeza kuchangia chochote kugharamia maboresho...
  19. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Diamond ajibu nyimbo mpya disstrack kwenda kwa kiba

    Baada ya alikiba kutoa diss track yake inayokwenda kwa jina la mediocre. Ikielezwa kwamba ni dies kwenda kwa diamond... Sasa mlengwa mwenyewe yaani diamond ametoa track yake inayokwenda kwa jina la "haunisumbui" ikielezwa kwamba ni diss yaani comeback kurudi kwa alikiba Nategemea pia mawe hapa...
  20. MALCOM LUMUMBA

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa ajili ya nyimbo za kiafrika "afro-pop"

    Siku hizi naweza kukaa siku nzima nasikiliza muziki kutoka Afrika bila kuchanganya na ile kutoka Ulaya na Marekani. Viwango vimeanza kuwa vizuri sana huku kwetu Afrika kiasi kwamba Muziki wetu unaanza kusikilizwa sana huko duniania kote. Sasa napenda kufahamu zaidi kuhusu muziki wa Afrika hasa...
Back
Top Bottom