Jembebutu
Member
- Feb 14, 2017
- 88
- 225
Habari ndugu. Naumiza sana kichwa kwa imani yangu kwamba pesa ipo uswahilini kwenye biashara ndogondogo. Nawaza kwenda sehemu tajwa na kamtaji kidogo ninacho. Naomba mwongozo na ushauri juu ya biashara hizo kwa wanaoishi na wasioishi maeneo hayo. Natazamia kufanya mojawapo kati ya hizo. Naomba msaada wa hata wa location specifically ndani ya maeneo tajwa ikiwezekana. Shukran sana.