Ni sehemu gani sahihi ya kufunga ndoa, unakoendeshea shughuli zako au ilipo asili yenu?

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,671
40,912
Mfano unaishi mji A ambao ndiko makazi yako na ndiko unapoendeshea shughuli zako za kila siku, kiasi kwamba watu wako unaoshirikiana nao kila siku wanapatikana Mji huo.

Pia, una makazi yako Mji B ambako huko ndio asili yako, wazazi, ndugu na jamaa wengine wanapatikana kwa wingi.

Utafunga Harusi mji upi?
 
kwa maoni yangu sehemu sahihi ni pale ulipo yaani kwenye tukio lilipo kukuta au kwa niaba uangalie wapi una wenyeji wengi
 
kwa maoni yangu sehemu sahihi ni pale ulipo yaani kwenye tukio lilipo kukuta au kwa niaba uangalie wapi una wenyeji wengi
Ukichagua mji A inamaana utaingia gharama za kusafirisha wazazi na ndugu wa karibu, jambo jingine hapo haileti heshima kwa familia ya mume kufuata tukio.
 
Ndoa unafungia kanisani,msikitini,ofisi za serikali au nyumbani. Harusi unafanyia mji walipo baba,mama na ndugu wengine.
Vipi kuhusiana na gharama mkuu, huoni hapo zitakuwa mara mbili??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom