Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,820
Watetezi wa haki za binadamu nchini Kenya wametaka mwanamuziki kutoka kabila la Kisii nchini humo afanyiwe uchunguzi wa akili kutokana na matukio ambayo amekuwa akiyafanya kwenye video zake.
Uchunguzi huo unatarajiwa kufanyika katika hospitali ya magonjwa ya akili ya Mathari.
Iwapo atagundulika kuwa na akili timamu anaweza kujikuta akiburuzwa mahakamani kwa kosa la kuyahatarisha maisha yake na watu wengine.
Uchunguzi huo unatarajiwa kufanyika katika hospitali ya magonjwa ya akili ya Mathari.
Iwapo atagundulika kuwa na akili timamu anaweza kujikuta akiburuzwa mahakamani kwa kosa la kuyahatarisha maisha yake na watu wengine.