Nimekata tamaa kwa madeni

Nimekata tamaa kwa madeni

Kujiua niudhaifu mkuu. Kwamba wew madeni yanakutesa kuliko yule mgonjwa mwenye zaidi ya miaka miwili kitandan akihudumiw kila kitu? Wanaokudai ni watu ambao pia nao wanadawa kwenye mizunguko yao ya maisha(deni sio pesa tu). Kaa na kila anaekudai mweleze changamoto unazopitia.Majibu yao kwako yatakuwa mazuri kuliko kujiua
 
nimekata tamaa,madeni mengi ,, nisaidien dawa inayoua na inapatikana kwa uharaka
Kwanza jitahidi usikope tena.

Ishi kwa means uliyonayo. Kwa mfano Kama unaafford kula mlo mmoja bas komaa na huo huo.
Kama unaumwa na huna hela za Hosp basi komaa na mitishamba.

Nina maanisha usiongeze gharama za maisha.

Pili, Mdeni hafungwi. Na wanaokudai uwaambie ukweli kuwa bado mambo hayakakaa sawa. Na kama ulikuwa unawaahidi utawalipa ndan ya mwez mmoja. Bas waambie wakupe miez mitatu. (Yaan usiahidi tarehe za usoni).

Tatu, ndio uchakarike sasa kutafuta hela za watu. Ongea na ndugu na jamaa na marafiki ili wakupe boost. Uza assets zako kama ikibidi.

All in all. Usikate tamaa ukafikiria hili la kujiua. Weka nia ya kulipa madeni na uchakate akili zaidi.
Maana Penye nia pana njia.
 
Kwanza jitahidi usikope tena.

Ishi kwa means uliyonayo. Kwa mfano Kama unaafford kula mlo mmoja bas komaa na huo huo.
Kama unaumwa na huna hela za Hosp basi komaa na mitishamba.

Nina maanisha usiongeze gharama za maisha.

Pili, Mdeni hafungwi. Na wanaokudai uwaambie ukweli kuwa bado mambo hayakakaa sawa. Na kama ulikuwa unawaahidi utawalipa ndan ya mwez mmoja. Bas waambie wakupe miez mitatu. (Yaan usiahidi tarehe za usoni).

Tatu, ndio uchakarike sasa kutafuta hela za watu. Ongea na ndugu na jamaa na marafiki ili wakupe boost. Uza assets zako kama ikibidi.

All in all. Usikate tamaa ukafikiria hili la kujiua. Weka nia ya kulipa madeni na uchakate akili zaidi.
Maana Penye nia pana njia.
asante ila nashindwa kumweleza ,,ntapata fedheha
 
Back
Top Bottom