nyimbo

  1. N

    Wadau wa Muziki Nigeria wamponda Diamond Platnumz kwa kuiba nyimbo zao

    Kwa wale mliiona ile post ya Diamond kipande cha wimbo wake mpya na Wizkid akapost emoji ya kucheka mkae mkijua tu huko Nigeria jamaa washamchukulia ni kilaza anayegeza hits za huko na ku twist kidogo kisha kuwaletea Watanzania
  2. The Boss

    BASATA kwanini hawazigusi nyimbo za singeli?

    Kuna matusi mengi mno kwenye singeli.. Why BASATA hawagusi hizi nyimbo? 'kalia chupa..kasema kalia chupa' 'mke wangu nenda kadange' 'ntafutie madanga' 'nikipata mzungu nampeleka kwa mpalange' Mimi sio sio msikilizaji wa singeli lakini hayo matusi nimeweza sikia few times nikisikia hizo...
  3. Red Giant

    Nyimbo hizi za hiphop ni nani waliimba?

    Kuna nyimbo za Hiphop Bongo nimewahi zisikia mara chache ila ni kali sana 1. Kuna wimbo wa mpenzi bubu. Achana na ile ya Hbaba. Hii ni hiphop mwanzo mwisho na jamaa anaflow vibaya mno japo kuna kauli kalikali. Aliimba nani huu wimbo? 2. Kuna wimbo mashairi yake yanasema, 'Ni hiphop, sikia...
  4. Mad Max

    Siku hizi Nyimbo za Bongo Fleva Fupi Kinoma

    Sijui ni mimi tu au, ila naona kama nyimbo nyingi za Bongo Fleva ziku hizi fupi sana. Ni nadra kuona wimbo umezidi dakika 4. Nyingi zinaishia dakika 3 na nusu na nyingine hadi dakika 2 na sekunde kadhaa. Hapo kuanzia biti la kuanza hadi mwisho kabisa. Nakumbuka zamani kidogo wimbo kua na...
  5. Chaliifrancisco

    BASATA Kuanza Kuhariri Nyimbo za Wasanii Bongo.

    Kuanzia tarehe 1 Mei 2021 BASATA wanaanza kutumia rasmi kanuni ya kuzipitia/kuchuja nyimbo mpya za Wasanii wote Tanzania kabla ya kupelekwa kwenye vituo vya Radio/TV “hii sio sheria mpya, ilikuwepo kabla ila haikua imeanza kutekelezwa, wimbo ukipitishwa Msanii anapewa cheti” Chanzo...
  6. beth

    Ni kosa kisheria kurusha nyimbo bila idhini ya mwenye nao. Mtu anaweza kulipa faini au kufungwa

    Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kinondoni, Dkt. Ezekiel Kiongo amesema kumrushia mtu wimbo bila idhini ya mwenye nao ni kosa hata kama huuzi. Amesema ni kosa kurusha kazi ya mtu mwingine bila kibali chake. Amefafanua, "Kwenye Sheria ya Mtandao (Cyber Law) inakataza na inasema mtu anaweza kulipa...
  7. M

    Hili la 'Rais' kulihutubia Bunge tukiamini ni tukio 'Kubwa' halafu kuna Wabunge wanaanzisha Nyimbo na Pambio Kusifu nalo pia ni la Kikatiba?

    Leo nimekesha Kufanya Utafiti (Kuchunguza) ni nchi gani nyingine duniani ambayo Rais akiwa 'analihutubia' Bunge Waheshimiwa Wabunge katikati ya Hotuba yake 'humkatisha' kwa Kuanza kuruka 'Sarakasi' Vitini mwao, kuimba Nyimbo na Pambio za Kusifu na Kupongeza. Je, hili la Wabunge 'Kuingilia'...
  8. YEHODAYA

    Maajabu mazishi ya Prince Phillip: Mahubiri marufuku kanisani, marufuku kuimba nyimbo za kwaya na Marufuku bendera kuwa nusu mlingoti

    Leo ndio mazishi ya Prince Philip wa Uingereza waweza angalia moja kwa moja tv ya SKYNEWS Maandalizi yote ya msiba wake aliyaanda mwenyewe kabla kufa na ratiba aliindaa mwenyewe. Katika maagizo aliyoagiza ni kuwa ni maruku padre kuhubiri mahubiri mahubiri kwenye msiba wake na kanisani...
  9. Deejay nasmile

    Nyimbo gani unazipenda ukiwa na bia mkononi/mezani baa?

