Hivi BASATA ipo kweli? Inafanya kazi gani kama nyimbo humu nchini ni matusi matupu, BASATA jikagueni kama mnatosha

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
6,825
9,532
Soma haya mashairi ya nyimbo zinazopigwa kila uchao na watoto wetu wanasikiliza no wonder nimesoma huko Temeke watoto wanabakana sababu mojawapo ni manyimbo haya yasiyo na maadili. Kwaani BASATA mko wapi na mnafanya kazi gani kudhibiti hizi nyimbo....hawa wasanii si wamesajiliwa na ninyi? Kweli chombo cha serikali mnapitisha nyimbo zenye matusi hivi?

Hizo bia unazomnunulia blaza
Ukimpiga kimoko ukilala atatangaza
Sio pesa tu usipokaza
Usiwe kilaza bro we mpeleke moto

Peleka moto, mpelekee moto
Peleka moto, mpelekee moto
Peleka moto, mpelekee moto
Peleka moto, mpelekee moto

Usiishie kununua chipsi tu
Nyama nyingi kuliko chipsi zipisi mmh
Anakula zege wanakodolea mahips tu
Na unapasuka hujanyonya hata lips, duu
Haa, kwao wanamuita kicheche
Tembeza moto mpaka mwisho usitoke na cheche
Kati kati tu utaskia acha ipoe nipepee
Afu ukicheki comrade rungu kipepee


Huo natoa kama mfano tu lakini ukweli ni kwamba BASATA wazazi hatuwaelewi mnakipeleka wapi kizazi chetu....Aidha Mamlaka nyingine zisaidiane na BASATA kuzuia huu upuuzi wa kuimba na kughani matusi.

Rapper Nikki wa Pili kutoka kundi la Weusi aliwahi kueleza kuwa kipindi cha kampeni (2015) kulikuwa na nyimbo nyingi ambazo zilikuwa kinyume na maadili. Kupitia ukurasa wake wa twitter aliandika; “Tukizungumzia nyimbo za matusi bwana zilitoka wakati wa kampeni, bwana we matusi ya nguoni, tena yakitukana watu wazima na heshima zao, hapa walezi walikaa kimyaaa,” alisema Nikki.

Bado nyimbo nyingi za Bongo Fleva zinaimba matusi sana...kwanini BASATA mnakaa kimya??!! Nyimbo hasa za wale vijana wa kundi maarufu ndio zina matusi kwelikweli lakini hatujawahi kusikia wakichukuliwa hatua.
 
Achilia matusi, hata mavazi ni uchi tupu lakin hayo ma basata yanakula mishahar ya bure.
Haijitambui sijui.
 
Kina nikki wenyewe ndio haohao wazee wa matusi.
Kwa kifupi BASATA wameweka pamba masikioni.
 
Mkuu unajitesa bure,
Dunia hii ukiishi sana miaka 80,
Focus kwenye mambo yako huo upuuzi usikupe stress, kuna nyimbo nyingi tu zitakufaa kusikiliza.
 
Soma haya mashairi ya nyimbo zinazopigwa kila uchao na watoto wetu wanasikiliza no wonder nimesoma huko Temeke watoto wanabakana sababu mojawapo ni manyimbo haya yasiyo na maadili. Kwaani BASATA mko wapi na mnafanya kazi gani kudhibiti hizi nyimbo....hawa wasanii si wamesajiliwa na ninyi? Kweli chombo cha serikali mnapitisha nyimbo zenye matusi hivi?

Hizo bia unazomnunulia blaza
Ukimpiga kimoko ukilala atatangaza
Sio pesa tu usipokaza
Usiwe kilaza bro we mpeleke moto

Peleka moto, mpelekee moto
Peleka moto, mpelekee moto
Peleka moto, mpelekee moto
Peleka moto, mpelekee moto

Usiishie kununua chipsi tu
Nyama nyingi kuliko chipsi zipisi mmh
Anakula zege wanakodolea mahips tu
Na unapasuka hujanyonya hata lips, duu
Haa, kwao wanamuita kicheche
Tembeza moto mpaka mwisho usitoke na cheche
Kati kati tu utaskia acha ipoe nipepee
Afu ukicheki comrade rungu kipepee


Huo natoa kama mfano tu lakini ukweli ni kwamba BASATA wazazi hatuwaelewi mnakipeleka wapi kizazi chetu....Aidha Mamlaka nyingine zisaidiane na BASATA kuzuia huu upuuzi wa kuimba na kughani matusi.

