naomba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ngengemkenilomolomo

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada niweze kupata kazi🙏🙏

    Jaman watu wa Mungu naombeni msaada wenu tafadhal mtaa unazidi kuwa wa moto naombeni mnisaidie nipo tayari kufanya kazi yoyote,mahari popote na kwa ujira wwt ili mradi mkono upate kwenda kinywani Naombeni msaada wenu tafadhal ndugu zang naamin kupitia jukwaa hili naweza kupata msaada NATANGULIZA...
  2. L

    JamiiForums Tanzania naomba msaada wa kujuzwa kama kwa matokeo haya kuna uwezekano wowote wa kusoma bachelor degree yoyote

    habari za wakati huu kila mmoja,ndugu zangu naomba kujuzwa hivi kwa matokeo haya EED ya PCB respectively na D ya BAM(basic applied mathematics) kuna uwezekano wowote wa kusoma bachelor degree yoyote tuu ile?! na kama upo huo uwezekano je ni vyuo vipi na kozi zenyewe ni zipi?! msaada tafadhali...
  3. saiz

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada jinsi ya ku-confirm chuo

    Samahan wakuu, Ningependa kujua unawezaj ku-confirm kuwa unaenda chuo fulani kama umechaguliwa zaid ya chuo kimoja.
  4. G

    JamiiForums Tanzania Naweza kuomba kozi nyingine endapo sijathibitisha kozi niliyochaguliwa awali?

    Kwa mfano mtu ameshakuwa selected kwenye multiple universities lakini haja-confirm bado, je huyo mtu ana possibility ya kuchaguliwa tena chuo kingine iwapo aki-apply second selection?
  5. P

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina shahada ya Computer Science

    Habari wana Jamiiforum, Poleni na majukumu. Mimi ni mhitimu wa shahada ya Computer Science mwaka jana, jinsia ni mwanaume, naishi Ilala- Dar es salaam, nafanya shughuli za Web Development. Nimekuja mbele zenu kuomba msaada hapa nilipo hali yangu siyo nzuri kifedha na Computer ambayo naitumia...
  6. Cannabis

    JamiiForums Tanzania Nani anayehusika kupeleka takwimu za maambukizi ya COVID-19 Africa CDC?

    Kwa mujibu wa taarifa zilizopo Africa CDC inaonekana mpaka tarehe 19 August 2021 Tanzania ina visa 16,970 vya maambukizi ya virusi vya corona na vifo 50.Pia WHO inaonyesha kuna visa 1,367 na vifo 50. Je, hizi taarifa ni rasmi ? Kuna makosa yaliyofanyika au ni hujuma ? Kuna umuhimu wa jambo...
  7. Z

    JamiiForums Tanzania Ukiugua ugonjwa ambao hauna tiba na ukapona, je inahitaji kupatiwa chanjo?

    Tumeona kati ya watu 200 million walioambukizwa na kuugua ugonjwa wa COVID-19, ni watu milioni 4 tu wamekufa. Ina maana zaidi ya million 190 wamepona bila kuwa na na specific treatment ya ugonjwa wa UVIKO-19. Ni kwamba miili ya wagonjwa hawa iliweza kujitengenezea specific antibodies against...
  8. ANT DRUGS

    JamiiForums Tanzania NAOMBA MSAADA WADAU.

    Wakuu habar za weekend.Naomba kujua ni aina gani ya APP itanisaidia kucheza games.Maana nikidowload Game haionekan hata kwenye sim ila inaonekana nmeinstall tu ila sioni ilipo. Pia naomba kujua APP gani nzuri kwa kudowload nyimbo ambazo zimezuiliwa kupakuliwa. La mwisho naomba kujua APP gani...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Je, hizi fedha anazotoa Mhe. Rais zinatoka kwenye fungu gani?

    Leo nimeshuhudia kupitia luninga Mhe. Waziri Mkuu akihabarisha umma wa Watanzania kuwa Mhe. Rais ameridhia kutoa Tshs.300 billioni kwaajili ya ujenzi wa majengo ya Wizara mbalimbali pale Dodoma ikiwa ni pamoja na Ikulu. Sasa swali langu:- Bunge lina utaratibu wa kujadili bajeti na kuipitisha...
  10. Mag3

    JamiiForums Tanzania Polisi kuwapiga raia huu ujeuri wanautoa wapi? Naomba mwenye ushahidi wowote wa raia wa Tanzania kupambana na Polisi auweke hapa