    Yaani kabla hujaanza hata kuyumba yumba. Nyimbo gani zinakupa burudani ya aina yake moyoni ukiwa baa/club? Kiasi kwamba unaweza kutumia mpaka hela ya nauli au bajeti ya kesho ikavunjwa bila kujielewa.
  10. M

    Natamani sana Siku moja Rais Samia Suluhu nae azisikie hizi nyimbo za Singeli na 'Matusi' yao kisha amalizane rasmi na BASATA

    Nimetoka Kusikiliza Nyimbo za Wasanii Wakubwa Watatu wa ' Singeli " hapa Tanzania nikajuta hata kwanini nilifungulia hiyo Redio ambayo TCRA nao wana Wajibu wa Kuisimamia. Maudhui ya Kimatusi ya Msanii A "Umo Umo akipanua tu Wewe ingiza Chuma cheusi Moto uwake " Maudhui ya Kimatusi ya Msanii B...
  11. Keynez

    Ushauri kuhusu Nyimbo za Maombolezo wakati wa Misiba Mikubwa

    Ndugu zangu, Baada ya kufuatilia kwa muda mrefu, nimegundua kwamba kila ukitokea msiba mkubwa wa kiongozi au mtu mwenye ushawishi mkubwa katika jamii, kumekuwa na wimbi la nyimbo nyingi zinazotungwa ili kuomboleza na kumkumbuka mwendazake. Kwa kweli wasanii huwa wanajituma sana kipindi kama...
  12. Ileje

    Hivi wasanii waliotunga nyimbo za kumuenzi Magufuli ni kwa mapenzi au shinikizo?

    Ukizisikiliza kwa makini nyimbo nyingi zilizotungwa baada ya Rais Magufuli kufariki huwezi kuacha kuwaza ni kweli na kwa dhati ya mioyo yao hawa wasanii wanamaanisha? Au kuna kitu wanakinyemelea nyuma ya pazia! Inavyoonekana ni kama baada ya kifo hiki wengi watashindwa kuendelea kuitumikia...
  13. S

    Kipindi hiki cha maombolezo sisi wapendwa tunafaidi sana nyimbo za injili maeneo ya starehe

    Yaani ni mwendo wa nyimbo za injili tuuu... upako kila sehemu. Bar zimegeuka platforms za nyimbo za injili ... safiii
  14. Inkoskaz

    Ni Wimbo au Nyimbo?

    Ukiwa mmoja,i mean single song unaitwaje? zamani tulifundishwa kuwa Nation anthem inaitwa Wimbo wa taifa lakini siku hizi watangazaji wengi huita "nyimbo" je ni kiswahili fasaha na kina baraka ya bakita?
  15. kavulata

    Nyimbo za maombolezo ziwe zile zinazotuimarisha badala ya kutukatisha tamaa

    Tusiomboleze kama watu tusio na imani na MwenyeziMungu. Eti utasikia nyimbo MTU anaimba sasa tutakimbilia wapi, tutaishije bila yeye, tangulia tu na sisi sote tutakufa na tutaonana baadaye, kwanini Mungu umemchukua, tutafanyaje sasa, hatatokea mwingine kama wewe, nk. Nyimbo hizi hazitufanyi...
  16. music mimi

    Nyimbo kali ambazo hazikupewa nafasi katika mainstream media

    Nakutajia baadhi ya nyimbo kali ambazo zilistahili kuwa kubwa lakini hazikupewa nafasi kwenye mainstream. All my love - Ryan Leslie Never die- DJ Drama Going down- DJ Drama Hiphop - DJ Khalid All aboard- Romeo Santos ft Lil Wayne Not that simple - Mike Posner Reminded - Tyga ft Adele...
  17. Kendrick Rama

    HIZI NYIMBO(za maombolezo) ZITAISHI MILELE

    Hawa wasanii wa trending lazima wajue hzo nyimbo wanazotoa sasa hivi kutokana na maudhui yake ni kwa siku 21 tuh za maombolezo, Inabidi wajifunze kwa wakongwe sio linapotokea tukio tu unawahi studio kurecord, unaweza ukajipa muda ukaandaa ngoma ikaishi milele, sio wanatulisha bigG daily Hapa...
  18. SEASON 5

    Nyimbo za Maombolezo za Kumuaga Rais. John Pombe Joseph Magufuli

    Nyimbo nyingi zimekua zikitungwa kwa ajili yakuonyesha namna tulivyompenda Rais wetu, nadhani kila mtu ana nyimbo ambayo kwa namna moja ama nyingine akiisikiliza anajikuta anatonesha kidonda anaanza umia upya. Kwa upande wangu nimeguswa sana na nyimbo mbili ambazo ki ukweli nimezipenda nimezi...
  19. J

    Familia: Hayati Magufuli aliongoza sala na nyimbo kabla ya kifo chake, alipakwa mafuta matakatifu. Pia aliombewa na Mufti

    Msemaji wa familia ya hayati Magufuli amesema mpendwa wao kabla ya kufa alibahatika kuongoza sala ya maombi ya kumuombea pamoja na nyimbo. Pia alipata sakramenti ya toba na mafuta matakatifu. Kadhalika Mufti wa Tanzania sheikh Zubeir alimuombea. Katika maisha ya binadamu hii ni neema kubwa...
  20. Its Pancho

    Wasanii kwenye nyimbo za maombolezo mmebugi sanaaa

    Yaani nowdays wasanii wengi wamekuwa wakitoa nyimbo za maombolezo zinazofanan halafu mashairi cheap sana hayagusi Nimeskia country boy anaimba eti "your my super girl my president" Hivi kama sio bange ni nini?
Back
Top Bottom