ndoa

  1. 44mg44

    Wanawake fungukukeni ili tuokoe ndoa zetu

    Wanawake nawaomba muwaweke wazi wanaume kwa kutaja vitu vinavyowapelekea mtoke nje ya ndoa Mkiwa wazi kwa kusema ukweli mimi naamini tutaokoa ndoa nyingi sana. Karibuni
  2. matunduizi

    Mambo ya mapenzi na tendo la ndoa tulioyatoa kwa wanyama

    Kula denda - tumetoa kwa njiwa. Kulambana sehemu za siri - Tumetoa kwa Mbuzi na mbwa. Kuwa na mke mmoja hadi kifo - tumetoa kwa njiwa. Mwanaume na mwanake kusaidiana katika kulea mimba - njiwa wanavyoasidiana kulalia mayai Style ya mwanamke chini mwanaume juu (missionary position) - tumeitoa...
  3. malisak

    Makosa wanayofanya wanaume walio kwenye ndoa

    Kuja na vimada mpk home na kumuacha ndani ya gari Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo. Kumtambulisha mtoto wako kwa kimada wako. Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa. Kumsifia rafiki au ndugu wa...
  4. malisak

    Zijue faida za uaminifu katika mahusiano ya Ndoa

    Suala la uaminifu katika mapenzi kwa karne hii limekuwa kikwazo kikubwa kwa watu wengi sana, wengi wemekuwa si waaminifu wakati mwingine kupelekea mahusiano hayo kufa. Hivyo uaminifu ni muhimu sana katika mapenzi kwa kuwa katika mahusiano ya kimapenzi kuna faida nyingi kwa mwili na akili. Watu...
  5. and 998 others

    Ndoa kudumu inataka uzuzu

    Kibongobongo Ili ndoa idumu lazima mume ujifanye Zuzu aisee. Mdomo mdomo wa mke ndani ukimuendekeza mtabaki kuzozana day-in, day-out hakuna maendeleo. Yaani Ile mke akiamka tu full kuongea tu mtu mpaka unajuta kubaki home na Corona hii.. jamani Kuna kinamama wanaongea aisee Tena NEGATIVITY tu...
  6. M

    Msaada: Nini tofauti ya Ngono, Tendo la Ndoa na Unyumba?

    Wapendwa, Kwa wenye ufahamu naomba msaada wa maana na matumizi sahihi ya maneno haya matatu NGONO, TENDO LA NDOA NA UNYUMBA. Nimeyasikia mara nyingi lakini sina hakika kama yanamaanisha kitu hicho hicho au tofauti.
  7. U

    Kilichovunja ndoa ya Diamond na Tanasha ni hiki

    Ni malaika slt, binti kutoka Australia, Mond alipagawa akafa video vixen wa jeje
  8. Equation x

    Kwa wale walioko kwenye ndoa tu, watupe majibu.....

    Kwa wale walioko kwenye ndoa tu,watupe majibu..... Pale unapokutana na magumu au changamoto za kimaisha; kama uchumi, mambo ya kazi, maradhi, kesi n.k mtu wa kwanza kumshirikisha hali unayoipitia huwa ni nani? Mke/Mume, baba yako/mama yako,rafiki au watoto wako,dada/kaka zako..na kwa nini yeye...
  9. Mema Tanzania

    Did you know? Secondary school girls are 3x less likely to become child brides

    Did you know? Girls who complete secondary school are 3x less likely to become child brides. #EachforEqual #IWD2020 #KizaziChenyeUsawa
  10. Sky Eclat

    Alpha Blondy afunga ndoa na Bi Aisha kutoka Tunisia

    Mnamkumbuka mkongwe wa Reggae kutoka Ivory Coast, alizaliwa 1953 akiwa anaiwa Seydou Kone. Amefunga ndoa na Bi Aisha mzaliwa wa Tunisi. Alpha Blondy atakua na wake wa tatu sasa. ===== Global reggae icon Alpha Blondy born Seydou Koné has secretly married a much younger Tunisian lady...
  11. 44mg44

    Wanandoa wanatakiwa wafanye tendo la ndoa mara ngap kwa siku?

    jaman naomba mnisaidie mawazo,maana ndoa yangu bado changa
  12. Galacha Maestro

    Kwanini mahusiano/ndoa nyingi hazidumu?

