KWANINI MAHUSIANO / NDOA NYINGI HAZIDUMU?
Unapoingia katika ndoa au mahusiano huwezi kufikiria hata kidogo kwamba asilimia kubwa ya ndoa au mahusiano hayo kufeli.Ndoa au mahusiano yanaweza kufeli kwa sababu nyingi na iwapo ndoa yako ilianguka na kufeli sababu kubwa yaweza kuwa na tofauti...
Muhwezi Benson and Akankwasa Sophie Wamedai fidia ya Tsh milioni 376 kwa kanisa la ‘Church of Uganda’ baada ya kufuta ndoa yao iliyogharimu takribani milioni 471 kuiandaa
Mwanasheria wa wanandoa hao alisema kuwa wateja wake wamekuwa na hali ngumu hivi sasa kisaikolojia na wameingia madeni...
MAPENZI yanachukua sehemu kubwa katika maisha ya binadamu na katika kuyaenzi kumekuwa na mambo mengi yanayofanywa na wapenzi ili kudumisha penzi.
Kwa nchi zetu za Afrika, mara nyingi suala la kufunga ndoa huishia kula kiapo kanisani na kisha kutunukiwa vyeti na wakati mwingine kuambatana na...
*MWANAMKE ALIYEACHIKA ANAANDIKA*
Ninaandika haya ili uelewe kwamba ni vizuri kuwatambua wenza wetu na mchango wao licha ya mapungufu yao. Nina umri wa miaka 32. Mimi na mume wangu tulikaa kwenye uchumba kwa miaka 6. Tulikuwa marafiki sana. Nilimsubiri mpaka alipomaliza masomo yake ya chuo na...
Brother uliyeoa,nisikilize mie Didas Tumaini nikujuze:
Acha nikupe dawa ya akili, labda itakujaza maarifa sahihi ya kutunza ndoa yako.
=> Mwanaume anayejitambua lazima anajua majukumu yake, na kamwe hawezi kuyakwepa.
Bro, unapooa basi jua majukumu yako sio tu kuacha hela ya kula asubuhi, na...
Wanabodi,
Mnyonge Mnyongeni, Haki Yake Mpeni, Rais Magufuli, kwanza yuko well informed kwa upande wa data za utendaji wa wateule wake wote! kichwani yuko fiti sana katika utunzaji wa kumbukumbu kutoka kichwani, leo katika kuwaapisha viongozi wapya aliowateua hivi karibuni, alikuwa anatiririka...
Hongereni wanaume marijali mnaotunza familia zenu na watoto Jambo linalopunguza watoto wa mitaani , Leo nilikuwa katika usafiri wa public transport kulikuwa na majaridiliano makali kuwa wanaume wote wenye michepuko huwa wanamudu changamoto za ndoa na kuepukana na talaka!!! Waliotoa msimamo huwa...
7 WAYS TO DISCOVER THE WILL OF GOD IN MARRIAGE
A lot of things have been said and written about the will of God in marriage. Many people, especially Christians, are concerned about marrying the will of God for their lives and not making a marital mistake. This man writing is not an exception...
Today's lesson for women
If your husband is abusive ,harsh and violent,and you know you can not take it... WALKAWAY
If your husband is a serial womanizer and you cannot take it... WALKAWAY
If your husband married or impregnated another woman and you think you cannot withstand it... WALKAWAY
If...
Shosti wangu analalamika sana kuhusu kuishi maisha ya uke wenza.Mumewe alimuolea mke mwenza na toka wakati huo maisha yao ni ya shida tupu.
Kiwango cha maisha kimeshuka sana. Hakuna maelewano baina yake na mume, ukiachilia mbali mke mwenzie. Nyumbani kumekua kama kituo cha polisi.
Kwa wale...
Wiki iliyopita nilialikwa kwenye harusi ya rafiki yangu. Ameolelwa na mzungu na ilibidi Sheikh aitwe mzungu amkane Yesu kwanza.
Tulipika pilau chai ya viungo, maandazi, vitumbua visheti. Bwana harusi kumbe alikiandaa na sanduku 5 za bia, box 2 za wine na chupa 5 za Jack Daniel. Mkewe kwa...
Tatizo la ndoa linaanzia kwenye watu wenyewe wanaoingia kwenye hiyo ndoa.Maranyingi tunakosea kwanza kwenye kuchagua mwanamke au mwanaume tunapenda kuangalia sifa za nje zaidi unakuta mwanaume ana mpenda mwanamke kwasababu ya umbo lake au sura bila hata kuangalia mambo mengine yatakayosaidia...
PADRI wa Kanisa Katoliki, Dk Bernard Msike ambaye aliwafungisha ndoa staa wa Hip Hop, Bonaventure Kabogo ‘Stamina’ na mkewe Veronica Peter katika Kanisa la Mt. Maria Consolata mkoani Morogoro, amewaita wanandoa hao kanisani kwa ajili ya usuluhishi. Padri huyo aliwafungisha ndoa hiyo Mei, 2018...
Pamoja na changamoto mbali mbali za dini ya kiislamu. Baada ya kuchunguza sana nimegundua katika ndoa na mfumo wake ni Ndoa bora zaidi kuliko za Kikristo .
Kama ningeweka katika % basi Ndoa za Kiislamu ni 90% ubora na za Kikristo ni kama 40%
Kwa nini nasema hivi?
Kwanza mimi ni mkristo na...
Imam aliyemwoa mwanamume mwenzake akidhani ni mwanamke amefutwa kazi na baraza kuu la Waislamu Uganda.
Huku mjadala kuhusu kama kweli alifahamu jinsia ya bi harusi wake wiki mbili zilizopita alipofanya nikka naye, baraza hilo linasisitiza kuwa kuna dosari kubwa kwa upande wa imam huyo na...
Kiukweli nashindwa kuelewa uhalali wa ndoa ya mkeka
Ndoa ya mkeka ni ndoa ambayo huwalazimisha vijana kuingia katika ndoa kuwaepusha na kuendeleza zinaa
Hufanywa kwa kuwavamiwa watoto hao wawapo faragha na muda huo huo ndoa hupishwa na kufungishwa na shekhe
Ndoa hizi zimekuwa zikihusishwa na...
Hivi kwanini kabila na umri vinachangia kuzuia ndoa au kuruhusu ndoa? Mfano utaulizwa huyo mwanaume ana umri gani ukisema tupo sawa watu wana doubt, why?
CHUNGU LAKINI DAWA
Kama hana bikra usimuoe, achana naye. Tafuta mwenye bikra ujichukulie mwali.
Kama hana bikra usitoe mahari kama umeamua kuoa. Toa mahari kwa mwanamke uliyeikuta bikra kwake. Mtu hana bikra unatoaje mahari.
Kama hana bikra usifanye harusi. Harusi ni kwa mwanamke mwenye bikra...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.