Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,403
- 40,331
Mkiwa mnaishi wenyewe bado kupata watoto, ndani ya mjengo mkubwa ni raha sana. Alafu uwe na mzigo wa maana, unaweza kuiona dunia yote ni ya kwako. Tunasema hapo maisha ni full shangwe, hakuna kuchelewa kufika nyumbani, muda wote unatamani muwe wawili tu kwenye eneo lenu la kujidai.
Vijana tuoeni jamani, lakini pia tuoe tukiwa tumeshajipanga ili tufurahie mema ya dunia.
Vijana tuoeni jamani, lakini pia tuoe tukiwa tumeshajipanga ili tufurahie mema ya dunia.