    KWANINI MAHUSIANO / NDOA NYINGI HAZIDUMU? Unapoingia katika ndoa au mahusiano huwezi kufikiria hata kidogo kwamba asilimia kubwa ya ndoa au mahusiano hayo kufeli.Ndoa au mahusiano yanaweza kufeli kwa sababu nyingi na iwapo ndoa yako ilianguka na kufeli sababu kubwa yaweza kuwa na tofauti...
  13. Analogia Malenga

    Wanandoa wadai fidia baada ya kanisa lao kuvunjwa saa 48 kabla ya ndoa yao

    Muhwezi Benson and Akankwasa Sophie Wamedai fidia ya Tsh milioni 376 kwa kanisa la ‘Church of Uganda’ baada ya kufuta ndoa yao iliyogharimu takribani milioni 471 kuiandaa Mwanasheria wa wanandoa hao alisema kuwa wateja wake wamekuwa na hali ngumu hivi sasa kisaikolojia na wameingia madeni...
  14. Nyendo

    Makufuli yafungwa darajani, funguo yatupwa baharini kutunza ndoa

    MAPENZI yanachukua sehemu kubwa katika maisha ya binadamu na katika kuyaenzi kumekuwa na mambo mengi yanayofanywa na wapenzi ili kudumisha penzi. Kwa nchi zetu za Afrika, mara nyingi suala la kufunga ndoa huishia kula kiapo kanisani na kisha kutunukiwa vyeti na wakati mwingine kuambatana na...
  15. K

    Wanawake mlio na ndoa someni hapa kuna la kujifunza

    *MWANAMKE ALIYEACHIKA ANAANDIKA* Ninaandika haya ili uelewe kwamba ni vizuri kuwatambua wenza wetu na mchango wao licha ya mapungufu yao. Nina umri wa miaka 32. Mimi na mume wangu tulikaa kwenye uchumba kwa miaka 6. Tulikuwa marafiki sana. Nilimsubiri mpaka alipomaliza masomo yake ya chuo na...
  16. BASIASI

    Ndoa hii imenifurahisha sana(harusi)

    Dah SINA cha kusema
  17. DIDAS TUMAINI

    Majukumu ya mwanaume kwenye ndoa

    Brother uliyeoa,nisikilize mie Didas Tumaini nikujuze: Acha nikupe dawa ya akili, labda itakujaza maarifa sahihi ya kutunza ndoa yako. => Mwanaume anayejitambua lazima anajua majukumu yake, na kamwe hawezi kuyakwepa. Bro, unapooa basi jua majukumu yako sio tu kuacha hela ya kula asubuhi, na...
  18. Pascal Mayalla

    Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni: Rais Magufuli yupo well-informed na fiti sana kichwani kwa kumbukumbu. Ana data hadi za majungu hatarishi ya ndoa!

    Wanabodi, Mnyonge Mnyongeni, Haki Yake Mpeni, Rais Magufuli, kwanza yuko well informed kwa upande wa data za utendaji wa wateule wake wote! kichwani yuko fiti sana katika utunzaji wa kumbukumbu kutoka kichwani, leo katika kuwaapisha viongozi wapya aliowateua hivi karibuni, alikuwa anatiririka...
  19. sabuwanka

    Kwa wanaume tu walio oa

    Hongereni wanaume marijali mnaotunza familia zenu na watoto Jambo linalopunguza watoto wa mitaani , Leo nilikuwa katika usafiri wa public transport kulikuwa na majaridiliano makali kuwa wanaume wote wenye michepuko huwa wanamudu changamoto za ndoa na kuepukana na talaka!!! Waliotoa msimamo huwa...
  20. BASIASI

    Njia saba kujua mapenzi ya mungu kwenye ndoa

    7 WAYS TO DISCOVER THE WILL OF GOD IN MARRIAGE A lot of things have been said and written about the will of God in marriage. Many people, especially Christians, are concerned about marrying the will of God for their lives and not making a marital mistake. This man writing is not an exception...
Back
Top Bottom