    Tabia ya polisi wa Tanzania kuwatisha, kuwapiga na kuwaumiza wananchi wanaotumia haki yao ya kuhoji utendaji wa serikali inazidi kuota mizizi na kuibua maswali kuhusu wajibu wa polisi kwa raia wanaotuhumiwa kuvunja sheria. Kwa hali isiyoeleweka Polisi wa Tanzania wameamua kutoheshimu uhuru wa...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Naomba mawazo yako kwenye hili

    Habari, hii ni habari ya kweli kabisaa, niliunganishwa na best friend wangu katika kazi Fulani, nilifurahi Sana kutokana na wakati huo nilikuwa na uhitaji wa kazi. Rafiki yangu hiyo naweza sema.ni mtummwenye moyo wa kipekee Sana maana,kibongobongo ni ngumu rafiki kukupeleka sehemu yenye ulaji...
  12. Superbug

    JamiiForums Tanzania Naomba kumfahamu kwa undani mdada Tina Rogat wa insta almaarufu 'Umelala Yoooo'

    Huyu mdada anaitwa Tina Rogat Yuko insta almaarufu 'Umelala Yoooo' yani nampenda mno mpaka naumwa Ana macho mazuri mnoooo halafu Ana sura flani ya aibu ya kike naomba muuskrinshot ujumbe huu mumpelekee inta. Tina naomba uwe mke wangu una JICHO mamaaaa.
  13. Mr HQ

    JamiiForums Tanzania Naomba nifahamishwe nama ya kutumia Mti wa MVUNGE kwa maradhi udhaifu wa mwili

    Tuna mtoto wa mama mdogo Ana tatizo la mifupa yake na mwili wake upo dhaifu tumejaribu kuuliza tukaambiwa tujaribu kuuliza kuhusu mti mvunge ni tiba nzuri. jamani naomba kwa mwenye kujua jinsi ya kutumia mti huo na jinsi ya kuupata mti huo tunaomba msaada.🙏🙏🙏
  14. Moronight walker

    JamiiForums Tanzania Mahojiano kati ya Judi River na James Munyandinda kuhusu kuuwawa kwa juvenal habyarimana na jinsi RPF walivyo husika

    Yanahusu kuuwawa kwa juvenal habyarimana na jinsi RPF walivyo husika. Pia wanamgambo wa RPF ndani ya interlahamwe, Kama kiongozi wa interlahamwe ambaye Robert kajuga. Na lengo la mauaji ya kimbali kupangwa.
  15. dump

    JamiiForums Tanzania Je? Mnafanyaje usafi kwa bibi na hayo makucha marefu vile?

    Naomba wanawake mnijibu swali langu, hasa kwa wale mnao weka kucha za bandia halafu ndefu kupitiliza je? Mnafanyaje usafi kwa bibi na hayo makucha marefu vile?
  16. Nyikanavome

    JamiiForums Tanzania Naomba kuuliza nitaweza kupata wapi fuel [petrol] stabilizer hapa Dar es salaam?

    Nina generator yangu ambayo siitumii sana; kuna kipindi ili kaa karibu mwaka mzima bila kutumika. Kuja kufungua nikakuta petrol imeharibika na kugandiana kiasi kwamba iliharibu mpaka carburetor, ikabidi kubadilisha. Katika soma soma mitandaoni nikakuta kuna fuel stabilizer ambazo zinaweza...
  17. B

    JamiiForums Tanzania Naomba Kujulishwa Mchezaji Mpira Duniani Aliyefariki kwa Covid-19

    Naomba kufahamishwa mchezaji wa mpira ambaye yupo active, wa timu yoyote duniani aliyefariki kwa ugonjwa wa korona.
  18. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Wanadiplomasia na wataalamu naomba mnisaidie gharama za daraja kama hili tafadhali

    Naombeni makadirio yenu ili niingize kwenye bajeti unahisi kama hichi kidaraja kitagharimu kiasi gani ?
  19. RealEstate Agent

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleweshwa kuhusu risiti HII ya EFD

    Habari Kutokana na risiti hii ya EFD Swali langu ni kutaka kujua bidhaa za simu hazina VAT? Bei ya simu ni 48,000 na imeandikwa na TOTAL EXCLUSIVE OF VAT = TOTAL INCLUSIVE OF VAT Ina maana hapo TOTAL TAX = 0 msaada kujua bidhaa hizi hazina vat?
  20. stevhinoz

    JamiiForums Tanzania Naomba sample ya consultancy proposal

    Habari ndugu zangu! Kuna sehemu nafukuzia mchongo ni international NGO agency ya UN....ila nimepata changamoto kidogo maana nimeambiwa hawapokei application letters maana ni position ya consultancy. Mimi sina uzoefu na kuomba consultancy hivyo basi nahitaji mwenye sample ya proposal ya kuombea...
Back
Top Bottom