Natafuta mwalimu wa darasa pili

Natafuta mwalimu wa darasa pili

Mawasiliano ni PM
Weka email address watu watume maombi ya kazi na CV zao. Unawekaje Tangazo la kazi kama biashara ya MAGENDO. (kama wauza Potassium wanaweka hadi namba, wewe Professional unashindwaje).

Kuwaita watu PM ni Utapeli, vilevile zama hizi za Utekaji ni hatari.

Ukizingatia hata Jina la Shule tu Hujataja kwenye bandiko lako.

Be Professional.
 
Habari za jioni?

Shule ya msingi ya binafsi ya Kiingereza iliyopo Tanga mjini inatafuta mwalimu mzoefu wa kufundisha darasa la pili.
Awe za uzoefu na ari ya kupenda kufundisha watoto wadogo.

Tunapendelea zaidi akiwa mwanaume,japokuwa hata wa kike anaruhusiwa kuomba nafasi hii.

Mawasiliano ni PM
 
Habari za jioni?

Shule ya msingi ya binafsi ya Kiingereza iliyopo Tanga mjini inatafuta mwalimu mzoefu wa kufundisha darasa la pili.
Awe za uzoefu na ari ya kupenda kufundisha watoto wadogo.

Tunapendelea zaidi akiwa mwanaume,japokuwa hata wa kike anaruhusiwa kuomba nafasi hii.

Mawasiliano ni PM
Unaweka tangazo la kazi halafu mawasiliano ni PM! Unataka kuficha nini kwa mfano?
 
Back
Top Bottom