ubnt
Member
- Jul 21, 2020
- 85
- 56
Habarini ndugu zangu, nimeingia kwenye jukwaa ili kutafuta mpenzi wa kike ambaye ataenda kuwa mke wangu ivi karibuni:
SIFA ZANGU:
Urefu: Ni mrefu wa wastani
Umbo: sio mnene wala sio mwembamba sana.
Rangi: Maji ya kunde
Dini: Christian (RC)
Elimu: Degree 1
Status: Single na sijawahi kuwa na mke wa ndoa wala mtoto.
Shughuli : Nimeajiliwa taasisi binafsi
Makazi: Napatikana Dar es saalam
Age: 30
SIFA ZA MWENZANGU NINAYEMTAKA:
Urefu: wa wastani
Kabila: Lolote
Umbo: Siza ya kati plus Shape nzuri**
Rangi: Yeyote
Dini: Awe Mkristo mwenye ofu ya mungu**
Elimu: Angalau form six, diploma na kuendelea..
Status: Asiwe na Mtoto**
Shughuli: zozote halali za kuingiza kipato
Makazi: Popote ila around Dar itapendeza zaidi
Age: Around 21-30
Note:
**- namaanisha ndio za kuzingatia sana
Aliye serious aje PM, Kama haupo serious please please usije pm.
Asanteni
SIFA ZANGU:
Urefu: Ni mrefu wa wastani
Umbo: sio mnene wala sio mwembamba sana.
Rangi: Maji ya kunde
Dini: Christian (RC)
Elimu: Degree 1
Status: Single na sijawahi kuwa na mke wa ndoa wala mtoto.
Shughuli : Nimeajiliwa taasisi binafsi
Makazi: Napatikana Dar es saalam
Age: 30
SIFA ZA MWENZANGU NINAYEMTAKA:
Urefu: wa wastani
Kabila: Lolote
Umbo: Siza ya kati plus Shape nzuri**
Rangi: Yeyote
Dini: Awe Mkristo mwenye ofu ya mungu**
Elimu: Angalau form six, diploma na kuendelea..
Status: Asiwe na Mtoto**
Shughuli: zozote halali za kuingiza kipato
Makazi: Popote ila around Dar itapendeza zaidi
Age: Around 21-30
Note:
**- namaanisha ndio za kuzingatia sana
Aliye serious aje PM, Kama haupo serious please please usije pm.
Asanteni