Rapper Nikki wa Pili kutoka kundi la Weusi aliwahi kueleza kuwa kipindi cha kampeni (2015) kulikuwa na nyimbo nyingi ambazo zilikuwa kinyume na maadili. Kupitia ukurasa wake wa twitter aliandika; “Tukizungumzia nyimbo za matusi bwana zilitoka wakati wa kampeni, bwana we matusi ya nguoni, tena yakitukana watu wazima na heshima zao, hapa walezi walikaa kimyaaa,” alisema Nikki.

Bado nyimbo nyingi za Bongo Fleva zinaimba matusi sana...kwanini BASATA mnakaa kimya??!! Nyimbo hasa za wale vijana wa kundi maarufu ndio zina matusi kwelikweli lakini hatujawahi kusikia wakichukuliwa hatua.

Anataka nimpeleke serengeti,kilimanjaro,anatoa nilipozoea anataka niweke kwenye mtaro ,she don't she don't like no body.
 
Mkuu ungetuambia matusi yako wapi hapo isije kuwa wewe na akili yako ya balehe mda wote unawaza chini ndo unaeona matusi
 
Soma haya mashairi ya nyimbo zinazopigwa kila uchao na watoto wetu wanasikiliza no wonder nimesoma huko Temeke watoto wanabakana sababu mojawapo ni manyimbo haya yasiyo na maadili. Kwaani BASATA mko wapi na mnafanya kazi gani kudhibiti hizi nyimbo....hawa wasanii si wamesajiliwa na ninyi? Kweli chombo cha serikali mnapitisha nyimbo zenye matusi hivi?

Hizo bia unazomnunulia blaza
Ukimpiga kimoko ukilala atatangaza
Sio pesa tu usipokaza
Usiwe kilaza bro we mpeleke moto

Peleka moto, mpelekee moto
Peleka moto, mpelekee moto
Peleka moto, mpelekee moto
Peleka moto, mpelekee moto

Usiishie kununua chipsi tu
Nyama nyingi kuliko chipsi zipisi mmh
Anakula zege wanakodolea mahips tu
Na unapasuka hujanyonya hata lips, duu
Haa, kwao wanamuita kicheche
Tembeza moto mpaka mwisho usitoke na cheche
Kati kati tu utaskia acha ipoe nipepee
Afu ukicheki comrade rungu kipepee


Huo natoa kama mfano tu lakini ukweli ni kwamba BASATA wazazi hatuwaelewi mnakipeleka wapi kizazi chetu....Aidha Mamlaka nyingine zisaidiane na BASATA kuzuia huu upuuzi wa kuimba na kughani matusi.

Rapper Nikki wa Pili kutoka kundi la Weusi aliwahi kueleza kuwa kipindi cha kampeni (2015) kulikuwa na nyimbo nyingi ambazo zilikuwa kinyume na maadili. Kupitia ukurasa wake wa twitter aliandika; “Tukizungumzia nyimbo za matusi bwana zilitoka wakati wa kampeni, bwana we matusi ya nguoni, tena yakitukana watu wazima na heshima zao, hapa walezi walikaa kimyaaa,” alisema Nikki.

Bado nyimbo nyingi za Bongo Fleva zinaimba matusi sana...kwanini BASATA mnakaa kimya??!! Nyimbo hasa za wale vijana wa kundi maarufu ndio zina matusi kwelikweli lakini hatujawahi kusikia wakichukuliwa hatua.
Kila nikijaribu kuyasoma haya mashairi kwa mtindo wa ku_rap namuona Young Killer huyu hapa. Huu wimbo sio wake kweli!?
 
Back
Top Bottom