Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,920
- 14,819
Money Penny me bado sijaelewa, kwani Mahari na Tendo la Ndoa vinaingiliana vipi?!
Money Penny: kwanini?!
Mdau: huyu bwana amenilipia mahari milion 8, lakini tangu tufunge ndoa NI kama ananilioiza mahari aliolipa
Money Penny: analipizaje sijaelewa
Mdau: huko kitandani ananifanya Kwa nguvu Sana kama ana hasira vile, sikuelewi, nikimwambia apunguze anasema sijaja kwenye ndoa kucheza hapa NI mechi mpaka mwisho
Money Penny: kabla hamjaoana mlikaa kwenye mahusiano Miaka mingap?!
Mdau: mmh hatujawahi kuwa kwenye mahusiano, ye aliniona akanipenda akaja moja Kwa moja Kwa Mzee akajitambulisha na mie sikuwa na MTU nikaona muda unaenda nikakubali, tukaoana ndani ya Miezi 2 na sasa NI mkewe Ila ananifanya Sana mpaka nashindwa kuelewa NI mahari anailipia au??
Jamani wadau JF mnamsaidiaje bintietu mdau??
Money Penny: kwanini?!
Mdau: huyu bwana amenilipia mahari milion 8, lakini tangu tufunge ndoa NI kama ananilioiza mahari aliolipa
Money Penny: analipizaje sijaelewa
Mdau: huko kitandani ananifanya Kwa nguvu Sana kama ana hasira vile, sikuelewi, nikimwambia apunguze anasema sijaja kwenye ndoa kucheza hapa NI mechi mpaka mwisho
Money Penny: kabla hamjaoana mlikaa kwenye mahusiano Miaka mingap?!
Mdau: mmh hatujawahi kuwa kwenye mahusiano, ye aliniona akanipenda akaja moja Kwa moja Kwa Mzee akajitambulisha na mie sikuwa na MTU nikaona muda unaenda nikakubali, tukaoana ndani ya Miezi 2 na sasa NI mkewe Ila ananifanya Sana mpaka nashindwa kuelewa NI mahari anailipia au??
Jamani wadau JF mnamsaidiaje bintietu mdau??