Wataalam wa Telecommunication au mawasiliano naomba mnisaidie kunielewesha hapa

Ferruccio Lamborghini

JF-Expert Member
Apr 15, 2020
1,664
2,516
1. Nini kinachangia au kusababisha katika system meseji kugoma kwenda?
Mfano unatuma sms inafeli, unarudia tena inafeli, unarudia tena inafeli unarudia tena inaenda?

2. Nini kinasababisha ujumbe kuchelewa kufika?
Mfano, unatuma meseji saa 4 asubuhi lakini meseji inafika saa 9 alasiri.
Tatizo linasababishwa na nini?

3. Unatuma pesa kutoka mtandao A kwenda B, lakini hela haifiki kwa wakati husika.
Hii inasababishwa na nini?

4. Unajiunga zako kifurushi lakini cha ajabu haupewi taarifa kama umeshajiunga. Mbaya zaidi hata ukipiga menyu ya kuangalia salio huwezi kutumiwa meseji kwa wakati muafaka.

5. Nini kinasababisha internet kuwa ma spidi ndogo?
Nini kifanyike ili iwe na spidi kali?

Yangu ni hayo tu, nategemea kupata majibu kutoka kwa mainjinia, IT na wataalamu wa sekta ya mawasiliano.
Asanteni

Maswali mengine yatakuja baadae
 
1. Nini kinachangia au kusababisha katika system meseji kugoma kwenda?
Mfano unatuma sms inafeli, unarudia tena inafeli, unarudia tena inafeli unarudia tena inaenda?

2. Nini kinasababisha ujumbe kuchelewa kufika?
Mfano, unatuma meseji saa 4 asubuhi lakini meseji inafika saa 9 alasiri.
Tatizo linasababishwa na nini?

4. Unajiunga zako kifurushi lakini cha ajabu haupewi taarifa kama umeshajiunga. Mbaya zaidi hata ukipiga menyu ya kuangalia salio huwezi kutumiwa meseji kwa wakati muafaka.

5. Nini kinasababisha internet kuwa ma spidi ndogo?
Nini kifanyike ili iwe na spidi kali?
Mkuu kuna kitu tunaita Availability na Reliability.
Availability hii ni ule uwezo wa mfumo kuwa hewani kwa muda wa masaa kadhaa kwa siku, mfano unaweza kuta Availability ya Jamii Forum ni 22hrs/day.

Reliability hii tunaweza kusema kuwa ni ule uwezo wa system kufanya jambo fulani, katika kiwango fulani ndani ya muda uliokusudiwa.

Sasa mkuu kulingana na maswali yako ni kwamba mifumo mingi ya kitanzania kwenye swala la kuwa available inajitahidi ila bado wanakwama kwenye swala zima la Reliability ya mifumo yao yaani mfumo kufanya jambo lililokusudiwa kwa kiwango ndani ya muda husika.
 
Mkuu kuna kitu tunaita Availability na Reliability.
Availability hii ni ule uwezo wa mfumo kuwa hewani kwa muda wa masaa kadhaa kwa siku, mfano unaweza kuta Availability ya Jamii Forum ni 22hrs/day.

Reliability hii tunaweza kusema kuwa ni ule uwezo wa system kufanya jambo fulani, katika kiwango fulani ndani ya muda uliokusudiwa.

Sasa mkuu kulingana na maswali yako ni kwamba mifumo mingi ya kitanzania kwenye swala la kuwa available inajitahidi ila bado wanakwama kwenye swala zima la Reliability ya mifumo yao yaani mfumo kufanya jambo lililokusudiwa kwa kiwango ndani ya muda husika.
Shukrani sana mzee
 
1. Nini kinachangia au kusababisha katika system meseji kugoma kwenda?
Mfano unatuma sms inafeli, unarudia tena inafeli, unarudia tena inafeli unarudia tena inaenda?

2. Nini kinasababisha ujumbe kuchelewa kufika?
Mfano, unatuma meseji saa 4 asubuhi lakini meseji inafika saa 9 alasiri.
Tatizo linasababishwa na nini?

3. Unatuma pesa kutoka mtandao A kwenda B, lakini hela haifiki kwa wakati husika.
Hii inasababishwa na nini?

4. Unajiunga zako kifurushi lakini cha ajabu haupewi taarifa kama umeshajiunga. Mbaya zaidi hata ukipiga menyu ya kuangalia salio huwezi kutumiwa meseji kwa wakati muafaka.

5. Nini kinasababisha internet kuwa ma spidi ndogo?
Nini kifanyike ili iwe na spidi kali?

Yangu ni hayo tu, nategemea kupata majibu kutoka kwa mainjinia, IT na wataalamu wa sekta ya mawasiliano.
Asanteni

Maswali mengine yatakuja baadae
Kitu chochote unacho fanya kwenye mawasiliano ya simu kinapiti sehemu zaid ya nne
1.wewe (device)
2.transmission point Tx and Rx (minara nano and pico na Satellite)
3.Processing point, (Service providers HQ eg. Vodacom,tigo,Ttcl).nk.
Kwa hivyo kutokana na route hizo zote kimoja wapo kati ya hivyo kiki delay kuchakata data labda kwa sababu za kielectronics au vyovyote basi ndipo unapo pata kuchelewa kwa taarifa maana hivyo vyoye vinatakiwa vifanye kazi kwa haraka sana.
 
Kitu chochote unacho fanya kwenye mawasiliano ya simu kinapiti sehemu zaid ya nne
1.wewe (device)
2.transmission point Tx and Rx (minara nano and pico na Satellite)
3.Processing point, (Service providers HQ eg. Vodacom,tigo,Ttcl).nk.
Kwa hivyo kutokana na route hizo zote kimoja wapo kati ya hivyo kiki delay kuchakata data labda kwa sababu za kielectronics au vyovyote basi ndipo unapo pata kuchelewa kwa taarifa maana hivyo vyoye vinatakiwa vifanye kazi kwa haraka sana.
Shukrani sana mzee
 
Back
Top Bottom