DAN LOKOMOTIVE
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,503
- 1,906
Wakuu habarini za kazi, poleni majukumu na shughuli za hapa na pale katika kujitafutia mkate wa kila siku na imani mko vizuri.
Tuingie kwenye point, kiukweli mimi ni kijana wa miaka 25 nimekuwa member wa muda mrefu sana wa JF toka nikiwa na miaka 21 katika kusoma comments za watu mbali mbali nimeangalia na nasikitishwa sana pale ninapoona kwamba wanaume walio wengi ikitokea ameweka thread ya mwanamke wake kucheat basi kila mwanaume anasema maneno ya kwamba amuache, asiendelee ndio zinakuwa nyingi. Ila kwa upande wa pili yaani wanawake wakipost kwamba wanaume wao wanawasaliti inakuwa kinyume response inakuwa kwamba ''hakuna mwanaume aisiyesaliti''.
Kwakweli mimi huwa nashangaa najiuliza sana hivi inakukwaje mwanaume mzima unayejua maana ya ndoa na mliapa mbele ya mwenyezi Mungu kwamba huyu ndio mkeo na utamuangalia huyu huyu kwa maisha yote halafu unasema hakuna mwanaume asiye kuwa na mwanamke mmoja. Kumbuka wakati huo huo sisi wanaume tukisalitiwa tuafikia hadi hatua ya kuua, kupiga na kufanya vitu vya hovyo.
Kama mimi nilikuwa nawahimiza kama mwanaume kama unaona huwezi kuandika comment ya kutoa maelekezo ya maadili ya ndoa bora ukanyamamza kuliko kuandika swala la kipumbavu eti hakuna mwanaume asiyekuwa na mwanamke. Kucheat ni kucheat hata haina excuse hata kidogo.
Kwanini na andika hii ni kwasababu hii hii ya ujinga familia yangu iliangamia kwa sababu baba yangu mzazi alikuwa kama wanaume mnaosema hawezo kuwa na mwanamke mmoja na jamii hii hii ikawa inamshauri mama yanu avumilie huku mzee kesha hama hapo nyumbani, maisha ni magumu na hata tukienda kumuomba hata pesa ya ada ama nguo za shule huyu mzee alikuwa anatufukuza mwisho wa akakaa huko miaka na akiendeleza tabia ya kwamba mwanaume hana mwanamke mmoja bila kujali wanae aliowazaa mwisho wa siku kapata ugonjwa huu na anataka stull bado jamii inamlazimizha mama yangu kuishi naye eti kisa ndoa.
Swali ninalobaki nalo hivi kipindi anaamua kuondoka hakuvunja sheria za ndoa, kipindi anatupa familia kwa kutokujiheshimu si alikuwa ana akili timamu na alikuwa akijua kabisa ana ndoa pamoja na watoto na mabaya zaidi akatutupa bila kujali hata kujali damu yake suala la kusema mwanaume haridhiki ni mwanzo wa kuleta shida katika familia. Ushauri kama unaona umemchoka mkeo mara mia umwambie aondoke sio kwenda kufanya upumbavu na kusingizia eti mwnaume haridhiki
Tuingie kwenye point, kiukweli mimi ni kijana wa miaka 25 nimekuwa member wa muda mrefu sana wa JF toka nikiwa na miaka 21 katika kusoma comments za watu mbali mbali nimeangalia na nasikitishwa sana pale ninapoona kwamba wanaume walio wengi ikitokea ameweka thread ya mwanamke wake kucheat basi kila mwanaume anasema maneno ya kwamba amuache, asiendelee ndio zinakuwa nyingi. Ila kwa upande wa pili yaani wanawake wakipost kwamba wanaume wao wanawasaliti inakuwa kinyume response inakuwa kwamba ''hakuna mwanaume aisiyesaliti''.
Kwakweli mimi huwa nashangaa najiuliza sana hivi inakukwaje mwanaume mzima unayejua maana ya ndoa na mliapa mbele ya mwenyezi Mungu kwamba huyu ndio mkeo na utamuangalia huyu huyu kwa maisha yote halafu unasema hakuna mwanaume asiye kuwa na mwanamke mmoja. Kumbuka wakati huo huo sisi wanaume tukisalitiwa tuafikia hadi hatua ya kuua, kupiga na kufanya vitu vya hovyo.
Kama mimi nilikuwa nawahimiza kama mwanaume kama unaona huwezi kuandika comment ya kutoa maelekezo ya maadili ya ndoa bora ukanyamamza kuliko kuandika swala la kipumbavu eti hakuna mwanaume asiyekuwa na mwanamke. Kucheat ni kucheat hata haina excuse hata kidogo.
Kwanini na andika hii ni kwasababu hii hii ya ujinga familia yangu iliangamia kwa sababu baba yangu mzazi alikuwa kama wanaume mnaosema hawezo kuwa na mwanamke mmoja na jamii hii hii ikawa inamshauri mama yanu avumilie huku mzee kesha hama hapo nyumbani, maisha ni magumu na hata tukienda kumuomba hata pesa ya ada ama nguo za shule huyu mzee alikuwa anatufukuza mwisho wa akakaa huko miaka na akiendeleza tabia ya kwamba mwanaume hana mwanamke mmoja bila kujali wanae aliowazaa mwisho wa siku kapata ugonjwa huu na anataka stull bado jamii inamlazimizha mama yangu kuishi naye eti kisa ndoa.
Swali ninalobaki nalo hivi kipindi anaamua kuondoka hakuvunja sheria za ndoa, kipindi anatupa familia kwa kutokujiheshimu si alikuwa ana akili timamu na alikuwa akijua kabisa ana ndoa pamoja na watoto na mabaya zaidi akatutupa bila kujali hata kujali damu yake suala la kusema mwanaume haridhiki ni mwanzo wa kuleta shida katika familia. Ushauri kama unaona umemchoka mkeo mara mia umwambie aondoke sio kwenda kufanya upumbavu na kusingizia eti mwnaume haridhiki