Wewe tenaHii ya Wasafi ipo bomba Sana nimeikubali ikifuatiwa na ya msechu na harmonize
Alikufa Yesu sembuse hicho kidudeJiwe alikuwa na mapungufu ya kibinadam lakini ukweli bila chembe kwa Tanzania ni kwamba MBUYU UMEANGUKA!!
Jiwe alikuwa na mapungufu ya kibinadam lakini ukweli bila chembe kwa Tanzania ni kwamba MBUYU UMEANGUKA!!
Mpaka sasa naona nyimbo zilizotolewa na maomboleza ni nyingi ila hii ya Rosa Ree Kigodo inilize walahi, ya Wasafi sijaelewa sana japo imesheheni wasaniii kibao
Unaionaje Mtu wangu, hii hapa chini: