Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,687
- 5,444
Kiukweli TZ tulibarikiwa sana vipaji kwenye kiwanda chetu cha muziki ( Bongo Fleva).
Miaka ya nyuma tulikuwa na vipaji vingi sana lakini kadri miaka inavyozidi kwenye vipaji vinazidi kupotea, kuna haja ya wadau wa muziki huu kuzinduka usingizini.
Nimesikiliza nyimbo nyingi sana kali za Bongo, hizi hapa nyimbo zangu tano kali za bongo fleva naweza kusema ni za muda wote toka nimeijua Bongo Fleva.
1: MB Dogg si ulinimbia
2: Albert Mangwea she got a gwan
3 : Jay Mo feat Ngwea kimya kimya
4: Ferooz ft Professor Jay Starehe
5: Professor Jay feat Juma Nature zali la mentali.
Miaka ya nyuma tulikuwa na vipaji vingi sana lakini kadri miaka inavyozidi kwenye vipaji vinazidi kupotea, kuna haja ya wadau wa muziki huu kuzinduka usingizini.
Nimesikiliza nyimbo nyingi sana kali za Bongo, hizi hapa nyimbo zangu tano kali za bongo fleva naweza kusema ni za muda wote toka nimeijua Bongo Fleva.
1: MB Dogg si ulinimbia
2: Albert Mangwea she got a gwan
3 : Jay Mo feat Ngwea kimya kimya
4: Ferooz ft Professor Jay Starehe
5: Professor Jay feat Juma Nature zali la mentali.