Wimbo Bora ya Maombolezo ya JPM so Far ni Hii ya Rosa Ree, Ya wasafi Sijailewa sana

Jiwe alikuwa na mapungufu ya kibinadam lakini ukweli bila chembe kwa Tanzania ni kwamba MBUYU UMEANGUKA!!

Hii nchi mpaka wanafki muishe ndiyo itaendelea.
Yaani kwako watu kupigwa risasi,kutekwa,kupotezwa,kuporwa mali zao ni mapungufu madogo kwako?

Jiwe siyo kiongozi alikuwa kichaa...afie huko.
 
Mbona ina sound kama ya whiz Khalifa na chalie puth.

Wimbo bora ameimba peter msechu, hauchoshi kusikiliza
 
Mpaka sasa naona nyimbo zilizotolewa na maomboleza ni nyingi ila hii ya Rosa Ree Kigodo inilize walahi, ya Wasafi sijaelewa sana japo imesheheni wasaniii kibao

Unaionaje Mtu wangu, hii hapa chini:


Roza Lii hajaweka mazafanta kwenye tungo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom